Burudani
8 Oktoba 2024, 11:57
Maafisa uandikishaji Mtwara DC waaswa kufuata taratibu za uchaguzi
Ni zaidi ya maafisa 400 wa uandikishaji wa daftari la wapiga kura wameapa na kupata seimina ya jinsi ya kuanya uandikishaji katika uchaguzi wa serikali za mitaa katika halmashauri ya Mtwara vijijini Na Musa Mtepa Mratibu wa Usimamizi wa Uchaguzi…
29 Septemba 2024, 00:35
Kafunda ataka uelewa kanuni za uchaguzi Mtwara Vijijini
Kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa serikali imejikita katika kuhakikisha inatoa elimu ya kutosha kwa wananchi wote wenye sifa wanashiriki kikamilifu katika uchaguzi huo kwa kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ili waweze kushiriki katika kuchagua kiongozi wanae mtaka Na Musa…
28 Septemba 2024, 10:20
Watu wenye ulemavu wahimizwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa
Abdala Saidi Adam ni mlemavu wa macho aliyefanikiwa kupata elimu ya sekondari ya kidato cha nne na kufaulu lakini alishindwa kuendelea na masomo kutokana na hali ngumu ya Maisha ya wazazi wake hivyo akalazimika kurudi nyumbani na kuendelea na Maisha…
15 Agosti 2024, 2:30 um
Mapato ya madini ujenzi, Geita Mji yapaa
Madini ujenzi ikiwemo mawe , kokoto , mchanga na moramu chanzo cha mapato kilichokuwa hakitazamwi sana katika halmashauri ya mji wa Geita. Na Mrisho Sadick: Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Geita mkoani Geita limempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa…
16 Julai 2024, 20:20
Wahitimu vyuo watakiwa kutumia elimu zao kukabiliana na ukatili
Kila Jambo linalopaswa huwa linakuwa na mwisho, hata kwenye suala la elimu nalo linaukomoo kulingana na ngazi aliyopo mtu. Na Rukia Chasanika Wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini wameshauriwa kutumia vizuri elimu zao katika kukabiliana na vitendo vya kikatili pamoja na…
4 Julai 2024, 4:53 um
Madiwani watakiwa kuhamasisha wananchi uboreshaji daftari la mpiga kura
vijana ambao tayari wamefikisha miaka 18 kujiandisha nao waweze kupata haki yao ya msingi ya kupiga kura Na leokadia Andrew Madiwani wa halmashauri tatu za wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwahamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari la kudumi la…
28 Mei 2024, 5:28 um
Halmashauri ya Ushetu yapata hati safi
Mwenyekiti wa halmashauri ya Ushetu Gagi Lala akiwa katika baraza la madiwani (picha na Sebastian Mnakaya ) usimamizi wa ukusanyaji wa mapato umekwenda vizuri ukilinganishwa na mwaka wa fedha 2022/2023 ambao ukusanyaji ulikuwa mbovu mpaka kusababisha kupata hati chafu na…
1 Agosti 2023, 5:53 um
Katavi Special Talent Search (STS)
Nyomi ya Nsimbo kushuhudia mashindano ya STS. #mpandaradiofm97.0 #uwawamika #NMBBank #CRDBBank
17 Julai 2023, 10:17 mu
Special Talent Search STS
Inyonga imetoa washindi watatu katika mashindano ya kusaka vipaji STS yaliyofanyika Julai 15 Katika viwanja vya shule ya msingi Inyonga. #mpandaradiofm97.0 #katavists
18 Febuari 2023, 16:05
AKA alikuwa kama Diamond kwa Afrika Kusini
Na Erick Mallya Siku ya Ijumaa, ibada ya kumbukumbu ambayo ilikuwa wazi kwa umma ilifanyika katika Kituo cha Mikutano cha Sandton, Johanesburg nchini Afrika Kusini katika kuadhimisha maisha ya msanii huyo na mchango wake katika tasnia ya muziki ya Afrika…