Habari za Jumla
16 Aprili 2021, 07:46 mu
Tuilinde Amani kwa nguvu
Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wameaswa kuendelea kuilinda amani kwa maslahi ya mtu mmoja mmoja, Mkoa na Taifa kwa ujumla. Hayo yamesemwa jana April 14 2021 na Diwani wa kata…
16 Aprili 2021, 07:39 mu
Mwenyekiti awasaka wanafunzi majumbani
Mwenyekiti wa mtaa wa Geza ulole kata ya Majengo Manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara Ndugu Jafari Likulangu Amekuwa na utaratibu wa kupita nyumba hadi nyumba kufuatilia mwenendo wa masomo kwa wanafunzi wa mtaa wake kwa kukagua daftari zao. Mwenyekiti…
15 Aprili 2021, 6:51 um
Zaidi ya million 50 zatolewa kwenye vikundi vya wakinamama Sengerema.
Jumla ya milioni hamsini na saba57,200,000/= zimetolewa kwa vikundi 40 vya wanawake wajasiliamali wilayani sengerema mkoani. Akizungumza na Redio Sengerema Mratibu wa mfuko wa wanawake Wilaya Bi.Noela Yamo amevitaja vikundi vilivyopewa mkopo ni pamoja na imani lelemama kutoka butonga,wanaufunuo kutoka…
15 Aprili 2021, 6:00 um
Wananchi washiriki kutengeneza madawati Geita
Na Paul Lyankando: Serikali ya kijiji cha Ikunguigazi wilayani mbogwe mkoani Geita kwa kushirikiana na wananchi wameendelea kutengeneza madawati ili kuondoa changamoto ya wanafunzi zaidi 890 kusomea chini. Mwenyekiti wa kijiji cha Ikunguigazi Bw Jumanne Manyasa amesema kwa kushirikiana na…
Aprili 15, 2021, 4:14 um
Waandishi wa habari wametakiwa kuandika kwa weledi, habari zinazohusu watu wen…
Waandishi wa habari mbalimbali nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kuziwasilisha kwa weledi habari zinazohusu watu wenye ulemavu ili kupunguza unyanyapaa katika jamii. Hayo yameelezwa leo na mkufunzi ALLY MWADINI akiwa visiwani zanzibar kwenye mafunzo yanayohusu habari za watu wenye ulemavu…
15 Aprili 2021, 1:55 um
Serikali yatatua changamoto ya madarasa Membe
Na; Benard Filbert. Serikali katika Kata ya Membe Wilayani Chamwino imetatua changamoto ya madarasa iliyokuwa ikikwamisha wanafunzi kujiunga na kidato cha kwanza 2021 kwa kujenga vyumba vya madarasa. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata ya Membe Bw.Simon Petro wakati akizungumza…
15 Aprili 2021, 1:34 um
Wazee kuendelea kunufaika na sera ya matibabu bila malipo
Na; Selemani Kodima. Serikali imesema itaendelea kuwatambua wazee wenye umri wa miaka 60 na kuendelea wasio na uwezo ili kunufaika na sera ya matibabu bila malipo. Hayo yamesemwa leo bungeni na Naibu Waziri TAMISEMI Dkt Festo Dugange wakati akijibu swali…
15 Aprili 2021, 12:23 um
Vijana wanufaika na Elimu ya usafi
Na; Mindi Joseph Jumla ya vijana elfu arobaini na nane Nchini wametajwa kunufaika na elimu ya usafi inayotolewa na Taasisi ya Raleigh Tanzania kupitia mradi wa vijana na mabadiliko chanya kitabia juu ya usafi. Akizungumza na Taswira ya habari mratibu wa…
15 Aprili 2021, 11:42 mu
Tope lakwamisha shughuli za uvuvi Hombolo
Na; Victor chigwada Wakazi wa Hombolo wanao jihusisha na shughuli ya uvuvi wamelalamikia bwawa hilo kujaa tope na kupungua kina hali inayo sababisha vifo kwa wavuvi wanao kwama kwenye tope hilo. Wakizungumza na taswira ya habari wavuvi hao kutoka…
15 Aprili 2021, 10:35 mu
Dc Bunda: fanyeni usafi msisubiri mashindano
Mheshimiwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mwal Lydia Bupilipili amewataka wananchi kuendelea kujenga tabia ya kufanya usafi katika maeneo yao na siyo mpaka wasubiri kusukumwa ama kusubili mashindano. Rai hiyo ameitoa leo wakati akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake…