Biashara
24 Machi 2023, 2:40 um
Wakazi wa Mpwapwa watakiwa kuendelea kuchangamkia fursa ya mikopo
Amewataka wananchi hao kuendelea kuwaona wataalamu wa mikopo na Wachumi kwaajili ya kupata elimu zaidi kuhusu mikopo. Na Fred Cheti. Mkuu wa wilaya ya Mpwapwa Mhe. Sophia Kizigo amewataka vijana,wanawake na wenye ulemavu kuendelea kuchangamkia fursa ya mikopo ya asilimia…
23 Machi 2023, 5:36 um
Machinga Dodoma wampongeza Rais Samia
Ni mkutano uliowakutanisha wafanyabiashara ndogo ndogo maarufu kama machinga ambapo awali ulitanguliwa na maandamano ya amani kwa ajili ya kumshukuru Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kutimiza miaka miwili madarakani. Na Thadei Tesha. Wafanyabiashara wa biashara ndogondogo maarufu…
22 Machi 2023, 7:02 um
Vijana waomba viongozi kutembelea maeneo yao ya kazi
Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa Dodoma wametoa ushauri kwa viongozi mbalimbali kutembelea maeneo yao ya kazi. Na Thadei Tesha. Baadhi ya vijana wanaojishughulisha na shughuli ya kuponda kokoto katika mtaa wa kisasa…
21 Machi 2023, 6:12 um
Ubuyu ni fursa kwa wafanyabiashara
Kwa mujibu wa wa wataalamu wa afya ubuyu ni tunda jamii ya adonsonia ambapo umekuwa na matumizi mbalimbali kwani wapo baadhi yao hutumia kama juisi na wengine huongezea thamani kwa kutengenezea bidhaa mathalani kashata au ubuyu wa rangi. Na Thadei…
20 Machi 2023, 5:35 um
Wananchi wahofia bidhaa kupanda bei mwezi mtukufu
Baadhi ya wananchi jijini dodoma wameeleza namna hali ilivyo juu ya upatikanaji wa bidhaa za vyakula masokoni kuelekea mwezi wa ramadhani. Na Thadei Tesha. Kuelekea maandalizi ya mwezi mtukufu wa ramadhani baadhi ya wananchi jijini dodoma wameeleza namna hali ilivyo…
16 Machi 2023, 8:36 mu
Wafanyabiashara Sabasaba walia na ugumu wa biashara
Awali daldala za jiji la dodoma zilikuwa na kituo kikuu katika soko la sabasaba kabla ya kuhamishiwa kituo katika soko jipya la machinga complex. Na Thadei Tesha. Zikiwa zimepita wiki chache tangu kuhamishwa kwa daldala katika eneo la sabsaba jijini…
13 Machi 2023, 11:37 mu
Wamiliki wa kumbi za starehe watakiwa kuzingatia sheria
Hii inajiri kufuatia kuwepo kwa baadhi ya malalamiko ya wanachi ya jijini la dodoma kuhusu baadhi ya kumbi za starehe ambazo nyingi zipo katika makazi ya watu kupiga mziki kwa sauti ya juu na kusasbabisha kero kwa wanachi. Na Fred…
10 Machi 2023, 4:10 um
Biashara ya matunda na mbongamboga kuwa mkombozi wa kiuchumi
Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina mama. Na Thadei Tesha. Biashara ya matunda na mbongamboga katika soko la kizota imetajwa kuwa mkombozi wa kiuchumi kwa baadhi ya wakina…
9 Machi 2023, 3:28 um
Kituo kidogo cha daladala chatajwa kutoa fursa mbalimbali
Kituo kidogo cha daladala katika eneo la swaswa mnarani jijini dodoma imetajwa kuwa na fursa kubwa kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo kujipatia kipato. Na Thadei Tesha. Uwepo wa kituo kidogo cha daladala katika eneo la swaswa mnarani jijini…
4 Machi 2023, 5:27 um
Bado wazazi wana wajibu wa kuibua vipaji vya watoto wao
KATAVI Baadhi ya wazazi mkoani katavi wamesema wanao wajibu wa kuwapa nafasi watoto kushiriki katika michezo ili kuibua vipaji walivyo navyo watoto na kuviendeleza ili viweze kuwa msaada kwa maisha ya baadae ya mtoto. Wakizungumza na mpanda redio fm wamesema…