Radio Tadio

Jinsia

12 October 2023, 4:00 pm

Wito: Wenza jadilianeni pamoja kuimarisha mahusiano

Wenza wametakiwa kuzungumza kwa pamoja changamoto wanazokutana nazo kwenye mahusiano ili waweze kupata msaada wa kutatua changamoto hizo. Na Mariam Ally Wakiongea na kituo hiki kupitia kipindi cha Busati la wenza wawezeshaji ngazi ya jamii kutoka katika kijiji cha Mwera…

28 April 2023, 2:00 pm

Jumuiya ya wazazi CCM Bahi yalaani ndoa za jinsia moja

Maadhimisho hayo yalianza kwa kutoa elimu ya malezi kwa wanafunzi wa shule ya sekondari  Bahi  ambapo wanafunzi walisisitizwa kuhusu nidhamu na bidii katika masomo. Na Bernad Magawa. Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi wilaya ya Bahi imetoa tamko la…

17 March 2023, 3:08 pm

Wakufunzi 10 kubadili vyombo vya habari kijinsia

Na Erick Mallya Shirika la UZIKWASA lililopo wilayani Pangani Mkoani Tanga kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limehitimisha  mafunzo maalumu ya siku 4 yaliyowakutanisha viongozi waandamizi wa vyombo vya Habari vya Tanzania bara…