Radio Tadio

Uzinduzi

16 January 2024, 12:00

PM Majaliwa awasili Mbeya kufungua chuo kikuu CUoM

Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa Songwe ulioko Mkoani Mbeya kwaajiri ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya(CUoM). Waziri Mkuu amepokelewa na…

12 July 2023, 3:07 pm

Mwenge wazindua madarasa tisa Chitengule sekondari

Mbio za mwenge kitaifa bado zinaendelea mkoani mara leo mbio hizo zipo halmashauri ya wilaya ya Bunda ambapo miradi takribani 7 imetembelewa katika hatua za uwekaji wa jiwe la msingi na mingine kuzinduliwa. Na Thomas Masalu Mwenge wa uhuru 2023…

10 July 2023, 16:20 pm

Wananchi mikoa ya kusini kunufaika na mikopo ya kilimo

Wananchi wa mikoa ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwepo wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania  (TADB) Kanda ya Kusini  katika kupata uelewa na utaratibu wa kupata mikopo ili  kupata vifaa vya kisasa  vitakavyowezesha kuleta…