Uyui FM
Uyui FM
27 August 2025, 8:26 pm
“Ni vyema jamii ikajikita kuandaa maudhui yatakayo wasaidia kuleta maendeleo”
Kufuatia matukio mbalimbali ya kusambaa kwa picha mjongeo za faragha kwenye mitandao ya kijamii,wenza wametahadharishwa juu ya tabia ya kupiga picha hizo kwani ni kinyume cha sheria ya makosa ya mtandaoni ya mwaka 2015.
Zaituni Juma
Kufuatia matukio mbalimbali ya kusambaa kwa picha mjongeo za faragha kwenye mitandao ya kijamii,wenza wametahadharishwa juu ya tabia ya kupiga picha hizo kwani ni kinyume cha sheria ya makosa ya mtandaoni ya mwaka 2015.
Wakili wakujitegemea kutoka ofisi ya Makunga law Associete Paul Eugene, amesema ni vyema jamii ikajikita kuandaa maudhui yatakayo wasaidia kuleta maendeleo.

Ameishauri jamii kutenga muda wa kusoma na tambua sheria za nchi.
Baadhi ya wanachi Manispaa ya Tabora wametoa maoni yao juu ya suala hilo.
Kwa mjibu wa Wakili wa kujitegemea Paul Eugene, sheria za makosa ya kimtandao zimefanyiwa marekebisho kwa lengo kuheshimu faragha na kulinda maadili ya kitanzania.