Habari za Jumla
30 Januari 2026, 11:23 mu
Wanawake wenye ulemavu wainua sauti,saini itifaki ya Afrika
Na Mary Julius. Wanachama wa vikundi vya wanawake wenye ulemavu Kusini Unguja WUKU wametakiwa kutumia ipasavyo mafunzo waliyoyapata kupitia mradi wa kuwezesha utetezi wa haki za wanawake wenye ulemavu, na kuunga mkono kusainiwa kwa itifaki ya afrika kuhusu haki za…
27 Januari 2026, 2:46 um
Sekta binafsi yahimizwa kusaidia kuokoa maisha kupitia uchangiaji damu
Na Mary Julius. Balozi wa Utalii Zanzibar, Lois Inninger, amezitaka kampuni binafsi zinazofanya shughuli zake hapa nchini kurudisha kwa jamii sehemu ya faida wanazozipata, kwa kuchangia misaada mbalimbali itakayosaidia kuboresha ustawi wa jamii, hususan katika sekta ya afya. Balozi Inninger…
Januari 27, 2026, 2:15 mu
Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa
Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…
Januari 22, 2026, 9:57 mu
Wananchi Kahama watakiwa kuacha tabia ya kutupa taka kwenye mitalo
Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kutupa taka kwenye mitalo ya maji pamoja na kulinda miundombinu ya barabara ili kuondokana na athari ya mafuriko ya maji wakati wa msimu wa mvua.…
19 Januari 2026, 1:42 UM
Gari la abiria kichaka cha kusafirisha madawa ya kulevya
Na Lilian Martin Pamoja na muonekano wake wa nje kuonekana ni Gari la abiria ila kwa ndani kuna chemba ya maficho mizigo haramu ambayo kwa kawaida huwezi kubaini, ila wahenga husema za mwizi 40 na leo zimeshafika. Katika Wailes, Temeke…
18 Januari 2026, 8:49 um
Changamoto wasaidizi wa sheria Zanzibar ZAPONET yasisitiza uandishi wa miradi
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET Zanzibar, Asia Abdulsalam Hussein, amesema ili jumuiya za wasaidizi wa sheria ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ni lazima zijikite katika uandishi wa miradi na utafutaji wa wafadhili, hatua…
Januari 16, 2026, 7:04 um
Sokwemtu hatarini kutoweka katika Hifadhi ya Taifa Gombe
Shughuli za binadamu ikiwemo kilimo, uchomaji wa mkaa, ukataji miti kwa ajili ya nishati kuni pamoja na naongezeko la makazi ya watu katika maeneo ya Hifadhi ya Taifa Gombe mkoani Kigoma, zimetajwa kusababisha mabadiliko ya Tabianchi katika eneo hilo hali…
14 Januari 2026, 5:47 mu
Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel yajipanga kutengeneza madawati
Madawati mabovu yaliyopo katika shule ya msingi Mpanda. Picha na Rhoda Elias “Tayari tumeshawaelekeza mafundi wamekuja na kufanya tathimini yao” Na Rhoda Elias Serikali ya mtaa wa Mpanda hotel imefanya ziara katika shule ya msingi Mpanda iliyopo manispaa ya Mpanda…
10 Januari 2026, 3:41 um
Mkombozi Paralegal watoa elimu ya ukatili Katavi
Afisa maendeleo akitoa elimu kwa wananchi. Picha na Anna Milanzi “Tunawajengea uwezo kamati hizo kwa kuziimarisha” Na Anna Milanzi Taasisi ya Mkombozi Paralegal iliyopo mkoani Katavi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata elimu ya masuala ya ukatili wa kijinsia na kuwawezesha kutambua…
Januari 9, 2026, 10:26 mu
Serikali yaahidi kuiboresha DIT
Kwa malengo ya kuongeza ubora wa taaluma Na Devi Moses SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha na kuendeleza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT) Kampasi ya Songwe ili kuongeza ubora wa mafunzo ya ufundi nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,…