Vwawa FM Radio

Wakazi Songwe wakinadi chakula cha asili aina ya kinaka

May 14, 2025, 11:30 am

Pichani ni kinaka kabla ya kupikwa(kushoto) na baada ya kupikwa(kulia). Picha na Mpiga picha wetu

Ni chakula cha asili, wanadai wanakipenda kuliko nyama ya ng’ombe au mayai

Na Mwandishi Wetu

Baadhi ya Wakazi wa Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wametoa wito wa kuenzi vyakula vya asili kikiwamo kikanda maarufu kwa jina la kinaka. Wakizungumzia kuhusu Kinaka au kikanda ambacho wakazi wa Mbozi wanakipenda kuliko nyama  watu ambao wamejitambulisha kwa majina ya  Lyidia , Fikiri, Deshesela wanaeleza wanavyokifahamu kinaka

Sauti za walaji wote

Aidha naye Seven Mwashiuya wa Kitongoji cha Isangu Mbozi amefafanua zaidi kuhusu Kinaka na ulaji wake kwa watoto.

Sauti ya Seven Mwashiuya

Hata hivyo chakula hicho kina utaalamu wake wa kukitengeneza. Mmoja wa wapikaji wa kikanda au kinaki anaeleza

Sauti ya mpikaji 1

Aidha mpikaji mwingine  anasema kiazi pori ambacho ndicho kinaki chenyewe upatikanaji wake ni mgumu. Kwa hali hiyo wengi wanafuata vinaka nchi za Malawi na Zambia