takataka
29 May 2026, 18:20
Asali ina thamani gani kwenye utamaduni wa kabila la wasandawe
Karibu ufuatane nasi katika mfululizo wa simulizi hii ili uweze kufahamu mengi na fahari nyingi zilizopo mkoani Dodoma. Na Yussuph Hassan.Msikilizaji wa fahari ya Dodoma katika mwendelezo wetu wa kufahamu mila na desturi za kabila la wasandawe leo tunaangazi aina…
28 May 2026, 17:50
Jamii ya kabila la wasandawe na tamaduni zao
Karibu katika fahari ya Dodoma ambapo leo tunaangazia asili ya kabila la wasandawe katika Kijiji cha Farkwa wilayani Chemba. Na Yussuph Hassan. Jamil hizi ambazo ni za kale zaidi na zinachukuliwa kuwa wakazi wa mwanzo kabisa wa jamil za asili…
26 May 2026, 17:41
Kifahamu chakula kikuu cha kabila la Wasandawe
Leo tupo katika eneo la Farkwa linalo patikana wilayani Chemba Jijini Dodoma ambapo wenyeji wa eneo hili ni wasandawe. Na Yussuph Hassan.Leo katika fahari ya Dodoma tunaangazia kabila la wasandawe asili ya chakula chao kabila hili limejikita katika shughuli za…
7 November 2023, 17:13
Wananchi Ihumwa A waomba kutengewa eneo la kuhifadhi taka
Hali hii inashangaza kuona mtaa huo ambao haupo mbali na ulipo mji wa serikali ukikosa mzabuni wa kukusanya takataka na wananchi wakichoma takataka katika maeneo yao wakati sheria zipo na miongozo ya udhibiti na utunzaji wa mazingira . Na Victor…