Radio Tadio

Pembejeo

21 September 2023, 17:19

Wakulima Mufindi kunufaika na kipima udongo

Wataalam kutoka shirika la Care na WWF Alliance pamoja na wakulima wilayani Mufindi wakiwa katika moja ya shamba darasa. Picha na Care. Na Jumanne Bulali Kifaa cha kupimia udongo kinatarajiwa kuwa na tija kwa wakulima wengi wilayani Mufindi kwani wataweza…

September 19, 2023, 9:21 pm

Wananchi Makete waishukuru serikali kutoa pembejeo kwa wakati

Kuelekea msimu wa kupanda mazao wananchi wameendelea kujitokeza katika vituo vya pembejeo kwa ajili ya kuchukua mbolea, ikiwa ni siku chache baada ya serikali kutangaza wakulima kuhakiki taarifa zao. Na Aldo Sanga. Wananchi wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya pembejeo…

28 June 2023, 14:50 pm

Pembejeo za ruzuku zawafikia wakulima Mtwara

Mchakato wa ugawaji wa pembejeo ya ruzuku kwa wakulima wa zao la korosho umeanza kuwafikia wakulima   katika maeneo mbalimbali  nchini. Akizungumzia mchakato huo Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndugu Francies Alfred amesema kuwa kwa miaka miwili iliyopita ugawaji…