Elimu
12 Oktoba 2022, 12:43 um
Uhaba wa madarasa Miganga wawanyima uhuru wanafunzi
Na; Benard Filbert. Uhaba wa madarasa katika shule ya msingi Miganga kata ya Idifu wilaya ya Chamwino imetajwa kuwa kikwazo cha wanafunzi kujifunza kwa uhuru. Hayo yameelezwa na wazazi wa wanafunzi katika kijiji cha Miganga wakati wakizungumza na Taswira ya…
11 Oktoba 2022, 11:43 mu
Vijana Waaswa Kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere
KATAVI. Vijana Mkoani katavi wametakiwa kuwa na utamaduni wa kumuenzi baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambalage Nyerere kwa kuwa wazarendo na kudumisha amani ya taifa kuelekea kumbukizi ya miaka 23 ya kifo chake. Kauli hiyo imetolewa na Rafael Peleleza kijana…
5 Oktoba 2022, 2:23 um
Wilaya ya Kongwa yatarajia kuanza ujenzi wa vyumba 70 vya madarasa
Na; Alfred Bulahya. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma, imepokea kiasi cha fedha shilingi bilion moja na milioni mia nne kwa lengo la ujenzi wa vyumba vipya 70 vya madarasa kwa ajili ya wanafunzi watakaofaulu mtihani wa darasa la…
4 Oktoba 2022, 5:49 mu
Wazazi Chanzo cha Watoto Kujihusisha na Biashara Muda wa Masomo
KATAVI Wazazi kutohusika kwenye malezi ya watoto wao imekuwa ni chanzo cha watoto kujihusisha kwenye shughuli mbalimbali za kujitafutia kipato, muda ambao watoto hao walipaswa kuwa shule. Wakizungumza na mpanda Radio fm baadhi ya watoto wakiwa kwenye shughuli za kujitafutia…
16 Septemba 2022, 1:01 um
Serikali yasisitiza umuhimu wa lishe bora shuleni
Na; Alfred Bulahya. Serikali kupitia Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia imesema kuwa ili kupata matokeo mazuri ya elimu ni lazima kuhakikisha upatikanaji wa lishe bora shuleni ili kuwajengea wanafunzi afya bora na kupata utulivu wa akili wawapo madarasani. Akizungumza Jijini…
16 Septemba 2022, 4:43 mu
Zaidi ya Wanafunzi 5,000 Kusomea Chini Kata ya Shanwe
MPANDA Zaidi ya wanafunzi 5000 katika Kata ya Shanwe manispaa ya Mpanda mkoani katavi hawana sehemu ya kusomea hali ambayo inapelekea kusomea nje. Akizungumza na Mpanda Redio FM Diwani wa Kata ya Shanwe Masumbuko Makolo kolo amesema kuwa shule zilizopo…
16 Septemba 2022, 4:28 mu
Wananchi Waaswa Kufichua Vitendo vya Kiharifu
KATAVI Wananchi mkoani Katavi wamepaswa kufichua na kushiriki katika kutoa taarifa na vitendo vya kiharifu ili kukomesha vitendo hivyo. Hayo yamesemwa na Inspekta Kelvin Fuime kutoka ofisi ya Kamanda wa Polisi Mkoa Dawati la Jinsia, ambapo amesema ni wajibu wa…
16 Septemba 2022, 4:07 mu
Watembea kwa Miguu Walia na Waendesha Vyombo vya Moto
MPANDA Baadhi ya watembea kwa miguu katika manispaa ya mpanda mkoani katavi wamewalalamikia madereva wa vyombo vya moto kutozingatia sheria na alama za usalama barabarani pindi wanapoendesha. Wakizungumza na mpanda redio fm wananchi hao wameeleza kuwa wanakutana na changamoto ya …
10 Septemba 2022, 9:26 mu
TOZO ya miamala ya simu yasaidia upatikanaji wa madarasa
RUNGWE-MBEYA Kupitia TOZO ya miamala ya simu, Serikali imetoa jumla ya shilingi Million 12.5 kwa ajili ya ukamilishaji wa chumba Cha darasa katika shule ya Sekondari Ndembela one iliyopo kata ya Makandana. Aidha Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe imetoa kiasi…
5 Septemba 2022, 11:08 mu
Wananchi Wa Ivungwe Walilia Shule Shikizi
IVUNGWE Wananchi wa Kitongoji cha Ivungwe A kijiji cha Kasokola wameulalamikia uongozi wa serikali ya kijiji kwa kushindwa kuendeleza Mpango wa kujenga shule shikizi katika kitongoji hicho licha ya kuchanga pesa na kufyatua tofali. Wakizungumza na Mpanda radio fm wananchi…