Habari za Jumla
31 Machi 2026, 13:31
Usawa wa kijinsia umetekelezwa ipasavyo au bado kuna ukandamizaji?
Katika miaka ya hivi karibuni, suala la usawa wa kijinsia limeendelea kupewa kipaumbele katika jamii nyingi Duniani, ikiwemo Tanzania. Na Mzidalfa Zaid Makala yetu imezungumza na wanawake, wanaume, mganga mkuu wa mkoa wa Manyara ,mkaguzi wa jeshi ka zima moto…
26 Machi 2026, 6:11 um
Kupanda kwa bei ya nyama, kilio kwa wafanyabiashara
Wananchi katika manisipaa ya Mpanda wameomba serikali kuingilia kati swala la kupanda kwa bei ya nyama ili kuhakikisha bei inashuka na kuendana na hali ya maisha ya wananchi wa kawaida. Na John Benjamin Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani…
24 Machi 2026, 18:41
Kaya 100 zakumbwa na mafuriko Kilombero
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…
20/03/2026, 13:32
Tutambue umuhimu wa utunzaji misitu katika maeneo yetu
Kata mti panda mti ni neno tunalolisikia mara nyingi ikihimiza umuhimu wa miti katika maeneo yetu kwa lengo la kutunza uoto wa asili je wewe ni miongoni wa wanao panda au wanaokata? Na Lilian Martin Kufuatia Siku ya Misitu Duniani…
19/03/2026, 08:01
Waandishi wa habari wapigwa msasa uthibiti wa Taarifa potofu mtandaoni
Kutokana na kuwepo kwa taarifa nyingi za upotoshaji katika mitandao ya kijamii Taasisi ya jamii Afrika imeona ipo sababu ya kutoa Elimu juu ya kutambua ukweli wa habari hizo ili kupunguza wimbi la taarifa potofu katika vyombo vya habari Na:…
17 Machi 2026, 14:26
Megawati 50 za Umeme wa jua Kishapu zaikosha kamati ya Bunge
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuendelea kutekeleza mkakati wa kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya nishati (Energy Mix) ukiwamo mradi wa kuzalisha umeme wa jua wenye uwezo wa megawati 50…
17 Machi 2026, 13:30
Wakazi wa Lugela-Mtakuja kuondokana na changamoto ya nishati ya umeme
”Huduma ya niashati ya umeme kwa mtaa wa Lugela-Mtakuja unatarajiwa kufika katika eneo hilo hivi karibuni” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa mtaa wa Mtakuja kata ya Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinynga, wanatarajia kupatiwa huduma ya nishati ya umeme katika maeneo…
17 Machi 2026, 1:22 um
RC Macha amaliza mgogoro wa fidia kwa wananchi
“Ni kweli hakuna mtu asiyependa maendeleo ya nchi yake kila wananchi anatamani kuona miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wingi bila changamoto zozote zile za kimaslahi kwa wale wanaopaswa kulipwa fidia zao kutokana na kupisha miradi hiyo katika maeneo hayo”. Na,Daniel…
12/03/2026, 13:05
Wananchi waungana matengenezo barabara za mtaa
Wananchi wa ubalozi wa Msasani kitongoji cha Ipyana wilayani kyela wamehamasishana kulima barabara korofi kipindi hiki cha Mvua za masika na kupelekea kukosekana kwa mawasiliano kati ya ubalozi wao na balozi zingine. Na Masud Maulid Wananchi wa ubalozi wa msasani…
11 Machi 2026, 4:58 um
RC Katavi asikiliza kero za wananchi
“Kila taasisi ipande miti” Na Leah Kamala Wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameelezea kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao, na kumuomba mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko kuzifanyia kazi ili kuboresha maisha yao. Kero hizo ziliwasilishwa na wananchi…