Habari za Jumla
Disemba 13, 2025, 3:25 um
CRDB kuwanufaisha wakulima Buhigwe
Wakulima wilayani Buhigwe kupitia kwa mbunge wa jimbo la Buhigwe Prof. Pius Yanda wamenufaika na mafunzo ya mikopo kutoka Taasisi ya kifedha ya Bank ya CRDB kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo kupitia mikopo hiyo. Na; Sharifat Shinji Wakulima…
12 Disemba 2025, 10:31 um
RC Sendiga aamuru bar kufungwa kwa kutiririsha majitaka
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amefanya ziara ya kushtukiza kwenye Bar ya Barazani inayotiririsha maji machafu aina ya kinyesi cha binadamu na kumwamuru mkuu wa wilaya ya Babati na OCD kuifunga Bar hiyo mpaka mmiliki wake atakapojisalimisha mwenyewe…
10 Disemba 2025, 3:36 um
Machinga Complex yaendelea na shughuli, ulinzi waimarishwa
Picha ni soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Hali ya ulinzi na usalama imeendelea kuimarishwa na vyombo vya usalama, huku wafanyabiashara wakijitokeza na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Na Lilian Leopold. Wafanyabiashara wa…
Disemba 3, 2025, 10:08 um
Madaraja tarafa ya Makere changamoto kwa watoto wa shule
Wananchi wa kata ya Makere waomba kujengewa miundombinu ya madaraja katika Kata mbalimbali Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ili kuondoa ajari za watoto wa shule hasa katika kipindi cha mvua. Na; Saharifa Shinji Baadhi ya wakazi wa Kata ya Makere…
Disemba 3, 2025, 5:51 um
Kasulu waomba nyama ishuke bei msimu wa sikukuu
Wafanya biashara wa nyama katika Halmashauri ya Mji Kasulu wameeleza namana soko la nyama linavyoendelea pamoja na kubainisha kuwa bei ya nyama kupanda ni kutokana na soko la ng’ombe kuwa juu. Na; Sharifat Shinji Wafanya biashara wa nyama katika soko…
3 Disemba 2025, 5:28 um
Jamii ya Mikumi yainuka kiuchumi kupitia ushirikiano na TANAPA
Na Mary Julius. Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeendelea kushirikiana kwa karibu na jamii inayozunguka Hifadhi ya Mikumi kwa lengo la kuimarisha uhifadhi na kuinua maendeleo ya wananchi. Afisa Uhifadhi Daraja la Kwanza, Emakulata Mbawi, anayesimamia kitengo cha…
28 Novemba 2025, 10:12 um
Mwabulambo awataka wananchi kushiriki zoezi la usafi
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kushiriki zoezi la usafi katika maeneo yanayowazunguka kama ulivyo utaratibu wa kufanya usafi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi hapa nchini. Na Mzidalfa Zaid Afisa afya mkoa wa Manyara Suten Mwabulambo, amesema halmashauri zote mkoani humo…
Novemba 27, 2025, 6:58 mu
Mbolea ya ruzuku yakamatwa ikiuzwa kwa bei ya ulanguzi
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
26 Novemba 2025, 12:59
Watumishi wa umma watakiwa kutumia PSSSF kidijitali Kigoma
Watumishi wa Mkoani Kigoma wamepongeza Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) kwa kuboresha huduma zake za kuanza kutoa huduma kidijitali Na Emmanuel Matinde Maafisa Utumishi na Wahasibu kutoka taasisi mbalimbali za Serikali wametakiwa kutumia mifumo ya…
26 Novemba 2025, 12:24 um
MVIWATA-jitokezeni changamoto za ukatili wa kijinsia Manyara
Kuelekea siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, wakulima wadogo Mkoa wa Manyara wametakiwa kujitokeza katika Madawati ya kisheria ili kupeleka changamoto za ukatili wanazo kutananazo. Na Emmy Peter Hayo yamesemwa leo na Mhandisi Agrey Mahole ambae amemuwakilisha mkuu wa…