Radio Tadio

Uwekezaji

10 August 2023, 1:14 pm

Chama cha wafugaji chatoa msimamo uwekezaji bandari

Wafugaji wanaona yapo manufaa makubwa kwenye uwekezaji wa bandari hivyo wanaunga mkono jitihada zote za serikali katika uwekezaji huo. Na Adelinus Banenwa Chama cha wafugaji Tanzania kupitia kwa mwenyekiti wake kimesema kinaunga mkono mkataba wa mashirikiano ya serikali na kampuni…

25 July 2023, 1:26 pm

Wawekezaji wazidi kuongezeka Dodoma

Watu mbalimbali wanakaribishwa kuwekeza katika jiji la Dodoma kwani kuna fursa mbalimbali za uwekezaji. Na Thadei Tesha. Kufuatia kukua kwa jiji la Dodoma pamoja na ongezeko la watu kumepelekea wawekezaji mbalimbali kupata fursa ya kuwekeza katika maeneo mbalimbali ya mkoa…

24 April 2023, 2:26 pm

Wananchi waomba kupatiwa elimu ya uwekezaji

Mara kadhaa vijana wamekuwa wakilalamikia kukosa fursa za kujikwamua kiuchumi ambapo moja ya changamoto kubwa ni ukosefu wa elimu juu ya kuzitambua fursa hizo. Na Thadei Tesha. Baadhi ya wananchi jijini Dodoma wameiomba serikali kutoa elimu zaidi kwa wananchi juu…