Radio Tadio

Burudani

15 December 2024, 11:24

Namtumbuka atahadharisha matumizi mihuri kinyume na utaratibu

Ni kikao kazi kilichoitishwa na Diwani wa kata ya Namtumbuka Al-haji Salumu Lipwelele kwa viongozi wa vijiji waliochaguliwa hivi karibuni chenye lengo la kufahamiana na wakuu wa idara waliopo katika kata ya Namtumbuka ili kurahisisha katika utekelezaji wa majuku yao.…

3 December 2024, 06:48

CBE yapongezwa na serikali kutoa Elimu bora ya uchumi

Katika kuhakikisha vyuo vinaendelea kutoa Elimu bora Naibu Waziri wa viwanda na biashara Mheshimiwa Exaud Kigahe amepongeza juhudi zinazo fanywa na wakufunzi wa chuo cha elimu ya biashara nchini CBE. Na Kelvin Lameck Serikali imesema inatambua na kuthamini mchango wa…