Radio Tadio

Biashara

18 June 2025, 15:36

Wakristo waaswa kushiriki na kuombea uchaguzi

Kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwezi oktoba mwaka huu, Wakristo wametakiwa kuendelea kuombea amani na utulivu Na Hagai Ruyagila Waumini wa dini ya Kikristo wametakiwa kushiriki kikamilifu katika mchakato wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa kuchukua fomu za kugombea nafasi…

26 May 2025, 16:32

Viongozi wa dini wahimizwa kuhubiri amani Nchini

Viongozi wa dini Nchini wamehimizwa kuendelea kuliombea Taifa hasa kipindi hiki cha uchaguzi Mkuu. Na Josephinr Kiravu Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wa dini Kutumia majukwaa yao kuhimiza amani ikiwa ni pamoja na kusisitiza wananchi kushiriki  katika…

26 May 2025, 16:18

Watakiwa kuliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu

Wakati Taifa likeelekea katika uchaguzi Mkuu, wakristo wameaswa kuendelea kuombea amani Na Hagai Ruyagila Waumini wa Dini ya Kikristo wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuliombea taifa kuelekea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi ocktoba mwaka huu ili ufanyike kwa amani na…

21 May 2025, 4:02 pm

Katakata ya umeme Simiyu yawaibua wananchi

‘‘Tunahitaji nishati ya umeme ya kutosha mahitaji yetu ni kweli juhudi ni kubwa sana zinazofanywa na kiongozi wetu mkuu wa nchi hii Rais ,Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan katika kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa kutosha ili waweze kuongeza uzalishaji mali na kujiongezea…

15 May 2025, 15:52

Baraza la madiwani lampongeza Rais Samia kwa uongozi wake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa pongezi na kuchangiwa fedha kwa ajili kuchukua fomu ya kugombea Urais baada ya kazi yake iliyotukuka katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila Baraza la Madiwani…

12 May 2025, 12:54

Askofu Joseph Mlola ahimiza amani, kuliombea Taifa

Viongozi wa dini na jamii wameaswa kuliombea Taifa dhidi ya matukio yanaendelea kwenye jamii ambayo yanaweza kuleta uvunjifu wa amani. Na Tryphone Odace Askofu wa Jimbo Katoliki la Kigoma Joseph Mlola amewataka waumini wa kanisa hilo na watanzania kwa ujumla…