Radio Tadio

Habari za Jumla

26 Machi 2026, 6:11 um

Kupanda kwa bei ya nyama, kilio kwa wafanyabiashara

Wananchi katika manisipaa ya Mpanda wameomba serikali kuingilia kati swala la kupanda kwa bei ya nyama ili kuhakikisha bei inashuka na kuendana na hali ya maisha ya wananchi wa kawaida. Na John Benjamin Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani…

24 Machi 2026, 18:41

Kaya 100 zakumbwa na mafuriko Kilombero

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…

17 Machi 2026, 1:22 um

RC Macha amaliza mgogoro wa fidia kwa wananchi

“Ni kweli hakuna mtu asiyependa maendeleo ya nchi yake kila wananchi anatamani kuona miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wingi bila changamoto zozote zile za kimaslahi kwa wale wanaopaswa kulipwa fidia zao kutokana na kupisha miradi hiyo katika maeneo hayo”. Na,Daniel…

12/03/2026, 13:05

Wananchi waungana matengenezo barabara za mtaa

Wananchi wa ubalozi wa Msasani kitongoji cha Ipyana wilayani kyela wamehamasishana kulima barabara korofi kipindi hiki cha Mvua za masika na kupelekea kukosekana kwa mawasiliano kati ya ubalozi wao na balozi zingine. Na Masud Maulid Wananchi wa ubalozi wa msasani…

11 Machi 2026, 4:58 um

RC Katavi asikiliza kero za wananchi

“Kila taasisi ipande miti” Na Leah Kamala Wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameelezea kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao, na kumuomba mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko kuzifanyia kazi ili kuboresha maisha yao. Kero hizo ziliwasilishwa na wananchi…