Habari za Jumla
12 January 2025, 4:38 pm
Wanafunzi wa Ruchugi watumia saa mbili kufika shule
wameeleza athari wanazokutana nazo wakati wa kwenda shule na kurudi nyumbani kutokana na kutembea umbali. Na Linda Dismas Wanafunzi katika shule ya sekondari Ruchugi, wilayani uvinza mkoani kigoma, wameeleza jinsi ambavyo wanatembea umbali mrefu wa masaa mawili kufika shule kunavyowaathiri…
9 January 2025, 18:19
DC Haniu afanya ziara Shule ya amali
kutokana na mabadiliko mbalimbli ya mitaala ya Elimu serikali inaendelea na ujenzi wa Shule zitakazo kidhi mitaala hiyo. Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu leo tarehe 9.1.2025 amefanya ziara na kukagua hatua ya ujenzi wa shule…
8 January 2025, 3:51 pm
Wapata ajali wakisafirisha maiti kwa bodaboda kutoka Geita-Kagera
Waendesha pikipiki wanne wa egesho la Miti mirefu mtaa wa Mission mjini Geita wamenusurika kifo baada ya kupata ajali walipokuwa wakisafirisha jeneza lenye maiti ndani yake kutoka Geita kuelekea Bukoba kwaajili ya mazishi. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tukio hilo…
24 December 2024, 5:43 pm
Rc Sendiga asema ulinzi na usalama umeimarishwa katika sikukuu za mwisho wa mwak…
Picha ya mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga Sendiga awataka wazazi na walezi kuwa na uangalizi wa karibu na watoto wao na kuacha kuwapeleka katika maeneo yasiyo rasmi zikiwemo kumbi za starehe katika msimu wa sikuku nakusema mkoa wa…
24 December 2024, 4:16 pm
Mwakilishi Malindi Apongeza Serikali ya Awamu ya Nane kwa Miradi ya Maendeleo
Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahmada Salum amesema serikali ya awamu ya nane chini ya Dk Hussein Ali Mwinyi imetekeleza kwa kishindo ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2020- 2025 katika utekelezaji wa miradi ya kimaendeleo,katika jimbo…
22 December 2024, 10:01 pm
Katavi:Akutwa amejinyonga chumbani kwake
“Wa kwanza kubaini tukio hilo ni mke wa marehemu ambapo alikuta mlango ukiwa wazi na marehemu ananing’inia juu “ Na Samwel Mbugi -Katavi Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniphas Juma Katagwa mwenye umri wa miaka 34 amekutwa amejinyoga ndani…
17 December 2024, 18:25 pm
Msangamkuu Beach Festival kuzinduliwa rasmi 27 Disemba 2024 Mtwara
Na Musa Mtepa Tamasha la Msangamkuu Beach Festival, linalohamasisha utalii katika mkoa wa Mtwara na kusini kwa ujumla, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 27 Disemba 2024 katika fukwe za Msangamkuu. Tamasha hili litapambwa na burudani mbalimbali kutoka ndani na nje ya…
16 December 2024, 12:48 pm
Katavi :Watumiaji wa barabara watakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani
“Watumiaji wa vyombo vya moto wameahidi kufanyia kazi maelekezo waliopatiwa ili kujilinda“ Na John Benjamini -Katavi Mkoa wa katavi umetajwa kuwa na takwimu chache za ajali barabarani kwa kipindi cha miezi sita kwa mwaka 2024. Hayo yamebainishwa na kamishina wa…
16 December 2024, 10:41 am
DC Mpanda ahimiza utunzaji wa mazingira
“Wameandaa miti 7500 kwa kupanda katika tasisi mbalimbali za umma na wananchi binafsi ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani” Na Samwel Mbugi -Katavi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph ambae…
15 December 2024, 17:18
Tume ya uchaguzi yaendelea kufanya mkutano na wadau wa uchaguzi
katika kuelekea uchaguzi mkuu viongozi wa tume ya uchaguzi wameendelea kufanya mikutano na wadau wa Uchaguzi katika maeneo mbalimbli hapa Nchini. Na Ezekiel Kamanga Mkutano wa Tume na Wadau wa Uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura…