Habari za Jumla
27 Januari 2022, 12:25 UM
TFS Kanda ya kusini yazindua kampeni ya upandaji wa Miti
WAKALA wa huduma za misitu Tanzania (TFS) kanda ya kusini imezindua rasmi kampeni ya upandaji miti wilayani Masasi mkoani Mtwara katika kipindi hiki cha msimu wa mvua ambapo miti zaidi ya 50,000 inatarajiwa kupandwa katika maeneo mbalimbali ya wazi katika…
27 Januari 2022, 6:58 mu
Abiria watoe taarifa kuepusha ajali barabarani
RUNGWE-MBEYA Tabia za kibinadamu zimepelekea kuongezeka kwa ajali barabarani kote nchini hadi kufikia asilimia 76% kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa hivi karibuni na jeshi la polisi. Akizungumza na Radio cha FM kupitia kipindi cha Amka na Chai Mkuu wa kikosi…
26 Januari 2022, 7:56 um
IDADI YA Â WAJAWAZITO Â WANAOJIFUNGULIAÂ Â KWENYE VITUOÂ VYAÂ AFYAÂ YAFIKIAÂ…
Idadi ya akina mama wanaojifungulia kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeongezeka kutoka Asilimia 55 kwa Mwezi Januar -June, 2021 hadi kufikia Asilimia 96.4% kwa Mwezi Julai –Decemba, 2021 huku hamna kifo kitokanacho na Uzazi …
26 Januari 2022, 1:36 um
Serengeti Mara: Ajinyonga Baada ya kuthibitika kuwachinja watoto wake wanne
Daud Samwel (30) mkazi wa Kitongoji cha Burunga Wilaya ya Serengeti Mkoani Mara amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali yake baada ya kudhibitiwa kuwachinja watoto wake wanne kufuatia mke kumkimbia baada ya kuzidiwa na kipigo. Tukio hilo limethitibitishwa na na…
26 Januari 2022, 8:50 mu
Wananchi waitumie wiki ya sheria kupata msaada wa kisheria
RUNGWE-MBEYA Kuelekea kilele cha wiki ya sheria nchini mahakama wilayani Rungwe imewataka wananchi kujitokeza katika maeneo ambayo zoezi la utoaji elimu litakuwa likifanyika . Akizungumza na Radio Chai Kaimu Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Rungwe Bw.Augustine Lugome amesema utaratibu huu …
26 Januari 2022, 7:55 mu
Bunda: Nyumba tatu zabomolewa na wananchi wenye hasira kali kwa tuhuma za wizi
Nyumba tatu (slop) za mzee Paul Muhere Maneno mkazi wa mtaa wa Kilimahewa Kata ya Kabarimu halmashauri ya mji wa Bunda Mkoani Mara zimebomolewa na wananchi wenye hasira kali. Akizungumzia na Redio Mazingira fm,mtendaji wa Kata ya Kabarimu Ndugu William…
26 Januari 2022, 4:49 MU
BARAZA la Madiwani la halmashauri ya mji Masasi limepitisha rasimu ya makisio y…
BARAZA la Madiwani la halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti ya mapato na matumizi ya halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha, 2022/2023 ya Sh.23.8 bilioni. Madiwani hao wamepitisha bajeti hiyo ya mapato na matumizi…
24 Januari 2022, 9:46 um
Madiwani Missenyi waridhia kujenga uwanja wa michezo
Baraza la Madiwani Missenyi limeridhia Ujenzi wa Uwanja wa Michezo na suala hili kuweka katika mpango mkakati wa Maendeleo wa miaka mitano. Katika kikao Maalum cha Baraza la Madiwani kilichoketi Jumatatu Januari 24, 2022 kwa ajili ya kupitisha mpango Mkakati…
24 Januari 2022, 5:06 MU
Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini.
MASASI: Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini. Matembezi yanaanzia Uwanja wa Fisi hadi Uwanja wa BOMA ambapo uzinduzi rasmi utafanyika. Kaulimbiu: “Zama za mapinduzi ya nne ya viwanda, safari ya maboresho kuelekea Mahakama mtandao” Kaulimbiu hii inahamasisha wananchi kutumia njia…