Radio Tadio

Habari za Jumla

12 January 2025, 4:38 pm

Wanafunzi wa Ruchugi watumia saa mbili kufika shule

wameeleza athari wanazokutana nazo wakati wa kwenda shule na kurudi nyumbani kutokana na kutembea umbali. Na Linda Dismas Wanafunzi katika shule ya sekondari Ruchugi, wilayani uvinza mkoani kigoma, wameeleza jinsi ambavyo wanatembea umbali mrefu wa masaa mawili kufika shule kunavyowaathiri…

9 January 2025, 18:19

DC Haniu afanya ziara Shule ya amali

kutokana na mabadiliko mbalimbli ya mitaala ya Elimu serikali inaendelea na ujenzi wa Shule zitakazo kidhi mitaala hiyo. Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu leo tarehe 9.1.2025 amefanya ziara na kukagua hatua ya ujenzi wa shule…

22 December 2024, 10:01 pm

Katavi:Akutwa amejinyonga chumbani kwake

“Wa kwanza kubaini tukio hilo ni mke wa marehemu ambapo alikuta mlango ukiwa wazi na marehemu ananing’inia juu “ Na Samwel Mbugi -Katavi Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniphas Juma Katagwa mwenye umri wa miaka 34 amekutwa amejinyoga ndani…

16 December 2024, 10:41 am

DC Mpanda ahimiza utunzaji wa mazingira

“Wameandaa miti 7500 kwa kupanda katika tasisi mbalimbali za umma na wananchi binafsi ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassani” Na Samwel Mbugi -Katavi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph ambae…