Biashara
31 Januari 2026, 15:11 um
Matumizi ya mkaa-Makala
Ongezeko la watu pamoja na kupanda kwa gharama za nishati mbadala kama gesi na umeme kumeongeza kwa kiasi kikubwa utegemezi wa mkaa. Na Gregory Millanzi Kwa miongo mingi, mkaa umekuwa chanzo kikuu cha nishati kwa kaya nyingi, hususani katika maeneo…
31 Januari 2026, 14:44 um
Athari za ukataji miti
Athari za ukataji miti zinaonekana wazi kupitia ukame, mafuriko, na mabadiliko ya tabianchi yanayoathiri moja kwa moja maisha ya binadamu. Na Gregory Millanzi Ukataji miti umekuwa tatizo linalokua kwa kasi katika jamii nyingi, hasa maeneo ya vijijini. Hapo zamani, misitu…
Januari 14, 2026, 5:08 um
Uzinduzi mradi wa pikipiki wainua uchumi wa vijana Arusha
Zaidi ya vijana 200 jijini Arusha wameanza kunufaika na mradi wa kuwawezesha kiuchumi kupitia mpango wa kukopeshana pikipiki kwa gharama nafuu, uliozinduliwa na Umoja wa Maafisa Usafirishaji jijini Arusha kwa kushirikiana na kampuni ya TVS (Trust Value Service), lengo likiwa…
22 Disemba 2025, 9:26 mu
Lupimo sanitarium clinic yarudisha kwa jamii Kigoma
sisi tutaendelea kuwasiliana na kusaidia kwa kile tutakachokuwa tumekipata Abdunuru shafii Kituo cha afya cha Lupimo Sanitarium Clinic, ambacho kinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, kimetoa msaada kwa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Subra Minaramani, kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma…
19 Disemba 2025, 11:29 mu
Umuhimu wa wakulima kuzingatia utabiri wa hali ya hewa wa msimu wa mvua
Na Musa Mtepa Makala haya yanaelezea jukumu la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) katika kutoa taarifa na utabiri wa hali ya hewa kwa lengo la kulinda usalama wa maisha, mali na shughuli za kiuchumi, hususan sekta ya kilimo…
1 Oktoba 2025, 16:03
Vitendo vya udhalilishaji wa wanawake wanasiasa Kigoma
Karibu kusikiliza Makala ya wanawake na uchaguzi ambapo leo tunaangazia suala la vitendo vya udhalilishaji wa wanawake wanasiasa hasa katika kipinidi cha kampeni kueleke uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
25 Septemba 2025, 08:34
Zitto aendelea kuanika mikakati ya kuipaisha Kigoma
Chama cha ACT – Wazalendo kimeendelea na mikakati ya kuhakikisha kinatatua changamoto zinazowakabili wananchi wake. Na Tryphone Odace Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo…
24 Septemba 2025, 08:55
Zitto kuboresha barabara na soko kata ya Businde Kigoma
Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kuwa kimedhamiria kuhakikisha kinaboresha maisha ya wananchi wa Kata ya Businde kwa kujenga barabara, Soko na kutatua changamoto zinazowakabili ili kata hiyo ionekane kama kata iliyopo ndani ya Manispaa Na Tryphone Odace Mgombea ubunge katika…
12 Septemba 2025, 13:23
DC Kigoma awaita wananchi kumpokea Dkt. Samia
Mgombea Uras kupitia chama cha mapinduzi CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwasili Mkoani Kigoma kwa ajili kampeni za kuomba kura kwa wananchi Na Esperance Ramadhan Mkuu wa Wilaya Kigoma Dk. Rashid Chuachua amewataka wananchi wa Mkoa Kigoma kujitokeza kwa…
11 Septemba 2025, 13:39
Wagombea vyama vya siasa waonywa kutovunja amani Kasulu
Wito umetolewa kwa wagombea kuhakikisha wanafanya kampeni za ustaarabu na kuheshimu kanuni na sheria za Nchi ili kuepuka kusababisha vurugu kwa Taifa Na Hagai Ruyagila Wagombea wa nafasi mbali mbali za uongozi katika wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, wameshauriwa kuhakikisha…