Habari za Jumla
8 April 2021, 12:23 pm
Mnyama aina ya kima azua taharuki Geita
Na Mrisho Sadick Mnyama aina ya kima au mbega amezua taharuki katika Mtaa wa uwanja mjini Geita baada ya kuingia katika makazi ya watu huku akiwa hajulikani ametoka wapi. Kima akiwa amejificha chooni Wakizungumza na Storm FM baadhi ya wakazi…
8 April 2021, 10:00 am
Waziri jafo aipa machinjio ya kizota miezi sita kujenga mfumo wa kutibu majitaka
Na ; Mariam Kasawa. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Selemani Jafo ameupa uongozi wa machinjio ya kisasa ya Kizota jijini Dodoma miezi sita kurekebisha changamoto ya utiririshaji wa majitaka ovyo. Jafo ametoa agizo…
8 April 2021, 9:28 am
Marufuku ya vifungashio kufika tamati Kesho Aprili 9
Na; Mariam Matundu Ikiwa leo ni siku ya mwisho ya kuwepo kwa vifungashio visivyokidhi viwango vya ubora sokoni ,vifungashio vipya vinavyokidhi viwango vya ubora tayari vimeanza kupatikana sokoni. Hayo yamezungumzwa na Afisa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais muungano…
7 April 2021, 1:28 pm
Hotuba ya Rais Samia yawapa faraja wananchi
Na; Mindi Joseph Wakazi Mkoani Dodoma wamesema kupitia Hotuba ya Mh Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan aliyoitoa jana wakati akiapisha viongozi mbalimbali wa kiserikali imewapa faraja na matumaini makubwa katika kutetea haki za wanyonge na…
7 April 2021, 1:09 pm
Rais mh.Samia Suluhu ashiriki dua maalum ya kumuombea hayati rais amani abeid ka…
Na; Mariam Matundu Ikiwa leo ni kumbukumbu ya kifo cha rais wa awamu ya kwanza wa Zanzibar hayati Abedi Amani Karume, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan ameshiriki dua maalum ya kumuombea iliyofanyika visiwani humo. Katika…
7 April 2021, 10:45 am
Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan -Moropc.
Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Morogoro (MOROPC) kinampongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuitaka Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo kuvifungulia vyombo vyote vya Habari vilivyofungiwa na Serikali kwa Makosa mbalimbali.…
7 April 2021, 9:03 am
Nagulo Bahi wanafunzi kuanza masomo rasmi
Na ; Suleiman Kodima. Wananchi wa kijiji cha Nagulo Bahi kata ya Bahi wameupongeza Uongozi wa kata hiyo kwa hatua ya kukamilisha Ujenzi wa Sekondari na hatimaye wanafunzi kuanza Masomo Rasmi. Wakizungumza na Taswira ya Habari wananchi hao wamesema kuwa…
7 April 2021, 5:42 am
Rais kuhudhuria siku ya mashujaa (Karume day) Zanzibar
Na; Mariam Kasawa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan jana tarehe 06 Aprili, 2021 aliwasili Zanzibar akitokea Jijini Dar es Salaam ambapo atahudhuria maadhimisho ya Siku ya Mashujaa (Karume Day) itakayofanyika katika Ofisi Kuu ya…
6 April 2021, 1:54 pm
Serikali yajipanga kutatua changamoto inayo vikabili vituo vya Afya mwaka wa fe…
Na Suleiman Kodima Naibu waziri ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amesema Serikali inatambua uhitaji wa wahudumu wa afya , Vifaa tiba na Gari la kubebea wagonjwa katika Hospitali ya Uhuru hivyo wanategemea suala hilo Kuwa sehemu ya Utekelezaji…
6 April 2021, 12:52 pm
Wananchi waaswa kuto tumia shughuli za kibinadamu kuharibu barabara.
Na; Mariam Matundu. Barabara ya Makanda Kintinku iliyokuwa imepoteza mawasiliano tangu mwezi decemba mwaka jana imeanza kufanyiwa ukarabati ambapo hatua mbalimbali za awali zinaendelea. Akizungumza na tawsira ya habari manager wa Tarura wilaya ya Manyoni bw. Yose Mushi amesema zoezi…