Radio Tadio

Mapokezi

19 December 2023, 19:49

Rungwe Mbeya yampokea mwenyekiti wa ccm mpya

Shangwe ya Mapokezi ya Mwenyekiti Mpya wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Patrick Mwalunenge Katika Wilaya ya Rungwe lmefana baada ya Mamia ya wakazi wa wilaya ya Rungwe kujitokeza Kumlaki. Mapokezi yamefanyika katika uwanja wa stendi ya daladala Tukuyu mjini. Mwalunge…

13 November 2023, 18:50

Dkt.Tulia apokelewa kwa shangwe Mbeya

Na Hobokela Lwinga Mapokezi ya spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na rais wa umoja wa mabunge duniani Dkt. Tulia Ackson mkoani Mbeya hasa jimboni kwake Mbeya mjini yamefanyika kwa kishindo na ubora mkubwa. Wakati hafla hiyo…

10 November 2023, 14:14

CCM yawaita wananchi kumpokea Dk.Tulia

mwandishi lameck Charles Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya kimekamilisha maandalizi ya kumpokea Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini dokta Tulia Acksoni anayetarajia kuwasili kesho ikiwa ni siku chache tangu kiongozi huyo achaguliwe kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge…

4 November 2023, 17:39

CCM Mbeya wajipanga kumpokea Dk.Tulia

Mwandishi samweli ndoni Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Mbeya imempogeza Spika wa Bunge Dk. Tulia Acksoni kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa umoja wa wabunge duniani (IPU).Dk, Tulia ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mbeya…