Habari za Jumla
11 October 2024, 7:24 pm
Wafanyakazi wahanga magonjwa ya afya ya akili sehemu za kazi
Wanyakazi wanatajwa kuwa hatarini kupata magonjwa ya afya ya akili kutokana na mazingira ya kazi au shughuli wanazofanya. Katibu Mkuu Msaidizi Chama Wataalamu wa Saikolojia (TAPA) Bwn. Albano Michael pamoja Mwenyekiti Kanda ya Kati Magharibi Bwn. Shabani Waziri wamebainisha hayo…
10 October 2024, 12:47 pm
Sendiga afika kumjulia hali mtoto Joel
Baada ya mtoto Joeli Mariki kupatikana akiwa hai katika mlima kwaraa , mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema madaktari wanaendelea kumpatia matibabu na hali yake bado inaendelea kuimarika kwa kuhakikisha anakuwa chini ya uangalizi wa wataalamu wa afya.…
7 October 2024, 9:41 pm
Sillo akabidhi zawadi ya mashine ya kutolea nakala katika shule ya sekondari Mat…
Naibu waziri wa mambo ya ndani Daniel Silo ambae pia ni mbunge wa jimbo la Babati vijijini amekabidhi mashine hiyo baada ya kuwepo kwa changamoto ya upungufu wa vifaa vya shule. Na Mzidalfa Zaid Naibu waziri wa mambo ya ndani…
7 October 2024, 9:15 pm
Wafugaji Simanjiro waaswa kupeleka mabinti shule
Wadau wa elimu kutoka shirika la Kinnapa, wafugaji kutoka wilayani humo wamesema wame elimika kutokana na elimu waliyoipata mara kwa mara na wameamua kuwapeleka watoto wa kike shule na hasa waliopata ujauzito wakiwa na umri mdogo Na Diana Dionis Jamii…
6 October 2024, 5:38 am
Mchengerwa: Marufuku wananchi kuhamishwa kwenye maeneo ya malisho
Kumekuwepo na viongozi wa mikoa au wilaya kutoa maelekezo ya kuwahamisha wafugaji katika maeneo yao ambayo ni malisho ya mifugo yao kwa kisingizio cha kufuata maelekezo ya mh rais. Na mwandishi wetu . Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala…
4 October 2024, 8:08 pm
Mkonze yajiimarisha kiulinzi kudhibiti mauaji na uhalifu
Na Nazaaeli Mkude Kufuatia tukio la mauaji la mama na binti lililotokea mnamo tarehe 19 Septemba mwaka huu katika kata ya Mkonze mtaa wa Muungano A, kata ya Mkonze, Jijini Dodoma, hali ya ulinzi imeimarishwa ili kudhibiti uendelevu matukio hayo…
3 October 2024, 3:20 pm
Daraja mto Pangani kuwa mwarobaini wa ajali kwenye kivuko cha MV Tanga
Watu huvuka ng’ambo moja na nyingine ya mto Pangani kwa ajili ya mahitaji ya kibiashara,shughuli za uzalishaji mali, huduma za kiofisi kama vile ofisi ya halmashauri ya wilaya ya Pangani,huduma za kibenki,hospitali ya wilaya,soko kuu la mkoa Tangamano au stendi…
1 October 2024, 8:25 pm
Ujumbe wa marehemu wazua ‘Utata’ Arusha
Na Joel Headman Arusha Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linafanya uchunguzi wa kifo cha mtu mmoja mkazi wa Baraa jijini Arusha aliyekutwa msituni akiwa amening’inia juu ya mti. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari leo, kamanda wa Polisi Mkoa…
1 October 2024, 7:54 pm
Miundombinu wezeshi inahitajika Viziwi kushiriki chaguzi zijazo
Na Mariam Matundu Kuelekea katika uchaguzi wa serikali za mitaa kundi la viziwi bado linatajwa kuachwa nyuma katika kushiriki mchakato huo kutokana na changamoto ya mawasiliano. Hii ni kutokana na uhaba wa wakalimani wa lugha ya alama katika mchakato huo…
1 October 2024, 7:53 pm
Mradi wa bwawa kuipaisha Swaswa kiuchumi
Na Mindi Joseph. Ujenzi wa eneo la mapumziko katika Bwawa la Swaswa Jijini Dodoma unatarajiwa kuwanufaisha wananchi kiuchumi. Bwn. Isaack Daniel ambaye ni mjumbe na pia msimamizi wa ulinzi na usalama katika mtaa wa Swaswa amezitaja fursa za kiuchumi zinazotokana…