Habari za Jumla
25 Machi 2025, 9:39 mu
Meya Mpanda apiga jeki mifuko 40 ya saruji ofisi za CCM
Wajumbe wa CCM wakipokea mfuko mmoja wa saruji kwa niaba ya mifuko 40. Picha na Anna Mhina “Lengo la kutoa mifuko hiyo ni kukifanya chama kionekane cha tofauti” Na Anna Mhina Mstahiki meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani…
25 Machi 2025, 07:24
Mbeya waipokea No reform no election
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu, amesema ni jambo ambalo haiwezekani Chama hicho kupata matokeo ya uchaguzi wa asilimia sifuri kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika mwaka 2024 katika mkoa wa Mbeya na maeneo mengine…
19/03/2025, 10:55
MANAWASA yafanikiwa kufunga mita 95 za malipo ya kabla
Mkurugenzi wa Huduma kwa wateja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Masasi Nachingwea (MANAWASA) Obadia Mtuya. Picha na Godbless Lucius “Wateja wa huduma ya maji wanazidi kuongezeka, na sisi kama taasisi tutaendelea kuboresha mifumo yetu ili kuhakikisha…
19 Machi 2025, 08:11
Mwenyekiti wa kitongoji adaiwa kufyeka mazao ya wananchi
Kufuatia changamoto ya Barabara katika kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa Kata ya Kisiba Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe mwenyekiti adaiwa kufyeka mazao ya wananchi bila idhini yoyote. Na Ezekiel Kamanga Wananchi wa Kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa…
18 Machi 2025, 20:07
UWSA yatoa ofa kwa wateja wenye malimbikizo kulipa nusu gharama kisha kuwarejesh…
Katika kuadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya UWSA imetoa ofa kwa wateja wake wenye malimbikizo ya ankara za maji kulipa nusu gharama na kisha kuwarejeshea huduma hiyo bure. Na Ezra Mwilwa Akitoa taarifa…
18 Machi 2025, 19:43
Wasira atoa siku 14 kwa kampuni ya GDM kuwalipa wakulima wa KAHAWA Rungwe
Kutokana na changamoto ya wakulima wa kahawa wilayani Rungwe kuto kulipwa malipo yao ya Mwaka 2024, ameagiza kampuni iliyo nunua zao Hilo kulipa madai hayo ndani ya siku 14. Na Ezra Mwilwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Steven…
14/03/2025, 18:39
Kijiji cha Sangaiwe chakusanya bilioni 2.4 kutokana na uhifadhi
Mkuu wa wilaya ya Babati mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amefurahishwa na uwekezaji uliofanyika katika kijiji cha Sangaiwe ambao umetokana na jitihada za wananchi wa kijiji hicho. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa wilaya ya Babati mkoani Manyara Emmanuela Kaganda amekagua miradi…
14 Machi 2025, 6:08 um
Wananchi watakiwa kuchagua viongozi wenye ushawishi wa sera
Picha ya Leonard Minja afisa TAKUKURU Mpanda. Picha na Anna Mhina “Msichague viongozi watoa rushwa” Na Anna Mhina Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Katavi imewataka wananchi kuchagua viongozi kutokana na ushawishi wa sera na ilani za…
13/03/2025, 21:19
Mkuu wa Mkoa Mtwara, akabidhi msaada kwa waathirika wa Mafuriko
Msaada ulioletwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wadau umejumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo unga wa sembe, dona, mchele, sukari, mafuta ya kupikia, sabuni za unga, chumvi, sabuni za kuogea, taulo za kike, magodoro, blanketi, vyandarua, nepi za kisasa (diapers),…
07/03/2025, 23:54
TPF-NET watoa mafunzo kwa askari wanawake
Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake Na Angel Munuo Mtandao wa Polisi wanawake mkoa wa Manyara (TPF-NET ) wametoa mafunzo kwa askari wanawake ambayo yatawasaidia kupambana na ukatili wa kijinsia pamoja na…