Maendeleo
15 April 2024, 4:37 pm
Mrajis Zanzibar awakumbusha SHIJUWAZA kuchagua viongozi bora
Na Mary Julius. Shirikisho la Jumuiya za watu wenye ulemavu limesajiliwa rasmi mwaka 2014 mpaka sasa linawanachama 12. Mrajisi Asasi za Kiraia Zanzibar Ahmed Khalid Abdulla amewataka viongozi wa shirikisho la jumuiya ya watu wenye ulemavu Zanzibar (SHIJUWAZA) watakao chaguliwa…
7 April 2024, 6:27 pm
Mratibu vikoba Unguja awataka wanawake kuchukua mikopo kwa malengo
Na Mary Julius. Mratibu wa vikoba Unguja Catherine Marco Ifanda amewataka akinamama wanaojiunga kwenye vikundi vya vikoba kuchukua mikopo kwa malengo ya kujiendeleza. Mratibu ameyasema hayo katika sherehe ya kuvunja kikoba cha St Joseph Mamas hafla iliyofanyika katika ukimbi wa…
29 March 2024, 6:22 pm
Wafanyakazi ZAWA walipwa malimbikizo ya madeni ya mshahara
Viongozi wa chama cha wafanyakazi wa huduma za umma ZAPSWU na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha walikutana mwezi march mwaka 2024 na kukubaliana utekelezaji wa malipo ya deni hilo. Mary Julius. Zaidi ya wafanyakazi 560 wa mamlaka ya maji Zanzibar…
23 March 2024, 5:20 pm
Bei elekeze ya sukari yawaibua wafanyabiashara wa soko la Mwanakwerekwe
Na Rahma na Suleiman Serikali ya Mapindizi ya Zanzibar kupitia waziri wa Wizira ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda, Zanzibar Omar Shaaban ilitoa bei elekezi ya sukari ikiwa ni sh 2650 kwa kilo kwa upande wa unguja na sh 2700 kwa upande…
19 March 2024, 4:30 pm
Taasisi za kiraia,Pemba zamwaga neema kwa wananchi
Na Is-haka Mohammed. Meya wa Manispaa ya Chake Chake Abdalla Hamad Abdalla amesema kazi za utoaji wa misaada na sadaka zinazofanywa na taasisi mbali mbali za kiraia zinaisaidia serikali kutatua changamoto zilizopo katika jamii. Meya ameyasema hayo katika hafla ya …
4 February 2022, 4:37 pm
Mamlaka ya maji Zanzibar ZAWA yapata ufumbuzi wa Tatizo la maji Zanzibar.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maji Zanzibar ZAWA Dr Salha Mohammed Kassim amesema mamlaka ya maji zanzibar itahakikisha inajenga visima vya maji safi na salama katika maeneo yote ya unguja na pemba. Akizungumza katika hafla ya utiaji wa saini wa …
8 December 2021, 2:37 pm
WaTanzania wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini
Na Mary Kitipwi na Thuwaiba Mohd:Watanzania wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa nchini ili kukuza biashara Tanzania na kufikia uchumi wa viwanda. Akizungumza na zenj fm mjasiriamali wa kusarifu Spice mbali mbali kutoka Fuoni kisiwani Unguja Fatma Mohd Fadhili amesema ni vyema…
24 November 2021, 1:26 pm
Madereva wa daladala watakiwa kutoingia na abiria sheli
Na Thuwaiba Mohd: Afisa uhusiano wa mamlaka ya udhibiti wa huduma za maji na nisharti Zanzibar ZURA Hassan Juma Amour amewataka wasimamizi wa vituo vya mafuta sheli kutoruhusu mtowa huduma kujaza mafuta kwenye gari ikiwa na abiria ili kuepusha athari…
17 November 2021, 1:45 pm
Walokosa kuingizwa kaya maskini watakiwa kukata rufaa.
Na Mary Kitipwi:Mratibu wa mpango wa kunusuru kaya masikini unguja TASAF Makame Ali Haji amesema serikali ya mapinduzi imetoa nafasi kwa wale wote wenye sifa za kuingizwa katika maradi wa kaya maskini ambao majina ya yamekatwa katika awamu ya kwanza…