Radio Tadio

Habari za Jumla

14 Aprili 2021, 5:08 um

WANNE WAFA MGODINI,MMOJA AKIJERUHIWA

Wachimbaji wadogo  wanne wa dhahabu wafariki dunia na mwingine kujeruhiwa baada ya kuporomoka kwa kuta wakati wakiendelea na uchimbaji wa dhahabu kwenye duara zao katika mgodi wa dhahabu na 2 uliopo Imalamate wilayani Busega mkoani Simiyu. Akizungumza na waandishi wa…

14 Aprili 2021, 4:02 um

Wafugaji wakaidi kuchukuliwa hatua kali Geita

Na Kale Chongela Serikali ya mtaa wa Tambukareli kata ya kalangalala Halmashauri ya mji wa Geita  imeanza utekelezaji wa kuwachukulia hatua kali wafugaji ambao hawazingatia  taratibu na kanuni za ufugaji maeneo ya mjini. Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo Bw Mabula…

14 Aprili 2021, 8:09 mu

Waliokimbia ukeketaji Mara waendelea na maisha

Katika mila za kikurya, kizanaki na kiikizu  mkoani Mara moja ya Mila yao kubwa ilikuwa ni ukeketaji huku sababu kuu ikielezwa kuwa ni kutengeneza nidhamu miongoni mwa wanawake huku bila kutathmini madhara yanayoweza kujitokeza kwa wanawake pindi wanapofanyiwa kitendo hicho cha…

Aprili 12, 2021, 6:38 um

Utamaduni wa ukeketaji wahatarisha maisha ya watoto wa kike Tarime.

Kituoa Cha ATFGM Masanga kilichopo wilayani Tarime Mkoani Mara kinasomesha zaidi ya watoto 100 katika shule mbalimbali waliokimbia kufanyiwa ukeketaji. Meneja Miradi wa ATFGM Masanga, Valerian Mgani amesema miongoni mwa watoto wanaowasomesha familia zao zimekataa kuwapokea kwa kukimbia kufanyiwa ukeketaji…

Aprili 12, 2021, 5:05 um

Manispaa ya Kahama yaanza utoaji wa hati ya Ardhi

Kufuatia tamko la waziri wa Ardhi Nyumba na maendeleo ya makazi William Lukuvi kuwataka wananchi kupima viwanja na kila mwenye kiwanja kumiliki hati ya Ardhi wananchi katika Manispaa ya Kahama wametakiwa kujitokeza kuchukua hati zao kwa wale waliolipia. Kauli hiyo…

12 Aprili 2021, 1:44 um

Mzee Mwinyi amtembelea Rais Samia Nyumbani kwake

Na; Mariam Kasawa. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 12 Aprili, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili,  Dkt. Ali Hassan Mwinyi ambaye amempongeza kwa kuanza vizuri majukumu…

12 Aprili 2021, 11:33 mu

Wasichana wahimizwa kutambua umuhimu wa masomo ya Sayansi

Na; Yussuph Hans Licha ya uhaba wa Wanafunzi wa Kike kusoma Masomo ya Sayansi Nchini, bado kuna changamoto mbalimbali zinazowakabili baada ya kuhitimu Masomo hayo. Hayo yamebainishwa na Afisa Mpango Ujenzi wa Nguvu za pamoja na harakati kutoka Mtandao wa…

12 Aprili 2021, 9:13 mu

Wanawake na nafasi za juu katika uongozi

Na; Mariam Kasawa. Tanzania ni miongoni mwa Nchi ambayo imekuwa ikiwapa kipaumbele wanawake hasa katika nyaja ya uongozi. Akizungumza leo katika kipindi cha Dodoma live Bi. Gloria Mafole wakili mchambuzi wa sera kutoka katika Jumuiya ya kikristo Tanzania amsema wanawake…