Baraka FM
Baraka FM
10 November 2025, 1:20 pm
Awali, nilikutana na Fanikiwa na kukuandalia taarifa hii fupi, ikieleza jinsi mdogo wake alivyomsaidia kuachana na matumizi hayo na kuanza upya maisha yenye matumaini. Na Seleman Kodima.Fanikiwa Subukheri—sio Jina lake halisi —ni kijana mdogo aliyewahi kutumbukia katika matumizi ya dawa…
10 November 2025, 12:46 pm
Kupitia shughuli ya ukusanyaji wa plastiki, kazi hii imekuwa chanzo cha ajira na kipato cha familia. Na Lilian Leopold.Kile ambacho wengi hukiona kama taka, kwa wengine ni njia ya kujipatia ridhiki, jijini Dodoma shughuli ya ukusanyaji wa plastiki imekuwa mkombozi…
November 9, 2025, 9:12 pm
Na Denis Sinkonde, Karibu kusikiliza kipindi maalumu cha matumizi ya nishati safi kutoka Ileje FM kuelekea mkutano wa Cop 30 utakaofanyika nchini Brazili kuanzia Novemba 10 hadi 21 mwaka huu 2025
4 November 2025, 3:53 pm
Afisa habari wa kikosi cha Singida black stars Hussen Masanza ameelezea maandalizi ya kikosi hicho baada ya kupangwa kundi c katika hatua ya makundi kwenye shirikisho la mpira barani Afika.
24 October 2025, 7:52 pm
Soko hilo la Kilabu cha Mtendeni linahudumia watu wengi kila siku, na bila choo, mazingira yameanza kuwa hatarishi kwa kusababisha uchafuzi unaoweza kusababisha magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu. Na Beatrice Majaliwa Wafanyabiashara wa soko la kilabu cha Mtendeni lililopo katika…
24 October 2025, 1:38 pm
Jumla ya wapigakura wenye sifa kwa mujibu wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ni takribani watu 253.891 Na Adelinu Banenwa Mkuu wa wilaya ya Bunda Mhe Aswenge Enock Kaminyoge amewahakikishia wananchi wilayani Bunda ambao wanasifa za kupiga kura tarehe…
24 October 2025, 12:11 pm
Vikwazo vya kijamii na kifamilia,Familia na jamii huweza kuwa kizuizi kwa wanawake kwa kuwataka waendelee na majukumu ya nyumbani badala ya kujihusisha na siasa.Wanawake hupewa majukumu ya malezi na kazi za nyumbani, jambo linalopunguza muda na rasilimali za kushiriki kampeni.…
21 October 2025, 1:55 pm
Uwepo wa amani nchini Tanzania imekua chanzo cha kutokuwepo kwa matabaka ya udini, Ukabila walionacho na wasionacho, badala yake waTanzania wote wamekua na maisha ya kuchangamana bila kubaguana kwa hali yoyote. Karibu kusikiliza mahojiano ya moja kwa moja
15 October 2025, 16:52
Wakuu wa taasisi binafsi na serikali wametakiwa kuwanufaisha wasajili wao na Mfuko Hifadhi ya Jamii wa Taifa (NSSF). Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Beno Malisa amewataka waajiri kutimiza takwa la kisheria la kuwasajili wafanyakazi wao katika Mfuko…
10 October 2025, 18:44
Watumishi mbalimbali wanao pata masomo ya theolojia watakiwa kumtumikia Mungu kutokana na elimu wanayo ipata. Na Kelvin Lameck Wahitimu wa masomo ya theolojia katika chuo cha biblia Utengule kinachomilikiwa na kanisa la Moraviani Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi wametakiwa kutumia…