Vwawa FM Radio
103.7 MHz
Vwawa, Songwe
0755547156
vwawafm1radio@gmail.com
https://songwemedia.co.tz/
103.7 MHz
Vwawa, Songwe
0755547156
vwawafm1radio@gmail.com
https://songwemedia.co.tz/
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
November 27, 2025, 6:58 am
Mbolea ya ruzuku inauzwa kwa bei tofauti na bei elekezi ya serikali Na Stephano Simbeye Meneja wa Mamlaka ya Mbolea Tanzania Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Joshua Ng’ondya amesema mbolea hiyo imekutwa ikiuzwa katika duka la wakala aitwaye Hemed…
November 20, 2025, 3:02 pm
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…
October 16, 2025, 8:02 am
Kwa ajili ya watoto wachanga wanaozaliwa kabla ya muda (njiti) Na Ezekiel Mwinuka Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU nchini Crispin Chalamila amekabidhi vifaa hivyo leo na kwamba vimenunuliwa kwa michango ya watumishi nchini wa Takukuru nchini kwa lengo la kuunga juhudi…
September 26, 2025, 9:07 am
Kupunguza utoro shuleni na kuongeza utulivu wa watoto shuleni Na Devi Mgale Shirika lisilokuwa la kiserikali la Elisha Youth Support Foundation (EFAD) lililopo wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe limetoa kilo 420 za Mahindi kwa watoto wanaoishi mazingira magumu katika…
September 21, 2025, 8:56 pm
Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…
September 21, 2025, 8:40 am
Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…
September 11, 2025, 4:47 pm
Ni ya utoro, wizi na uharibifu Na Asteria Kibiki Watoto wanaojihusisha na vitendo vya kuokota vyuma chakavu katika kata ya Ichenjezya, wilayani Mbozi mkoani Songwe wanatuhumiwa kuongoza kwa utoro shuleni na kujifunza tabia za wizi na uharibifu. Pamoja na kutoroka…
August 22, 2025, 12:42 pm
Baadhi ya wakazi wa Songwe wameeleza uelewa wao kuhusu ilani za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu, huku wanasiasa waandamizi wakifafanua maana halisi ya ilani. Na Mkaisa Mrisho Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Songwe wamezungumzia uelewa wao kuhusu kitu…
August 16, 2025, 12:59 pm
Wafanyabiashara Tunduma waomba serikali kuboresha mfumo wa kodi mpakani ili kurahisisha biashara na kuongeza ushindani. Na Emmanuel Mkondya Wafanyabishara wa Tunduma wameiomba kuweka mifumo rafiki ya kodi katika mpaka wa Tanzania na Zambia ili waweze kunufaika na bishara ya mpakani…
August 13, 2025, 7:11 pm
Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imewasihi Wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kuzitunza vizuri fedha aina ya noti ili kutekeleza sheria za nchi. Meneja Msaidizi idara ya uchumi na takwimu…
“VWAWA FM” is a commercial, variety hits radio station transmitting from VWAWA MBOZI, SONGWE. The radio is programmed with music, well researched information, ethical advertisement and promotions. The station employs competent individuals who are creative and professionally dedicated to satisfying our listeners, sub scribers, and advertisers, needs.
The radio is owned by SONGWE MEDIA COMPANY LIMITED, a company registered under Tanzania Act of Companies in 6th September 2017 with certificate of incorporation No. 137624 of 6th September, 2017.
The main purpose for the establishment of VWAWA FM was to air to the public the important event, occurring in the country and outside of it, as well as, education, customs, tradition, science, health, agriculture, road traffic, household knowledge, and entertainment through to traditional and modern songs, opera, drama, music among others. This satisfies the needs of information sharing and talent development.
VWAWA FM is located in SONGWE region, Mbozi District at Hasanga Ward though its broadcasting covers areas of neighboring regions, like Mbeya, and some areas of Rukwa, katavi, Njombe and some parts of Northern regions of Zambia and Malawi.
To be the best radio on the southern highland regions, whose content is to be closer to the listeners by telling them their annoyances, informing, educating, criticizing and entertaining.
Help provide employment to young people journalist and non journalist.