Radio Tadio

Bongoflava

31 January 2025, 6:49 pm

TRA watatua changamoto za wafanyabiashara Kilombero

Na Katalina Liombechi Serikali yetu imeweka mifumo rahisi ya ulipaji kodi nasi tumekuwa tukisikiliza changamoto za wafanyabiashara  na kuzitatua kwa wakati. Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilaya ya Kilombero Imesema itaendelea kutatua changamoto za wafanyabishara na kuweka Mazingira rafiki ya…

14 January 2025, 10:48 am

DC Linda awapa wiki moja wazazi kuwapeleka wanafunzi shule

Na Sima Bingilek Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Dkt. Linda Salekwa ametoa wiki Moja kwa wazazi na walezi kuhakikisha wanawapeleka shule wanafunzi wote waliochaguliwa kujinga na masomo kwa mwaka 2025. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa…

12 January 2025, 11:04 am

Iringa yajipanga kupandisha ufaulu

Na Adelphina Kutika Mkuu wa wilaya ya Iringa Komred Kheri James amewataka wadau wa elimu wilayani Iringa kujipanga kikamilifu ili kupandisha ufaulu na kusimamia malezi na maadili ya watoto. Komred Kheri James ameyasema hayo katika kikao kazi cha Wakuu wa…

18 December 2024, 6:24 pm

TRA Pemba yawatembelea wafanyabiashara yasikiliza changamoto zao

meneja mamalaka ya mapato TRA mkoa wa  kikodi pemba  Arif Said  akizungumza na mfanya biashara  katika  maeneo ya   duka kiswani pemba ikiwa ni ziara maalum ya kuwatembelea na kusikiliza changamaoto zinazowakabili ikiwa ni ziara  maalumu ya kuwatambelea wafanya biashara kwa lengo la kujua changamoto zinazo wakabili.…

10 December 2024, 5:08 pm

Wenye ulemavu watakiwa kutambua afya ya akili

Miongoni mwa msaada uliotolewa na taasisi ya Tfed ni pamoja na majiko ya gesi, fimbo nyeupe, cherehani, kiti mwendo na mafuta kwa watu wenye ualbino. Na Yussuph Hassan.Imeelezwa kuwa kuna umuhimu mkubwa kwa kundi la watu wenye ulemavu kutambua afya…