Elimu
27 August 2024, 12:49 pm
CCM Balili yatoa siku saba kwa shule mbili maboresho ya vyoo
Siku saba zimetolewa na katibu mwenezi CCM Balili kwa shule ya msingi na sekondari Rubana kufanya marekebisho ya vyoo vya wanafunzi ikiwa ni pamoja na huduma ya maji ili kuepuka magonjwa ya mlipuko. Na Adelinus Banenwa Chama cha mapinduzi CCM…
23 August 2024, 6:14 pm
Project Zawadi yakabidhi jengo lenye nyumba sita za walimu Bunda
Halmashauri ya wilaya ya Bunda ina upungufu wa nyumba 500 za walimu ili kukidhi mahitaji ya walimu. Na Fadhil Mramba Halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara inakadiriwa kuwa na upungufu wa nyumba za walimu zaidi ya mia tano ambavyo…
20 August 2024, 9:59 pm
PM Majaliwa: Madereva mnalogana?
Na Joel Headman Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshtushwa na madai ya madereva wa Serikali kulogana ili wapate magari ya kufanyia kazi. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Juma Mtanda kwenye kongamano la tatu la madereva wa serikali…
16 August 2024, 2:40 pm
Mchango wa wazazi ,walezi, jamii kuhakikisha uwepo wa mazingira rafiki ya kupata…
Leo tunakupa Taarifa hiyo yenye kuonesha umuhimu wa kuchagia ujenzi wa Mabweni kwa ajili ya kupunguza changamoto hiyo ambayo inachangia kupoteza ndoto za mabinti wengi. Na Seleman Kodima.Ikumbukwe Mazingira rafiki kwa Mtoto wa kike kupata elimu yamezidi kuwa changamoto ya…
16 August 2024, 2:12 pm
Biashara ya kofia inavyowanufaisha wafanyabishara
Leo tuna hitimisha fahari ya Dodoma katika kata ya Kingale wilayani Kondoa kwa kutazama jinsi watengenezaji wa kofia hizi wanavyo nufaika kibiashara. Na Yussuph Hassan. Bi.Mwajuma Omary yeye hununua vitambaa vya kofia hizi kwa mzee Juma nakwenda kuzishona hapa anasimulia…
15 August 2024, 6:22 pm
Kazi ya ushonaji kofia ilivyorithishwa kwa watoto Kingale
Anatueleza shughuli hii ilivyomsaidia katika maisha yake na kuwalea watoto wake hadi wamefikia umri wa kujitegemea. Na Yussuph Hassan.Bado tunatazama ufundi wa kofia hapa kata ya Kingale ambapo mzee Ramadhani ametujuza mengi tokea alipoanza kazi hadi kuwarithisha vijana wake ujuzi…
15 August 2024, 6:09 pm
Nafasi ya wadau katika upatikanaji wa elimu ya afya ya uzazi kwa vijana
Bado tupo na Dkt Fransic Andrew kutoka Hospitali ya Chama cha Uzazi na Malezi Bora Tanzania (UMATI) hapa anatueleza zaidi. Na Seleman Kodima.Leo tunaangazia nafasi ya wadau katika kuhakikisha wanafanikisha suala la upatikanaji wa elimu ya afya ya uzazi kwa…
14 August 2024, 6:10 pm
Mazingira rafiki ya elimu yanavyosaidia kupunguza mimba za utotoni
Leo tumezungumza na Mwl Shaban Kijoji ,mratibu elimu kata ya Mbabala na katibu wa maafisa Elimu halmashauri ya jiji la Dodoma kuhusu suala hili na hapa anaanza kwa kuelezea sera inaelezaje kuhusu Mazingira Rafiki ya kupata elimu kwa Msichana ili…
13 August 2024, 4:23 pm
Leo tunaangazia Ukosefu wa elimu ya afya ya uzazi kwa Vijana
Kutokana hali hiyo Taswira ya Habari leo tunawatazama Vijana ambapo ni Wahanga wa ukosefu wa elimu hii . Na Seleman Kodima.Ukosefu wa Elimu ya afya ya uzazi imekuwa ikitajwa kama sababu ya kuongezeka kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika…
13 August 2024, 11:31 AM
Jumuiya ya wazazi Masasi wakutana na kupewa nasaha
Kikao cha utendaji Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha mapinduzi CCM Wilayani Masasi wamekutana katika ofisi za chama hicho Wilayani Masasi. Akizungumza katika Kikao hicho Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Mkoa wa Mtwara NDG.JULIUS MSELECHE KAONDO ametoa nasaa kwa viongozi…