Habari za Jumla
9 April 2021, 9:21 am
Wananchi waombwa kutoa ushirikiano ili kukomesha mwendokasi
Na; James Justine. Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini LATRA imetoa ombi kwa wananchi kuendelea kutumia namba za simu zilizopo kwenye mabasi endapo dereva ataendesha gari kwa mwendo kasi wakiwa safarini. Taarifa hiyo imetolewa na afisa mfawidhi mamlaka ya udhibiti usafiri…
9 April 2021, 8:37 am
Nkonko wakomesha mimba shuleni, kwa kujenga bweni
Na; Seleman Kodima. Uongozi wa Kijiji cha Nkonko kilichopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida umefanikiwa kujenga bweni la wasichana katika Secondari ya Kijiji hicho ili kupunguza tatizo la mimba shuleni. Hayo yamesemwa na Diwani wa Kata ya Nkonko Bw.Ezekiel Samwel ambapo…
8 April 2021, 4:52 pm
Ukeketaji bado ni tishio kwa mabinti
Moja kati ya mila na desturi za Wakurya mkoani Mara ilikuwa ni ukeketaji kwa kiasi kikubwa madhara ya ukeketaji yalikuwa hayafichuliwi kutokana unyeti wa suala hilo. Rhoda Komanchi mkazi wa Bunda Balili anaeleza kuhusu hatari iliyotokea kwa watoto wake wawili…
8 April 2021, 3:28 pm
Serikali yaagiza kufukiwa kwa mashimo yanayotokana na uchimbaji madini
Serikali imesema mashimo makubwa yote yaliyotokana na uchimbaji wa madini katika Mikoa ya Mara, Geita na Shinyanga yanapaswa kufukiwa ili kurejeshwa katika hali yake ya awali. Hayo yamebainishwa na leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…
April 8, 2021, 3:21 pm
Manispaa ya Kahama yapanga bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022
Halmashauri ya Manisapaa ya Kahama mkoani Shinyanga inatarajiwa kutenga bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022 jumla shilingi milioni 900 hadi Billioni moja kwa ajili ya vikundi vya maendeleo kwa akina mama vijana na watu wenye ulemavu. Hayo yamesemwa na mkuu…
8 April 2021, 2:00 pm
Zaidi ya bil.15 zatumika nje ya bajeti,CAG azianika tasisi zilizofanya hivyo.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ameisoma ripoti yake ya mwaka wa fedha 2020/21 mbele ya waandishi wa habari leo Aprili 8, 2021 jijini Dodoma na kubainisha baadhi ya taasisi zikiwemo wizara zilizofanya manunuzi nje…
8 April 2021, 12:50 pm
Ripoti ya CAG yatua bungeni Ndugai kuzikabidhi kamati za hesabu za serikali.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ataikabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kamati mbili za Bunge. Amezitaja kamati hizo kuwa ni Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu…
8 April 2021, 12:49 pm
Dc Bunda awapongeza wananchi kwa ushirikiano kipindi cha maombolezo
Mheshimiwa mkuu wa wilaya ya Bunda mkoani Mara Mwalimu Lydia Bupilipili amewashukuru Wananchi wa wilaya Bunda kwa kuonesha mshikamano na uzalendo wakati wa kipindi chote cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe…
8 April 2021, 12:44 pm
TCCIA Mtwara kufanya uchaguzi leo
Mwenyekiti wa Chama cha wafanyabiashara, Viwanda na kilimo TCCIA mkoa wa Mtwara Swallah Said Swallah amesema hotuba ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hasan imerudisha matumaini kwa wakulima, Wafanyabiashara, na wenye viwanda mkoani hapa. Amesema…
8 April 2021, 12:38 pm
Rushwa ya ngono yamtia hatiani mkufunzi Chuo cha kilimo Bukoba.
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kagera John Joseph, amesema wanamshikilia mkufunzi mmoja wa chuo cha Kilimo Maruku, kilichopo katika wilaya ya Bukoba kwa tuhuma za kumuomba rushwa ya ngono mwanachuo mmoja wa kike…