Habari za Jumla
December 3, 2025, 10:08 pm
Madaraja tarafa ya Makere changamoto kwa watoto wa shule
Wananchi wa kata ya Makere waomba kujengewa miundombinu ya madaraja katika Kata mbalimbali Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ili kuondoa ajari za watoto wa shule hasa katika kipindi cha mvua. Na; Saharifa Shinji Baadhi ya wakazi wa Kata ya Makere…
December 3, 2025, 5:51 pm
Kasulu waomba nyama ishuke bei msimu wa sikukuu
Wafanya biashara wa nyama katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameeleza namana soko la nyama linavyoendelea pamoja na kubainisha kuwa bei ya nyama kupanda ni kutokana na soko la ng’ombe kuwa juu. Na; Sharifat Shinji Wafanya biashara wa nyama katika soko…
3 December 2025, 5:28 pm
Jamii ya Mikumi yainuka kiuchumi kupitia ushirikiano na TANAPA
Na Mary Julius. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeendelea kushirikiana kwa karibu na jamii inayozunguka Hifadhi ya Mikumi kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kuinua maendeleo ya wananchi. Afisa Uhifadhi Daraja la Kwanza, Emakulata Mbawi, anayesimamia kitengo cha…
28 November 2025, 10:12 pm
Mwabulambo awataka wananchi kushiriki zoezi la usafi
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kushiriki zoezi la usafi katika maeneo yanayowazunguka kama ulivyo utaratibu wa kufanya usafi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Afisa afya mkoa wa Manyara Suten Mwabulambo, amesema halmashauri zote mkoani humo…
November 27, 2025, 6:58 am
Mbolea ya ruzuku yakamatwa ikiuzwa kwa bei ya ulanguzi
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
26 November 2025, 12:59
Watumishi wa umma watakiwa kutumia PSSSF kidijitali Kigoma
Watumishi wa Mkoani Kigoma wamepongeza Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa kuboresha huduma zake za kuanza kutoa huduma kidijitali Na Emmanuel Matinde Maafisa Utumishi na Wahasibu kutoka taasisi mbalimbali za Serikali wametakiwa kutumia mifumo ya…
26 November 2025, 12:24 pm
MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara
Kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa kujitokeza katika Madawati ya kisheria ili kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo na Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…
26 November 2025, 10:51 am
Wafanyabiashara walia na miundombinu ya soko la Mpanda hotel
“Mvua zinazoendelea kunyesha zinaleta madhara makububwa “ Na Samwel Mbugi Wafanyabiashara wa soko la Mpanda hotel wameiomba serikali kushughulikia changamoto ya mifereji ya kupitishia maji hususani kipindi hiki cha mvua zilizoanza kunyesha ili isije kuleta madhara ya magojwa ya mlipuko.…
26 November 2025, 10:30 am
RC Katavi “Toeni huduma bora na ufanisi kwa wananchi”
“Hakikisheni mnakuwa wabunifu katika kutoa huduma” Na Restuta Nyondo Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko ameziagiza taasisi zote za umma kutoa huduma bora na ufanisi kwa wananchi na kuhakikisha wanakua wabunifu katika utoaji wa huduma bila visingizio. Ameyasema…
November 26, 2025, 12:40 am
World Vision Tanzania yahimiza kutunza miradi ya maendeleo
Wadau wa maendeleo wa miradi ya World VisionTanzania katika Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu wameombwa kuitunza miradi inayotekelezwa na shirika hilo ili ije kusaidia vizazi vijavyo. Na; Ramadhan Zaidy Shirika la maendeleo la World Vision Tanzania linalotekeleza miradi katika Halmashauri…