Radio Tadio

Biashara

31 Januari 2026, 15:11 um

Matumizi ya mkaa-Makala

Ongezeko la watu pamoja na kupanda kwa gharama za nishati mbadala kama gesi na umeme kumeongeza kwa kiasi kikubwa utegemezi wa mkaa. Na Gregory Millanzi Kwa miongo mingi, mkaa umekuwa chanzo kikuu cha nishati kwa kaya nyingi, hususani katika maeneo…

31 Januari 2026, 14:44 um

Athari za ukataji miti

Athari za ukataji miti zinaonekana wazi kupitia ukame, mafuriko, na mabadiliko ya tabianchi yanayoathiri moja kwa moja maisha ya binadamu. Na Gregory Millanzi Ukataji miti umekuwa tatizo linalokua kwa kasi katika jamii nyingi, hasa maeneo ya vijijini. Hapo zamani, misitu…

Januari 14, 2026, 5:08 um

Uzinduzi mradi wa pikipiki wainua uchumi wa vijana Arusha

Zaidi ya vijana 200 jijini Arusha wameanza kunufaika na mradi wa kuwawezesha kiuchumi kupitia mpango wa kukopeshana pikipiki kwa gharama nafuu, uliozinduliwa na Umoja wa Maafisa Usafirishaji jijini Arusha kwa kushirikiana na kampuni ya TVS (Trust Value Service), lengo likiwa…

22 Disemba 2025, 9:26 mu

Lupimo sanitarium clinic yarudisha kwa jamii Kigoma

sisi tutaendelea kuwasiliana na kusaidia kwa kile tutakachokuwa tumekipata Abdunuru shafii Kituo cha afya cha Lupimo Sanitarium Clinic, ambacho kinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, kimetoa msaada kwa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Subra Minaramani, kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma…

25 Septemba 2025, 08:34

Zitto aendelea kuanika mikakati ya kuipaisha Kigoma

Chama cha ACT – Wazalendo kimeendelea na mikakati ya kuhakikisha kinatatua changamoto zinazowakabili wananchi wake. Na Tryphone Odace Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo…

24 Septemba 2025, 08:55

Zitto kuboresha barabara na soko kata ya Businde Kigoma

Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kuwa kimedhamiria kuhakikisha kinaboresha maisha ya wananchi wa Kata ya Businde kwa kujenga barabara, Soko na kutatua changamoto zinazowakabili ili kata hiyo ionekane kama kata iliyopo ndani ya Manispaa Na Tryphone Odace Mgombea ubunge katika…

12 Septemba 2025, 13:23

DC Kigoma awaita wananchi kumpokea Dkt. Samia

Mgombea Uras kupitia chama cha mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili Mkoani Kigoma kwa ajili kampeni za kuomba kura kwa wananchi Na Esperance Ramadhan Mkuu wa Wilaya Kigoma Dk. Rashid Chuachua amewataka wananchi wa Mkoa Kigoma kujitokeza kwa…

11 Septemba 2025, 13:39

Wagombea vyama vya siasa waonywa kutovunja amani Kasulu

Wito umetolewa kwa wagombea kuhakikisha wanafanya kampeni za ustaarabu na kuheshimu kanuni na sheria za Nchi ili kuepuka kusababisha vurugu kwa Taifa Na Hagai Ruyagila Wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wameshauriwa kuhakikisha…