Afya
28/02/2023, 18:18
Serikali yasaini mkopo nafuu kuboresha huduma za Afya
Huduma zitakazo boreshwa ni pamoja na kupunguza vifo vya mama na mtoto, kuboresha huduma za dharura, kuboresha rasilimali watu katika Sekta ya afya, kuboresha utendaji na ufanisi kwenye ngazi ya zahanati. Na Pius Jayunga. Serikali ya Tanzania na Banki kuu…
26 Febuari 2023, 11:30
Jamii imeaswa kusikiliza vyombo vya habari ili kuimarisha matumizi ya Kiswahili
Jamii imeaswa kuendelea kusikiliza vyombo vya habari ili kujiimarisha zaidi katika matumizi ya lugha ya kiswahili na kuifanya lugha hiyo iendelee kukua na kuenea katika maeneo mbalimbali duniani. Wito huo umetolewa leo tarehe 24 FeB 2023 kupitia Ziara ya Wanafunzi…
24/02/2023, 16:20
Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba
Licha ya kupata huduma katika zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino lakini bado kasi ya upatikanaji dawa imekuwa ni ndogo. Na Victor Chigwada. Ukosefu wa Dawa katika Zahanati ya kijiji cha Champumba wilayani Chamwino imetajwa kuwa sababu ya wananchi…
23 Febuari 2023, 3:09 um
Rais Dr Samia atoa milioni 65 ujenzi wa zahanati
Na Elias Maganga Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzan imetoa fedha Milioni 65 kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya kata ya viwanja sitini katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara. Akizungumza na Pambazuko FM, ilipotembelea mradi huo hii leo…
22 Febuari 2023, 6:37 um
Elimu ya Ukimwi kwa Mama na Mtoto
MPANDA Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni yao jinsi mama aliye na maambukizi ya virusi vya ukimwi anavyoweza kumlinda mwanae asipate maambukizi hayo. Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi hao wamesema kuwa mama anatakiwa kwenda…
22 Febuari 2023, 6:33 um
Wananchi Waaswa Kuchukua Tahadhari ya Surua
KATAVI Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa surua ulioibuka katika halmashauri ya mpimbwe mkoani katavi. Hayo yamesemwa na Dr solomon solomoni wakati akizungumza na Mpanda redio fm na kuainisha kuwa mlipuko wa surua unaathiri zaidi watoto chini ya…
22 Febuari 2023, 12:04 um
Tuhuma,Muuguzi Kutumia Sindano Iliyotumika
Kufuatia malalamiko kuhusu Mhudumu wa afya katika Zahanati ya Kijiji cha Tungamalenga,Johavina Mjuni anayedaiwa kutokuwa na huduma nzuri kwa wagonjwa. Na Hawa Mohammed. Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Iringa Limeagiza kufanyika uchunguzi wa haraka dhidi ya Mhudumu wa afya…
21 Febuari 2023, 3:40 um
Ujenzi wa zahanati kukamilika hivi karibuni
Na Elias Maganga Mwenyekiti wa Kijiji cha Machipi Halmashauri ya Mji wa Ifakara Wilayani Kilombero Bwana Philip Mwitumba amesema Ujenzi wa jengo la zahanati umefikia hatua ya kupaua na unatarajiwa kukamilika machi 16 mwaka huu. Bwana Mwitumba amesema mradi wa…
21 Febuari 2023, 3:07 um
Watafiti waja na drones kutokomeza mazalia ya mbu
Na Rifat Jumanne Watafiti kutoka Taasisi ya utafiti wa Afya Ifakara wameanzisha program maalum ya kutumia ndege zisizo na rubani {Drones} ambazo zitakuwa na uwezo wa kuzunguka na kunyunyizia dawa ili kudhibiti ugonjwa wa malaria katika Mji wa Ifakara. Hayo…
21 Febuari 2023, 12:53 um
Uvutaji Sigara Sababu Mdomo Sungura
Madaktari Bigwa kutoka mkoani Arusha wakishirikiana na shirika la THE SAME QUALITY FOUNDATION kutembelea mikoa mbalimbali kutibu. Na Joyce Buganda. Wajawazito na wazazi wenye watoto waliozaliwa na mdomo wazi wameshauriwa kutembelea vituo vya afya ili kujua maendeleo ya afya zao.…