Burudani
Mei 6, 2025, 3:28 um
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mohamed Kawaida amekea Makundi ndani ya CCM
”amewataka Viongozi chama hicho kwa ngazi zote kutoendekeza Migogoro isiyokuwa na tija katika kipindi hichi cha kuelekea katika Uchaguzi Mkuu” Na Sebastian Mnakaya Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohamed Ali Kawaida amekea Makundi ndani…
Mei 6, 2025, 1:29 um
Mbunge Idd Kassim amekabidhi jumla ya Baskeli 92 kwa Wenyeviti wote wa Vijiji wa…
”Baskali hizo zieende kuwasaidia wenyeviti hao katika kutekeleza majukumu yao kusimamia Ilani ya Chama hicho” Na Sebastian Mnakaya Mbunge wa Jimbo la Msalala lililopo wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga Idd Kassim amekabidhi jumla ya Baskeli 92 kwa Wenyeviti wote wa…
Mei 3, 2025, 3:43 um
Utaratibu wa kumpeleka mbunge Idd kwenye kamati ya maadili haujafuatwa
”Kanuni taratibu za kumpeleke kwenye kamati za maadili hazikufuatwa badala yake ni batili” Na sebastian Mnakaya Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga wamesema taratibu zilizotumika kumpeleka kwenye kamati ya maadili Mbunge wa Jimbo hilo Idd Kassim zimekiukwa…
Mei 3, 2025, 1:11 um
Baraza la madiwani Msalala limeazimia mbunge wao kuitwa kwenye kamati ya maadili
Na Sebastian Mnakaya Robo tatu ya Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga limeazimia mbunge wa jimbo hilo Idd Kasimu kuitwa kwenye kamati ya maadili kwa madai ya kutokuhudhuria vikao vya baraza pamoja na kuwadhalilisha Madiwani hao wakati…
Mei 2, 2025, 8:08 um
Madiwani hamasisheni wananchi kujiandiksha katika uboreshaji wa daftari la kudum…
Na Sebastian Mnakaya Madiwani wa Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuwahamasisha wananchi wao kujiandikisha katika zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la mpiga kura linaloanza leo nchini mzima. Hayo yamesemwa na katibu tawala wa wilaya ya…
24 Aprili 2025, 6:40 um
Jela miaka 30, fidia laki mbili kwa kuzini na mwanae wa damu
“Nafikiri bado kuna kila sababu kwa mamlaka zilizopewa kutunga sheria kukaa tena chini kuziangalia upya hizi sheria zetu maana haiwezekani kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea licha ya wahusika kuhukumiwa kutumikia adhabu ya kifungo kama itawezekana adhabu ya…
22 Aprili 2025, 9:45 mu
Daniel akamatwa na nguzo ya wizi Nyantorotoro B
Licha ya serikali kutoa wito kwa wananchi kutunza miundombinu mbalimbali katika maeneo yote, bado baadhi ya wananchi wanahujumu miundombinu hiyo. Na: Kale Chongela: Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina la Daniel Robert mkazi wa mtaa wa Nyantorotoro A, kata ya Nyankumbu katika halmashauri…
13 Aprili 2025, 1:56 um
Ubovu wa barabara hospitali Katoro
Ubovu wa barabara ya kwenda katika hospitali ya Katoro wawaibua wananchi wa kata za Katoro na Ludete wawaibua wananchi Na Mrisho Sadick: Wakazi wa Kata ya Ludete mamlaka ya mji mdogo wa Katoro wilayani Geita wameiomba serikali kuchukua hatua za…
11 Aprili 2025, 2:43 um
Wajasiriamali Mpomvu wapongeza uboreshwaji wa soko
Soko la Mpomvu linatumiwa na wakazi wa kata ya Mtakuja yenye idadi ya wakazi wapatao 26,676 kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi iliyofanyika mwaka 2022. Na: Kale Chongela: Wajasiriamali waliopo katika mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja katika halmashauri…
8 Aprili 2025, 12:49 um
Wakazi wa kitongoji cha Mhama walia na ubovu wa barabara
Kufuatia mvua zinzoendelea kunyesha katika baadhi ya maeneo nchini, zimepelekea changamoto ya miundombinu ya barabara katika baadhi ya maeneo mkoani Geita. Na: Ester Mabula: Wananchi wa kitongoji cha Mhama, Kijiji cha Nampangwe, kata ya Runzewe-mashariki wilayani Bukombe mkoani Geita wameiomba…