Habari za Jumla
9 Aprili 2021, 1:02 um
ATCL yashauriwa kuajiri watu wenye ufanisi
Na; Pius Jayunga. Serikali kupitia shirika la ndege Tanzania ATCL imeshauriwa kuajili watu wenye taaluma ya maswala ya anga ili kuleta ufanisi katika utendaji kazi ulio bora ikiwa ni pamoja na kubadili mfumo wa manunuzi ndani ya Serikali. Ushauri huo…
9 Aprili 2021, 12:16 um
Mwanaume (32) wilayani Chato ajinyonga hadi kufa
Na Mrisho Sadick: Mtu mmoja mwenye umri wa miaka (32) mkazi wa kijiji cha Izumangabo kata ya Bwanga wilayani chato mkoani Geita amejinyonga hadi kufa kwa kutumia kikoi cha mke wake huku chanzo cha tukio hilo kikiwa bado hakijafahamika. Tukio…
9 Aprili 2021, 9:59 mu
Vijiji vyote kupatiwa umeme katika awamu ya tatu ya REA
Na; Yussuph Hans. Serikali imesema inawahakikishia Wananchi wa maeneo yote ya Vijijini yaliyokuwa hayajapata Umeme katika awamu zilizopita kuwa, yatapata Umeme katika awamu ya Tatu ya mzunguko huu wa pili wa REA . Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na…
9 Aprili 2021, 9:21 mu
Wananchi waombwa kutoa ushirikiano ili kukomesha mwendokasi
Na; James Justine. Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini LATRA imetoa ombi kwa wananchi kuendelea kutumia namba za simu zilizopo kwenye mabasi endapo dereva ataendesha gari kwa mwendo kasi wakiwa safarini. Taarifa hiyo imetolewa na afisa mfawidhi mamlaka ya udhibiti usafiri…
9 Aprili 2021, 8:37 mu
Nkonko wakomesha mimba shuleni, kwa kujenga bweni
Na; Seleman Kodima. Uongozi wa Kijiji cha Nkonko kilichopo Wilayani Manyoni Mkoani Singida umefanikiwa kujenga bweni la wasichana katika Secondari ya Kijiji hicho ili kupunguza tatizo la mimba shuleni. Hayo yamesemwa na Diwani wa Kata ya Nkonko Bw.Ezekiel Samwel ambapo…
8 Aprili 2021, 4:52 um
Ukeketaji bado ni tishio kwa mabinti
Moja kati ya mila na desturi za Wakurya mkoani Mara ilikuwa ni ukeketaji kwa kiasi kikubwa madhara ya ukeketaji yalikuwa hayafichuliwi kutokana unyeti wa suala hilo. Rhoda Komanchi mkazi wa Bunda Balili anaeleza kuhusu hatari iliyotokea kwa watoto wake wawili…
8 Aprili 2021, 3:28 um
Serikali yaagiza kufukiwa kwa mashimo yanayotokana na uchimbaji madini
Serikali imesema mashimo makubwa yote yaliyotokana na uchimbaji wa madini katika Mikoa ya Mara, Geita na Shinyanga yanapaswa kufukiwa ili kurejeshwa katika hali yake ya awali. Hayo yamebainishwa na leo bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa…
Aprili 8, 2021, 3:21 um
Manispaa ya Kahama yapanga bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022
Halmashauri ya Manisapaa ya Kahama mkoani Shinyanga inatarajiwa kutenga bajeti ya mwaka wa fedha 2021/2022 jumla shilingi milioni 900 hadi Billioni moja kwa ajili ya vikundi vya maendeleo kwa akina mama vijana na watu wenye ulemavu. Hayo yamesemwa na mkuu…
8 Aprili 2021, 2:00 um
Zaidi ya bil.15 zatumika nje ya bajeti,CAG azianika tasisi zilizofanya hivyo.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere ameisoma ripoti yake ya mwaka wa fedha 2020/21 mbele ya waandishi wa habari leo Aprili 8, 2021 jijini Dodoma na kubainisha baadhi ya taasisi zikiwemo wizara zilizofanya manunuzi nje…
8 Aprili 2021, 12:50 um
Ripoti ya CAG yatua bungeni Ndugai kuzikabidhi kamati za hesabu za serikali.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema ataikabidhi ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kamati mbili za Bunge. Amezitaja kamati hizo kuwa ni Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Hesabu…