Radio Tadio

Wazee

7 October 2023, 5:57 pm

Wazee waomba ushiriki kwenye vyombo vya kutoa maamuzi

Wazee nchini bado wanakabiliwa na changamoto nyingi huku suluhu ya changamoto hizo ni wazee hao kushirikishwa kikamilifu na serikali katika mambo ambayo yanawahusu. Na Mrisho Sadick: katikaBaraza la Wazee Nchini limeiomba serikali kuwashirikisha Wazee kwenye vyombo vya kutoa maamuzi ikiwemo…

6 October 2023, 10:27 am

Wazee nchini walaani vijana kuwalazimisha kuwarithisha mali

Wazee Nchini wameiomba serikali kuingilia kati vitendo vya baadhi ya vijana wao kuwalazimisha kuwarithisha mali ili hali wako hai sababu ambayo inachangia wengi wao kufanyiwa vitendo vya ukatili ikiwemo mauaji pindi wanapokataa kufanya hivyo. Suala la vijana kuwalazimisha wazee kuwarithisha…

11 September 2023, 9:58 pm

Wazee wanolewa kuhusu matumizi bora ya fedha

Wazee wa kikundi cha wazee Bikolweengozi kata ya Bugandika wilayani Missenyi wameanzisha chama cha kuweka akiba ya fedha na kukopa kwa lengo la kujiinua kiuchumi. Na: Jovinus Ezekiel Missenyi Mwenyekiti wa kikundi cha wazee Bikolweengozi cha kata ya Bugandika wilayani…