Uncategorised
19 April 2024, 8:19 pm
Mafanikio ya Jeshi la Polisi Kamisheni ya Zanzibar kipindi cha miaka mitatu-Mak…
27 March 2024, 6:43 pm
Uzalishaji taka waongezeka Zanzibar kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Na Rahma Hassan. Kuelekea katika kipindi cha mvua za masika wakaazii wa shehia ya mikunguni wameliomba Baraza la Manispaa Zanzibar kulitafutia ufumbuzi suala la taka zilizozagaa katika jaa la shehia yao. Wakizungumza na zenji FM Wananchi hao Wamesema karibu wiki…
14 March 2024, 4:03 pm
Walimu Zanzibar watakiwa kutumia mtaala mpya
Na Ishaka Mohammed Pemba “Baada ya mafunzo jukumu kubwa la mwalimu ni kutumia mtaala huo wakati wa ufundishaji” Amesema Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Leila Mohamed Mussa. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Leila Mohamed…
12 March 2024, 5:15 pm
Jeshi la polisi Kusini Unguja kuimarisha ulinzi, usalama
Na Mary Julius. Katika kuhakikisha wananchi wanaofanya ibada za usiku katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan wanakuwa salama, Jeshi la Polisi laahidi kulinda watu na mali zao. Jeshi la polisi mkoa wa Kusini Unguja limejipanga kuimrisha ulinzi na…
30 November 2023, 6:16 pm
Mazingira duni, malezi tishio haki za watu wenye ulemavu Zanzibar
Licha ya utaoji wa elimu na hatuambalimbali zinazochukuliwa na SerIkali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya jamii kutambua haki, wajibu na usawa kwa watu wenye mahitaji maalum, bado inaonesha kuwa mwamko ni mdogo kutokana na baadhi ya jamii kuwa na…
8 November 2023, 3:17 pm
Wazanzibar watakiwa kujiandikisha katika daftari la wapiga kura
Na Mary Julius. Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Jaji George Joseph Kazi amewataka wananchi walio timiza sifa za kupiga kura kujitokeza katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la kudumu la mpiga kura ili waweze kushiriki katika uchaguzi ujao wa…
27 August 2023, 3:21 pm
Kijana ajinyonga Pemba
Na Is-haka Mohammed Mtu mmoja anayejulikana kwa jina Moh’d Omar Juma maarufu Magodoro anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mkaazi wa Machomanne Kilimo amefariki dunia baada ya kuonekana akining’inia katika chumba kwa kujinyonga. Khamis Issa Moh`d ni Mwanafamilia wa…
16 August 2023, 12:10 pm
Kipindi: Mwangaza wa habari
Na Ivan Mapunda. Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa kaskazini Unguja amewataka madereva kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepukana na ajali.