Radio Tadio

magonjwa

29 February 2024, 4:34 pm

Historia ya mtaa wa Hazina wanajivunia nini?

Licha ya historia ya mtaa huu mwenyekiti anaeleza vitu ambavyo wakazi wa mtaa huu wanajivunia. Na Yussuph Hassan. Mwandishi wetu anaendelea kuzungumza na mwenyekiti wa mtaa wa Hazina na leo anaeleza vitu mbalimbali vinavyo patikana katika mkoa huu mkongwe uliopo…

25 August 2023, 17:24

Jamii mkoani Kigoma yatakiwa kujikinga na magonjwa ya mlipuko

Magonjwa ya mlipuko mkoani Kigoma yanaweza kudhibitiwa iwapo hatua mbalimbali zitachukuliwa na jamii. Jamii mkoani Kigoma imetakiwa kushirikiana vyema na wadau wa sekta ya afya ili kuondoa tatizo la magonjwa ya mlipuko ambayo yamekuwa yakijitokeza mara kwa mara. Mganga Mkuu…

July 4, 2023, 10:56 am

Jamii kuishi kwa mazoea chanzo cha magonjwa yasioambukizwa

Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamesema magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto kutokana na maisha ya mazoea katika jamii. Na Misoji Masumbuko Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema watu wengi wanaopata magonjwa yasiyoambukizwa hawatambui mapema kutokana na kutokuwa na tabia…

21 October 2022, 11:10 am

Wananchi Waaswa Juu ya Tahadhari ya Magonjwa ya Mlipuko

MPANDA Wananchi  Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya magonjwa ya milipuko ikiwamo kuhara kwa kunawa mikono na maji tiririka na sabuni sambamba na kutibu maji ya kunywa. Afisa afya Manispaa ya Mpanda Erick Kisaka ameitaka jamii…