Radio Tadio

Mahakamani

11 June 2022, 8:09 am

Sabaya: Mungu amenitendea miujiza

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amemshukuru Mungu kwa kumfanyia miujiza iliyopelekea kushinda kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili. “Mimi ninamshukuru Mungu sana na ambariki Rais aliyeweka mfumo wa haki inawezekanaameshafanya kwa wengi lakini Mungu kupitia kwa…