![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Bongoflava
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/11/2024/07/img-0380-scaled.jpg)
23 July 2024, 4:41 pm
Mbunge Mlimba ataja miradi iliyotekelezwa hadi sasa, inayotekelezwa
“wakati napata ubunge tatizo la upatikanaji wa maji katika jimbo la Mlimba lilikuwa kubwa sana ukilinganisha na sasa”Mbunge wa jimbo la mlimba godwine Kunambi N a Elias Maganga Kampeni ya kumtua mama ndoo kishwni KATIKA Jimbo la mlimba Wilayani kilombero…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/22/2024/07/gari-scaled.jpg)
12 July 2024, 6:32 pm
23 mbaroni tuhuma za udanganyifu wa ajira kwa vijana
Kwa mujibu wa taarifa vijana hao zaidi ya 100 walipigiwa simu kutoka mikoa ya Manyara, Arusha, Singida, Dodoma na Morogoro kuja mkoani Tabora kwa lengo la kuwapatia ajira zenye mshahara mnono Na Salma Abdul Watu 23 ambao ni baadhi ya…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/29/2024/07/umeme1.jpg)
11 July 2024, 5:27 pm
Dk Biteko: Umeme wa gridi ya taifa Tabora-Katavi ukamilike Oktoba mwaka huu
picha na Mtandao “kukamilika kwa mradi huo kutaongeza thamani ya uchakataji wa mazao viwandani.“ Na Betord Chove Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Doto Biteko, amewataka wasimamizi wa mradi wa umeme wa gridi yaTaifa mkoani Katavi kuacha visingizio na…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/package-pi-1.jpg)
9 July 2024, 1:58 pm
Kutana na mama anayejipatia fedha kupitia kilimo cha mbogamboga Terrat
picha kwa msaada wa mtandao. Na Evanda Barnaba. Kwenye ipindi cha kiangazi wanajamii wa Kijiji cha Terrat huwa wanapata changamoto ya kupata mboga za majani lakini unafahamu hiyo ni Fursa pia ? Katika Makala fupi hii Mwanahabari Evander Barnaba anazungumza…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/37/2024/07/package-pi.jpg)
9 July 2024, 1:35 pm
Wanajamii wapewa elimu juu ya kujiingizia kipato kipindi cha ukame
Na Joyce Elias. Afisa kilimo kata ya Terrat Ndg.PETRO MEJOOLI LUKUMAY amesema kuwa wanajamii wanatakiwa kulima mbogamboga na mazao mengine mchanganyiko ili kujiingizia kipato haswa wakati wa upungufu wa mvua ama ukame. Ametoa elimu hiyo kupitia mahojiano mafupi aliyoyafanya na…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/11/2024/07/img-6269-1-scaled.jpg)
9 July 2024, 1:15 pm
Mbunge atoa king’ora kwa jeshi la polisi Kilombero
MBUNGE WA jImbo la Kilombero Abubakary Asenga akiwa na maafisa wa jeshi la Polisi Kilombero jehi la Polisi Wilaya ya Kilombero huwa linapata wakati mgumu kuongoza misafara ya viongozi mbalimbali kutokana na gari yao kutokuwa na King’ola Na Elias Maganga…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/12/2024/07/aaaa.jpeg)
9 July 2024, 10:19 am
PM Majaliwa awafuta kazi vigogo Iringa
Na Frank Leonard WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameagiza kusimamishwa kazi mara moja Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo, Emanuel Sigachuma na Ofisa Elimu Sekondari wa halmashauri hiyo Nelson Milanzi, ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazowakabili na kufikishwa mahakamani. Wawili…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/12/2024/07/screenshot-20240708-2001522.jpg)
8 July 2024, 8:14 pm
Waziri Majaliwa aagiza kuondolewa madawati yasiyokidhi vigezo Iramba
Na Mwandishi wetu. WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameagiza kuondolewa kwa madawati yaliyopo katika shule ya sekondari ya Iramba Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa ambayo hayana eneo la kuhifadhi madaftari ya wanafunzi. Waziri Majaliwa ametoa agizo hilo mkoani Iringa wakati akizindua…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/06/img-20240619-wa0334-1.jpg)
June 20, 2024, 8:45 pm
Kamanda Katabazi azindua daraja la Mapea
Changamoto ya muda mrefu iliyokuwa inawakabili wakazi wa kijiji cha Matufa kwa kukosa daraja na wananchi kushindwa kupita katika eneo hilo ambalo lilikuwa linatumika kufanyia vitendo vya uhalifu limetatuliwa. Na Angel Munuo Kamanda wa polisi mkoani Manyara Geogre Katabazi amezindua…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/12/2024/06/img-20240619-wa0008.jpg)
19 June 2024, 10:44 am
Wanahabari kutumia kalamu zao kuhusu malezi bora
Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari wa redio jamii mkoani Iringa wametakiwa kutumia kalamu zao kuandika na kuelimisha jamii ili kuleta mabadiliko chanya kwa mtoto na taifa kwa ujumla. Hayo yamebainishwa katika ufunguzi wa mafunzo kwa waandishi wa habari kuhusu Program…