Habari za Jumla
25 Machi 2022, 7:02 mu
Chelsea yaruhusiwa kuuza tiketi
CHELSEA itaruhusiwa kuuza tiketi za michezo ya ugenini, mechi za mataji zinazohusisha timu ya wanawake baada ya serikali ya Uingereza kufanya mabadiliko kwenye leseni maalum ya klabu hiyo. Klabu hiyo haikuweza kuuza tiketi tangu mmiliki Roman Abramovich alipowekewa vikwazo na…
Machi 24, 2022, 6:00 um
Wanafunzi na walimu wa clubs za GBV wapanga mpango endelevu wa ulinzi na usalama…
Kutokana na kutokuwepo kwa ulinzi na usalama wa mtoto ndani na nje ya shule wanafunzi wa clubs za kupinga ukatili wa kijinsia GBV wilayani kahama mkoani shinyanga wamesema imekua chanzo kikubwa kinachosababisha kutendendeka kwa vitendo vya ukatili kwenye jamii. Wameyasema…
22 Machi 2022, 4:14 um
Waziri wa ardhi azindua baraza la Ardhi Sengerema.
Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya makazi Mh, Agelina Mabula amewataka watumishi wa mabaraza ya ardhi na nyumba ya Wilaya nchini kutimiza wajibu wao kwa weledi kwa kuzingatia sheria ,kanuni ,taratibu na miongozo iliyopo na itakayotolewa ili kuboresha utoaji…
22 Machi 2022, 8:47 mu
Wanunuzi parachichi wafuate bei elekezi ya serikali
RUNGWE-MBEYA Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Rungwe MPOKIGWA MWANKUGA amewataka wakulima wa zao la parachichi kuuza zao hilo kwa kufuta bei elekezi iliyotolewa na serikali ya shilingi 1600 kwa kilo. Ametoa kauli hiyo alipo kuwa akitoa elimu kwa wananchi…
21 Machi 2022, 8:18 um
WENYEVITIÂ WAÂ VITONGOJIÂ ZAIDIÂ YAÂ 40 WILAYANIÂ MASWAÂ WAGOMEAÂ POSHOÂ…
Wenyeviti wa vitongoji zaidi ya Arobaini wanaounda Mamlaka ya Mji mdogo Maswa wamegoma kushiriki zoezi la Uandikishaji wa anuani za Makazi kutokana na Kupunjwa Posho katika Zoezi la Uandikishaji wa Anuani za Makazi hivyo kupelekea kuomba Mwongozo wa Halmashauri kuhusu …
18 Machi 2022, 9:19 mu
Watumiaji wa barabara watakiwa kuzingatia sheria za usalama barabarani
RUNGWE Na Lennox Mwamakula Mkuu wa kikosi cha usalama Barabarani wilayani Rungwe mkoani Mbeya FELIX KAKOLANYA amewataka waendesha vyombo vya moto kufuata sheria za barabarani wanapo tumia vyombo hivyo. Kauli hiyo ameitoa wakati akizungunza na madereva pamoja na watumiaji wengine…
17 Machi 2022, 9:58 um
Msaada watolewa kwa watoto yatima karatu Arusha
Na Nyangusi ole sang’da Arusha,Wanawake kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa niaba ya wanawake wengine wa Taasisi zilizoko chini ya Wizara ya Maliasili na utalii leo tarehe 17 Machi, 2022 wametembelea kituo cha Watoto yatima cha Jesus life…
16 Machi 2022, 11:11 mu
Jicho la mama mkombozi wa watoto yatima na wasiojiweza Rungwe
RUNGWE, Na Sabina Martin Msaada wa mahitaji mbalimbali wenye thamani ya zaidi ya shilingi laki sita umetolewa kwa watoto yatima katika kituo cha kulelea watoto hao cha Igongwe wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake cha jicho la…
16 Machi 2022, 10:41 mu
Kamati ya Bunge ya uongozi ya serikali za mitaa [TAMISEMI ] yaridhishwa ujenzi w…
RUNGWE Na Lennox Mwamakula Kamati ya Bunge ya uongozi ya serikali za mitaa [TAMISEMI ] imefanya ziara wilayani Rungwe mkoani Mbeya ya ukaguzi wa barabara ya kutoka Masebe-Bugoba hadi Lutete yenye urefu wa kilometa 12 iliyo jengwa kwa kiwango cha…
15 Machi 2022, 5:27 um
kutozingatia vipimo sahihi ndo changamoto ya upungufu wa Dawa kwa wakulima wa Pa…
Balozi wa Pamba nchini Tanzania Mh Agrey Mwanri amesema wakulima wa Pamba wamekuwa na malalamiko kuhusu upungufu wa Dawa kutokana na maeneo ya mashamba yao kutokuwa na vipimo sahihi Kauli hiyo ameitoa Leo 15 march 2022 katika siku ya tatu…