Radio Tadio

Afya

4 Machi 2023, 5:09 um

Tayobeco yaendelea kuhamasisha chanjo ya Uviko-19

MPANDA. Shirika lisilo la kiserikali la Tayobeco Linalojihusisha na kuboresha afya ya vijana katika Nyanja mbalimbali Limezindua Mradi wa boresha habari katika manispaa ya mpanda Mkoani katavi lengo ni kuhamasisha vijana na wanawake kujitokeza katika kupata chanjo ya uviko 19.…

01/03/2023, 16:27

Shule ya msingi Chihoni yapokea msaada wa vyandarua

Halmshauri ya jiji la Dodoma inaendelea na zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule za Msingi na awali ambapo jumla ya wanafunzi wapatao 122,000  kutoka shule 158 wanatarajiwa kupatiwa vyandarua. Na Fred Cheti. Wanafunzi wa Shule ya Msingi…

1 Machi 2023, 15:48

Wakazi wa Kisangwa Bunda walia na choo mnadani.

Wakaazi wa Kisangwa kata ya Mcharo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wamelalamikia ukosefu wa huduma ya choo katika mnada wa Kisangwa jambo linalohatarisha usalama wa afya zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm  wamesema kukosekana kwa usimamizi katika choo…

1 Machi 2023, 2:24 um

Wodi yazinduliwa Kilolo -Wanawake kunufaika

Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…