Burudani
15 Agosti 2025, 16:28 um
Wanahabari watakiwa kuzingatia weledi uchaguzi mkuu
Mafunzo kwa waandishi wa Jamii FM Redio yamewahimiza kuzingatia weledi, usalama kazini na kujikinga na uhalifu mtandaoni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 Na Musa Mtepa Waandishi wa habari wametakiwa kuwa makini na kuzingatia weledi wa taaluma yao, hususan…
6 Agosti 2025, 18:54 um
Mtamba aibuka kidedea kura za maoni CUF Mtwara Vijijini
Mh. Shamsia Mtamba ashinda kura za maoni CUF Mtwara Vijijini kwa kura 334 kati ya 374, akimuacha Abdull Mahupa nyuma kwa kura 39 Na Musa Mtepa Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mtwara Vijijini, Mh. Shamsia Azizi Mtamba, ameibuka mshindi katika…
18 Julai 2025, 11:08 mu
“Zingatieni sheria na kanuni za uchaguzi”Sesilia Sepanjo
Wasimamizi wa uchaguzi Lindi na Mtwara wamehimizwa kuzingatia Katiba, sheria na kanuni kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Mafunzo ya siku tatu yamehitimishwa Mtwara, yakilenga kuwajengea uwezo. Washiriki wameahidi kuwa mabalozi wa elimu hiyo kwa wenzao Na Musa Mtepa Wasimamizi na waratibu…
16 Julai 2025, 11:26 mu
INEC yawataka maafisa kuzingatia sheria, maadili
“Maafisa wa uchaguzi wametakiwa kufuata misingi ya kikatiba na kisheria ili kuhakikisha uchaguzi huru na wa haki,” amesema Balozi Mapuri, katika mafunzo yaliyofanyika Mtwara yakiongozwa na INEC Julai 15, 2025 NA Musa Mtepa Maafisa wa usimamizi wa uchaguzi wametakiwa kufuata…
10 Julai 2025, 8:29 um
Shilabela waanzisha ujenzi wa ofisi ya mtaa
Zaidi ya miaka 25 serikali ya mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita imekuwa ikiishi katka ofisi za kupanga katika majumba ya watu. Na Kale Chongela: Wakazi wa mtaa wa Shilabela Manispaa ya Geita wameamua kuanzisha ujenzi wa ofisi ya kudumu…
Julai 4, 2025, 5:51 um
Zaidi ya wanachama 100 CCM Shinyanga wachukua fomu kwa nafasi mbalimbali
”Mgombea yeyote aliyechukua na kurejesha fomu endapo ataendelea kufanya mambo nje ya utaratibu kwa kukushanya watu hususan wale wajumbe watakaoshiriki kura za maoni atakuwa amekiuka kanuni” Mlolwa Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya wanachama 100 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani…
30 Juni 2025, 16:33
Wahitimu vyuo wametakiwa kutumia kalamu zao kupunguza wimbi la watoto wasio na m…
Wakati jamii ikiwaamini watu wenye elimu ,jamii hiyo hiyo inawataka wenye elimu kuonyesha umuhimu wa elimu waliyoipata. Na Rukia Chasanika Wanafunzi wanaohitimu katika vyuo vya maendeleo ya jamii mkoani Mbeya wameshauriwa kuandika maandiko ya miradi mbalimbali ambayo itasaidia kupunguza wimbi…
11 Juni 2025, 3:38 um
Wazazi/walezi msiwaite watoto majina ya wanyama
Mkuu wa dawati la jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Jinsi mtoto anavyotukanwa ndivyo atakavyokuwa” Na Roda Elias Kutokana na uwepo wa baadhi ya wazazi na walezi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi kutumia lugha ya…
8 Juni 2025, 2:57 um
Wananchi wafunguka ujenzi stendi mpya Geita
Baada ya kusota kwa miaka mingi hatimaye wakazi wa Geita mjini wanakwenda kupata stendi mpya ya kisasa ya mabasi. Na Mrisho Sadick: Watumiaji wa kituo kikuu cha mabasi ya abiria Mkoa wa Geita wameishukuru serikali kwa kutoa fedha kiasi cha…
8 Mei 2025, 13:56
Kilio kisichosikika utelekezaji watoto Kigoma
Kwa mujibu wa Takwimu za Ofisi ya Ustawi wa Jamii, kati ya mwezi March hadi April mwaka 2025 pekee kuna zaidi ya watoto 150 walitelekezwa katika Wilaya ya Kigoma. Hii leo wengi wa watoto hawa wanaishi mtaani, hawawajui wazazi wao…