Radio Tadio

mifugo

15 February 2024, 5:01 pm

Tabia bwete yatajwa chanzo cha ugonjwa wa kisukari

Ili kuepuka magonjwa yanayosababishwa na mtindo mbovu wa maisha ni muhimu kufanya mazoezi ya wastani ya dakika 35 hadi 45 mara kwa mara. Na Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa tabia Bwete ikiwemo kutofanya mazoezi unene uliopitiliza,kula vyakula vya wanga na mafuta…

19 November 2023, 5:37 pm

CCWT kuanza usajili wafugaji kwa njia ya kielektronik

Chama Cha Wafugaji Taifa (CCWT) ziarani nchi nzima kuhamasisha wafugaji kujisajili kwa njia ya kielektronik ili wafugaji hao wawe na chombo cha kuwaunganisha na kutatua matatizo yao. Na Alex Sayi. Chama Cha Wafugaji Taifa kimeendelea na ziara nchi nzima kwa…

26 October 2023, 5:48 pm

Maswa:Kinamama waaswa kuchangamkia fursa za ufugaji wa samaki

Kinamama toka jamii za wafugaji wameaswa kujiunga na chama cha wafugaji ili waweze kujikwamua kiuchumi. Na Alex Sayi. Chama cha wafugaji Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kimetoa wito kwa wanawake wanaoishi kwenye jamii za wafugaji kuchangamkia fursa za ufugaji wa Samaki…

7 July 2023, 1:41 pm

Wafugaji Kilosa washauriwa kufuga kibiashara

Serikali imelenga kutoa elimu ya shughuli za kimaendeleo katika sekta ya ufugaji kwa vijana hususan wazawa ambao baada ya mafunzo hayo watakuwa mabalozi wazuri wa kusambaza elimu ya ufugaji wa kisasa katika ngazi ya familia na jamii nzima kwa ujumla…

20 April 2023, 9:34 am

Dc  Maswa  Aswege   Kaminyoge  atoa  Maagizo  Mazito  kuhusu  chanjo …

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhe Aswege  Kaminyoge  ametoa  Maagizo  kwa  Wafugaji  Wote  kupeleka   Mifugo  yao  kwenda  kuchanja  Sehemu  ambazo  zimeandaliwa  na  kijiji  husika  ili  kujikinga  na  Magonjwa  hatari  ya  Mifugo.             Sauti ya DC  Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …

22 February 2023, 3:31 pm

Chanjo ya kichaa cha Mbwa

Isidory Matandula  Imeelezwa kuwa asilimia 99 ya watu wanaokufa kutokana na ugonjwa wa kichaa cha mbwa, wanakufa kwasababu waling’atwa na Mbwa mwenye kichaa na asilimia moja tu ndio wanakufa kwa kung’atwa wanyama wengine . Hayo yamebainishwa na Dkt Sambo Maganga…