Afya
9 Machi 2023, 12:23 um
Wananchi waendelea kuaswa kuchukua tahadhari dhidi ya surua
KATAVI. Wananchi mkoani Katavi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari juu ya mripuko wa ugonjwa wa surua na kutakiwa kufika kwenye vituo vya kutolea huduma ya afya pindi wazionapo dalili za ugonjwa huo. Wito huo umetolewa na mratibu wa huduma za chanjo…
08/03/2023, 13:40
Wananchi waishukuru serikali kwa kusaidia ujenzi wa kituo cha afya
Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya kwa kuwasaidia ujenzi. Na Victor chigwada. Wananchi wa Kata ya Itiso Wilaya ya Chamwino wameishukuru Serikali kwa jitihada za kuboresha huduma za afya…
Machi 6, 2023, 5:32 um
Wanafunzi Iwawa Sekondari wapigwa Msasa kuhusu Lishe
Afisa Lishe Jackilne Nanauka akizungumza na wanafunzi wa Iwawa Sekondari walipo katika Club ya Lishe
Machi 4, 2023, 8:31 um
Wahimizwa Matumizi Bora ya Vyoo Makete
Mtaalamu wa Afya na Mazingira akitoa maelezo namna ya kutumia choo cha Kisasa
4 Machi 2023, 6:05 um
Usafi shule za msingi waelezwa chanzo cha magonjwa ya kuambukiza
MPANDA Baadhi ya wazazi na walezi halmashuri ya manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa Maoni ya usafi wa vyoo katika shule za msingi na kuomba serikali kuendelea kusimamia ili kuwanusuru wanafunzi na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo UTI. Wakizungumza na kituo…
4 Machi 2023, 5:09 um
Tayobeco yaendelea kuhamasisha chanjo ya Uviko-19
MPANDA. Shirika lisilo la kiserikali la Tayobeco Linalojihusisha na kuboresha afya ya vijana katika Nyanja mbalimbali Limezindua Mradi wa boresha habari katika manispaa ya mpanda Mkoani katavi lengo ni kuhamasisha vijana na wanawake kujitokeza katika kupata chanjo ya uviko 19.…
Machi 3, 2023, 2:42 um
Elimu ya Afya na Lishe yatolewa kwa Wanawake
Afisa Lishe Wilaya ya Makete Bi. Jackline Nanauka kulia akiwa kwenye zoezi la upimaji wa urefu kwa Umri kwa watoto waliochini ya miaka mitano Kijiji cha Ivalalila
01/03/2023, 16:27
Shule ya msingi Chihoni yapokea msaada wa vyandarua
Halmshauri ya jiji la Dodoma inaendelea na zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa wanafunzi wa shule za Msingi na awali ambapo jumla ya wanafunzi wapatao 122,000 kutoka shule 158 wanatarajiwa kupatiwa vyandarua. Na Fred Cheti. Wanafunzi wa Shule ya Msingi…
1 Machi 2023, 15:48
Wakazi wa Kisangwa Bunda walia na choo mnadani.
Wakaazi wa Kisangwa kata ya Mcharo Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara wamelalamikia ukosefu wa huduma ya choo katika mnada wa Kisangwa jambo linalohatarisha usalama wa afya zao. Wakizungumza na Radio Mazingira Fm wamesema kukosekana kwa usimamizi katika choo…
1 Machi 2023, 2:24 um
Wodi yazinduliwa Kilolo -Wanawake kunufaika
Wodi yenye thamani zaidi ya milioni 190 yajengwa Ipalamwa baada ya kuteseka muda mrefu kwa wananchi hao. Na Joyce Buganda. Zahanati ya Ipalamwa chini ya shirika la GLOBAL VOLUNTEER wilaya ya Kilolo imezindua wodi ya kinamama wanaotarajia kujifungua yenye thamani…