Radio Tadio

Burudani

24 Aprili 2025, 6:40 um

Jela miaka 30, fidia laki mbili kwa kuzini na mwanae wa damu

“Nafikiri bado kuna kila sababu kwa mamlaka zilizopewa kutunga sheria kukaa tena chini kuziangalia upya hizi sheria zetu maana haiwezekani kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea licha ya wahusika kuhukumiwa kutumikia adhabu ya kifungo kama itawezekana adhabu ya…

22 Aprili 2025, 9:45 mu

Daniel akamatwa na nguzo ya wizi Nyantorotoro B

Licha ya serikali kutoa wito kwa wananchi kutunza miundombinu mbalimbali katika maeneo yote, bado baadhi ya wananchi wanahujumu miundombinu hiyo. Na: Kale Chongela: Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Daniel Robert mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro A, kata ya Nyankumbu katika halmashauri…

13 Aprili 2025, 1:56 um

Ubovu wa barabara hospitali Katoro

Ubovu wa barabara ya kwenda katika hospitali ya Katoro wawaibua wananchi wa kata za Katoro na Ludete wawaibua wananchi Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Ludete mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita wameiomba serikali kuchukua hatua za…

11 Aprili 2025, 2:43 um

Wajasiriamali Mpomvu wapongeza uboreshwaji wa soko

Soko la Mpomvu linatumiwa na wakazi wa kata ya Mtakuja yenye idadi ya wakazi wapatao 26,676 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2022. Na: Kale Chongela: Wajasiriamali waliopo katika mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja katika halmashauri…

8 Aprili 2025, 12:49 um

Wakazi wa kitongoji cha Mhama walia na ubovu wa barabara

Kufuatia mvua zinzoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini, zimepelekea changamoto ya miundombinu ya barabara katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Wananchi wa kitongoji cha Mhama, Kijiji cha Nampangwe, kata ya Runzewe-mashariki  wilayani Bukombe mkoani Geita wameiomba…