
Bongoflava

3 February 2025, 8:02 pm
DC Kyobya ataka Udhibiti Mawakili Vishoka wanaotapeli wananchi-Kilombero
Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa wilaya ya kilombero wakili Dunstan Kyobya ameliagiza jeshi la polisi wilayani humo kuhakikisha mawakili vishoka wanaotapeli wananchi wanakamatwa mara moja ,huku akisisitiza ushirikiano kwenye jambo hilo Hayo amezungumza katika hafla za kilele cha wiki ya…

3 February 2025, 7:41 pm
Uhalifu wa Kimtandao Ifakara Mbunge Asenga afadhili Mafunzo ya TCRA kudhibiti ny…
Na Katalina Liombechi Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imesema itaendelea kushirikiana na wadau kushughulikia changamoto za kimawasilino ili kuhakikisha huduma hiyo inakuwa salama kwa watumiaji. Meneja kitengo cha watumia huduma ya mawasiliano TCRA Mhandisi Kadaya Baluhye ameyasema hayo February 2,2025…

31 January 2025, 6:49 pm
TRA watatua changamoto za wafanyabiashara Kilombero
Na Katalina Liombechi Serikali yetu imeweka mifumo rahisi ya ulipaji kodi nasi tumekuwa tukisikiliza changamoto za wafanyabiashara na kuzitatua kwa wakati. Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilaya ya Kilombero Imesema itaendelea kutatua changamoto za wafanyabishara na kuweka Mazingira rafiki ya…

29 January 2025, 1:38 pm
RC Kagera azindua mafunzo kwa wanahabari juu ya ugonjwa wa marburg
Upo umhimu mkubwa kwa redio jamii kushikiri kuhamasisha jamii juu ya namna na kukabiliana na ugonjwa. Na Mwandishi wetu.Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mhe. Hajjat Fatma Abubakari Mwassa, amezindua rasmi semina ya mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari…

17 January 2025, 12:14 pm
Mafinga Mji yafanya ufuatiliaji wa wanafunzi waliopangiwa shule mwaka 2025
Na Sima Bingilek Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa imefanya Ufuatiliaji wa wanafunzi wa kidato cha kwanza waliopangiwa katika Shule zetu za Sekondari tangu kufunguliwa kwa shule Jan 13 mwaka huu. Akizungumza wakati wa Ufuatiliaji huo Afisa Elimu Sekondari Halmashauri…

14 January 2025, 10:48 am
DC Linda awapa wiki moja wazazi kuwapeleka wanafunzi shule
Na Sima Bingilek Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa ametoa wiki Moja kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawapeleka shule wanafunzi wote waliochaguliwa kujinga na masomo kwa mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa…

12 January 2025, 11:04 am
Iringa yajipanga kupandisha ufaulu
Na Adelphina Kutika Mkuu wa wilaya ya Iringa Komred Kheri James amewataka wadau wa elimu wilayani Iringa kujipanga kikamilifu ili kupandisha ufaulu na kusimamia malezi na maadili ya watoto. Komred Kheri James ameyasema hayo katika kikao kazi cha Wakuu wa…

18 December 2024, 6:24 pm
TRA Pemba yawatembelea wafanyabiashara yasikiliza changamoto zao
meneja mamalaka ya mapato TRA mkoa wa kikodi pemba Arif Said akizungumza na mfanya biashara katika maeneo ya duka kiswani pemba ikiwa ni ziara maalum ya kuwatembelea na kusikiliza changamaoto zinazowakabili ikiwa ni ziara maalumu ya kuwatambelea wafanya biashara kwa lengo la kujua changamoto zinazo wakabili.…

16 December 2024, 8:29 pm
Six rivers Africa waokoa hifadhi wakabidhi miradi mbadala kwa wananchi-Ifakara
Na Katalina Liombechi Shirika la six Rivers Afrika wamekabidhi Miradi ya kufuga nguruwe na Kuuza Unga wa Sembe yenye thamani ya shilingi Mil.7 kwa vikundi viwili kutoka Kata za Katindiuka na Kibaoni katika Halmashauri ya mji wa Ifakara ikiwa ni…

10 December 2024, 5:08 pm
Wenye ulemavu watakiwa kutambua afya ya akili
Miongoni mwa msaada uliotolewa na taasisi ya Tfed ni pamoja na majiko ya gesi, fimbo nyeupe, cherehani, kiti mwendo na mafuta kwa watu wenye ualbino. Na Yussuph Hassan.Imeelezwa kuwa kuna umuhimu mkubwa kwa kundi la watu wenye ulemavu kutambua afya…