Uzinduzi
10 Disemba 2025, 4:35 um
Mkuu wa Kitengo cha Taka Jiji la Dodoma afanya ukaguzi wa usafi Makulu
Picha ni Dickson Kimaro Mkuu wa Kitengo cha Usafi na Udhibiti wa taka ngumu katika ziara ya ukaguzi wa usafi wa mazingira Kata ya Dodoma Makulu. Picha na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya. Ziara hiyo imelenga kutathmini hali ya usafi…
16 Januari 2024, 12:00
PM Majaliwa awasili Mbeya kufungua chuo kikuu CUoM
Na Hobokela Lwinga Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh: Kasim Majaliwa tayari amewasili katika Uwanja wa Kimataifa Songwe ulioko Mkoani Mbeya kwaajiri ya Kushiriki Hafla ya Ufunguzi wa Chuo Kikuu Cha Kikatoloki Mbeya(CUoM). Waziri Mkuu amepokelewa na…
26 Septemba 2023, 10:24
Biblia ya Agano Jipya yazinduliwa kwa lugha ya Kisafwa Mbeya
Tanzania ina makabila zaidi ya 120 na kila kabila lina mila na destri zake, katika kudumisha utamaduni, Umoja wa kabila la Wasafwa Mbeya umeandika Biblia ya Agano la Jipya kwa lugha ya Kisafwa. Na Josea Sinkala Umoja wa Maendeleo ya…
12 Julai 2023, 3:07 um
Mwenge wazindua madarasa tisa Chitengule sekondari
Mbio za mwenge kitaifa bado zinaendelea mkoani mara leo mbio hizo zipo halmashauri ya wilaya ya Bunda ambapo miradi takribani 7 imetembelewa katika hatua za uwekaji wa jiwe la msingi na mingine kuzinduliwa. Na Thomas Masalu Mwenge wa uhuru 2023…
10 Julai 2023, 16:20 um
Wananchi mikoa ya kusini kunufaika na mikopo ya kilimo
Wananchi wa mikoa ya kusini Lindi, Mtwara na Ruvuma wametakiwa kuchangamkia fursa ya uwepo wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) Kanda ya Kusini katika kupata uelewa na utaratibu wa kupata mikopo ili kupata vifaa vya kisasa vitakavyowezesha kuleta…