Habari za Jumla
17 February 2021, 1:31 pm
80 wakosa masomo Chamwino kwa uhaba wa madarasa
Na, Benard Filbert, Dodoma. Zaidi ya wanafunzi 80 wa kidato cha kwanza mwaka 2021 wameshindwa kuripoti shuleni, kutokana na uhaba wa vyumba vya madarasa uliyopo katika shule ya Sekondari Membe Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma. Hayo yameelezwa na Diwani wa…
17 February 2021, 10:51 AM
Rest In Peace- Maalim Seif Shariff Hamad.
Rais wa Zanzibar, Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar , aliyefariki leo Jumatano saa 5:00 asubuhi.Maalim Seif amekumbwa na umauti katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Raisi…
17 February 2021, 10:09 AM
Lishe kwa watoto wenye umri wa miaka 3-5
Watoto katika umri huu wana mahitaji makubwa ya virutubishi kwa sababu wapo katika kipindi cha ukuaji wa haraka. Pia katika kipindi hiki huwa hakuna uangalizi mzuri wa watoto, na hivyo kuwaacha watoto wale chakula peke yao au kula na watoto…
17 February 2021, 09:59 am
Madiwani Manispaa ya Mtwara watembelea miradi ya Maji MTUWASA
Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani wamefanya ziara ya kuangalia miradi na vyanzo vya maji vya Mamlaka ya Maji safi na maji taka mjini Mtwara (MTUWASA) kwa lengo la kujifunza na kuona namna ya ufanisi wa kazi wa…
17 February 2021, 9:56 AM
Barcelona wanyooshwa na PSG mabao 4-1
LICHA ya kutupia bao la kwanza mapema dakika ya 27 kwa mkwaju wa penalti,kupitia kwa Lionel Messi bado ilikubali kichapo cha mabao 4-1 mbele ya PSG, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, hatua ya 16 bora. Barcelona imekuwa kwenye wakati…
17 February 2021, 9:52 AM
WADAU wa elimu Jimbo la Lulindi Halmashauri kupiga marufuku vitendo kuwafanyia…
WADAU wa elimu Jimbo la Lulindi Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kwa kauli moja wamepitisha maazimio mbalimbali likiwemo la kupiga marufuku vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wazazi wa wanafunzi wa wanaomaliza elimu ya msingi( Darasa la saba) kuwafanyia…
17 February 2021, 6:28 am
Wananchi Makanda walia na ubovu wa barabara
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Wakazi wa kata ya makanda Wilayani Manyoni wameiomba serikali kufanya ukarabati wa barabara ya Makanda –Kintiku iliyopeteza mawasiliano tangu mwezi desemba mwaka jana 2020.Wakizungumza na Taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kuharibika kwa barabara hiyo…
13 February 2021, 5:28 pm
Wafanyabiashara waridhia tozo ya shilingi 50,000.
Wafanyabiashara waliopanga katika vibanda vinavyomilikiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa vilivyoko katika kata ya Kasiki maeneo ya uhindini wamekubali kulipa tozo ya shilingi 50,000 kwa mwezi kwa kibanda hadi hapo vitakapofanyika vikao vya kisheria mara baada ya mwaka wa…
11 February 2021, 2:25 pm
Muda huu utumike kutoa elimu kwa wakulima
Na,Mariam Matundu, Dodoma. Kutokana na kusitishwa kwa maonesho ya Nanenane mwaka huu,wito umetolewa kutumia muda huu kutoa elimu kwa wakulima juu ya umuhimu wa nane nane na nini wanapaswa kufanya katika maonesho hayo ili yawanufaishe kwa miaka ijayo. Hayo yameelezwa…
11 February 2021, 2:00 pm
Wasiolipa ada ya usafi jijini Dodoma kukiona
Na,Yusuph Hans, Dodoma. Halmashauri ya jiji la Dodoma imeelezea baadhi ya adabu anazoweza kupewa mwananchi au kaya ambayo haitaki kulipa ada ya uzoaji taka, inayokusanywa kutokana na huduma hiyo kutolewa kila wiki. Akizungumza na Taswira ya Habari afisa afya wa…