Radio Tadio

Biashara

23 Machi 2026, 14:20

Sekondari Naliendele na siku ya hali ya hewa duniani

Wananchi wamehimizwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa kutoka TMA ili kuboresha shughuli zao. Elimu imetolewa kwa wanafunzi Naliendele, wakihamasishwa kuwa mabalozi wa taarifa hizo kwa familia na jamii. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kanda…

24 Febuari 2026, 11:38 mu

Kituo cha kupozea umeme suluhisho sahihi kwa wakazi wa Simiyu

“Tunahitaji kuwa na umeme wa uhakika ili kuvutia wawekezaji wakubwa kwenye viwanda maana hatuwezi kuwa na wawekezaji wakubwa wakati huo hatuna umeme wetu wa uhakika lazima sasa juhudi zifanyike kwa namna yoyote ile”. Na,Daniel Manyanga  Wakazi wa mkoa wa Simiyu…

6 Febuari 2026, 20:02

Lishe mbinu mojawapo kukuza ufaulu Lumemo

“Suala la lishe tumekubalina kwenye vikao na mikutano hivyo tunaendelea kukumbushana na kuhimizana” Na Katalina Liombechi Viongozi na Wananchi kata ya Lumemo katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wameendelea kuhamasishana kuchangia lishe mashuleni ili kuwasaidia watoto kujifunza bila vikwazo. Hayo…

31 Januari 2026, 15:11

Matumizi ya mkaa-Makala

Ongezeko la watu pamoja na kupanda kwa gharama za nishati mbadala kama gesi na umeme kumeongeza kwa kiasi kikubwa utegemezi wa mkaa. Na Gregory Millanzi Kwa miongo mingi, mkaa umekuwa chanzo kikuu cha nishati kwa kaya nyingi, hususani katika maeneo…

31 Januari 2026, 14:44

Athari za ukataji miti

Athari za ukataji miti zinaonekana wazi kupitia ukame, mafuriko, na mabadiliko ya tabianchi yanayoathiri moja kwa moja maisha ya binadamu. Na Gregory Millanzi Ukataji miti umekuwa tatizo linalokua kwa kasi katika jamii nyingi, hasa maeneo ya vijijini. Hapo zamani, misitu…

14 Januari 2026, 17:08

Uzinduzi mradi wa pikipiki wainua uchumi wa vijana Arusha

Zaidi ya vijana 200 jijini Arusha wameanza kunufaika na mradi wa kuwawezesha kiuchumi kupitia mpango wa kukopeshana pikipiki kwa gharama nafuu, uliozinduliwa na Umoja wa Maafisa Usafirishaji jijini Arusha kwa kushirikiana na kampuni ya TVS (Trust Value Service), lengo likiwa…

22 Disemba 2025, 9:26 mu

Lupimo sanitarium clinic yarudisha kwa jamii Kigoma

sisi tutaendelea kuwasiliana na kusaidia kwa kile tutakachokuwa tumekipata Abdunuru shafii Kituo cha afya cha Lupimo Sanitarium Clinic, ambacho kinapatikana katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania, kimetoa msaada kwa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Subra Minaramani, kilichopo Ujiji, mkoani Kigoma…

25 Septemba 2025, 08:34

Zitto aendelea kuanika mikakati ya kuipaisha Kigoma

Chama cha ACT – Wazalendo kimeendelea na mikakati ya kuhakikisha kinatatua changamoto zinazowakabili wananchi wake. Na Tryphone Odace Mgombea ubunge wa Kigoma Mjini kupitia tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema endapo atachaguliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo, mojawapo…