Afya
13 Febuari 2023, 3:07 um
Bima ya Afya kwa wote itasaidia kupunguza gharama za matibabu
Muswada wa Bima ya Afya kwa Wote ambao ulikuwa uwasilishwe bungeni Wiki iliyopita ulikwama kwa mara nyingine ikiwa ni mara ya pili kwa muswada huo kukwama tangu usomwe kwa mara ya kwanza bungeni katika mkutano wa nane wa Bunge na…
13 Febuari 2023, 1:56 um
Wakazi wa Chali Bahi kuondokana na uhaba wa huduma za Afya
Ufadhili wa ujenzi wa zahanati hiyo ni muendelezo wa ufadhili wa masuala ya afya wilayani Bahi kupitia shirika hilo ambapo kupitia ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Bahi limefadhili huduma ya Cliniki tembezi ya macho iliyozunguka kwenye vituo vya afya…
10 Febuari 2023, 12:38 um
Umuhimu wa Mjamzito Kujifungua Hospitalini
KATAVI Baadhi ya wananchi mkoani Katavi wameeleza umuhimu wa mama mjamzito kujifunguwa kwenye kituo cha afya. Wakizungumza na Mpanda radio Fm Wananchi hao wamesema mama mjamzito kujifungua nyumbani kunaweza kuleta hatari ya kupoteza uhai wa mama na mtoto. Kwa upande…
8 Febuari 2023, 12:15 um
Jumla ya Watu 222 Waugua Surua Mlele
KATAVIJumla ya visa 222 vya wagonjwa wa surua vimeripotiwa ndani ya siku 55 wilayani Mlele mkoani Katavi. Hayo yamesemwa na Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko wakati wa kikao cha kujadili tathimini ya utekelezaji wa mkataba wa lishe, mkakati…
7 Febuari 2023, 9:52 mu
Hospitali ya Benjamini Mkapa imesaini makubaliano
Hospitali ya Benjamin Mkapa imesaini makubaliano ya ushirikiano wa kutoa huduma za upasuaji wa moyo kwa watoto na shirika lisilo la kiserikali la children’s heart charity association la Nchini kuwait. Na Mindi Joseph. Hii ni kufuatia matatizo ya moyo kwa…
6 Febuari 2023, 4:41 um
Spika wa Baraza la wawakilishi Zanzibar ameahidi kufikisha salam za Ruangwa kwa…
Na; Jongo Sudi Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar ambae pia ni mlezi wa chama cha mapinduzi (CCM) mkoa wa Lindi, Mhe. Zuberi Ali Maulid, ameahidi kufikisha salamu za uhitaji wa vifaa tiba katika jengo la wodi ya wanaume na…
3 Febuari 2023, 4:36 um
Tunashindwa kuelewa juu ya mfumo wa Bima ulivyo
Imeelezwa kuwa licha ya mikakati mbalimbali ya uboreshwaji wa huduma za afya bado wananchi wameendelea kulalamika huduma ya bima ya CHF iliyoboreshwa. Na Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Mlowa Barabarani wamesema kuwa wanashindwa kuelewa mfumo wa bima ulivyo ,kutokana…
3 Febuari 2023, 12:14 um
Zahanati Mnyawa mikononi mwa mkuu wa mkoa
Wameiomba serikali kusaidia ukamilishaji wa ujenzi wa kituo cha afya ili kuwapunguzia adha ya kujifungulia majumbani mwao. Na Hamza Ally Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanali Ahmed Abbas amemwagiza Mhandisi wa wilaya ya Tandahimba m kufanya tathmini ya gharama za…
2 Febuari 2023, 1:48 um
Serikali yafanikiwa kupunguza maambukizi ya Malaria Jijini Dodoma
Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanikiwa kupunguza maambukizi ya Malaria kutoka asilimia 1.4 hadi kufikia asilimia 1.01 mwaka 2022. Na Alfred Bulahya Hayo yamebainishwa na mratibu wa malaria kutoka halmashauri ya jiji la Dodoma Bw, Gasper Kisenga wakati akizungumza na…