Radio Tadio

Bongoflava

1 July 2025, 13:11

Jamii yatakiwa kutoa taarifa za wanyamapori katika makazi yao

Wananchi wametakiwa kutoa taarifa za wanyamapori wakali ili kuepusha madhara yanayoweza kujitokeza Na Samwel Mpogole Jamii, hususani wakazi wa maeneo yanayopakana na hifadhi za taifa, wametakiwa kuhakikisha wanatunza mazingira na kutoa taarifa mapema mara tu wanapoona au kuhisi uwepo wa…

1 July 2025, 12:41

Kyela kuinua sekta ya utalii

Utalii unachangia asilimia 17.5 ya pato la taifa la Tanzania kwa mwaka 2016 ambapo sekta hii inakua kwa kasi, ikipanda kutoka dola bilioni 1.74 mwaka 2004 hadi dola bilioni 4.48 mwaka 2013. Na Samwel Mpogole Mkuu wa Wilaya ya Kyela,…

27 June 2025, 3:37 pm

Muce yazindua kozi mpya 7

Kozi Mpya ziilizozinduliwa na Chuo Cha Muce zinalenga kutatua changamoto ya ajira kwa vijana. Na Godfrey Mengele Chuo kishiriki cha Elimu Mkwawa Iringa { MUCE } Kimezindua kozi mpya za kitaaluma 7 {Post Graduate Degree Programmes} kwa ajili ya msimu…

13 June 2025, 5:12 pm

Zingatieni sheria na miongozo ya uchimbaji-DC Mpanda

“Changamoto zilizopo ni kutokutekelezwa kwa sheria ya usalama mahala pa kazi” Na Anna Mhina Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewataka wachimbaji wa madini kuzingatia sheria na miongozo ya uchimbaji ili kutosababisha madhara yanayoweza kuepukika. Jamila ameyasema hayo kwenye…

10 June 2025, 18:06

AMCOS 37 zagawiwa mizani, vipima unyevu 40

“Nilipata mashaka kupitisha makato ya shilingi hamsini kwa kila kilo nikihofia kuwa je zitaleta faida?” Na Nsangatii Mwakipesile Mkuu wa mkoa wa mbeya Juma Homera ameshiriki zoezi la kukabidhi vipima unyevu wa Kakao kwa AMCOS 37 hapa wilayani kyela katika…

4 June 2025, 9:47 am

EWURA yalegeza kamba uwekezaji vituo vya mafuta

Meneja wa EWURA mhandisi Walter Christopher . Picha na Leah Kamala “Sisi kama EWURA tumelegeza masharti ili wawekezaji wawekeze vituo vya mafuta vijijini” Na Leah Kamala Meneja wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) Kanda ya…

1 June 2025, 5:24 PM

Sababu ya panya kufanywa kitoweo Masasi

Panya wanaoliwa si wale wanaoishi ndani ya nyumba bali wanaishi porini na wana lishe bora kutokana na kuharibu mazao ambayo mara nyingi wanakula viini ambavyo kitaalam ndivyo vina lishe. Na Neema Nandonde Kumekuwa na simulizi nyingi kuhusu vyakula vya asili…

29 May 2025, 2:18 pm

Bweni la Machame sekondari kukamilika ndani ya siku 19

Pichani ni bweni la shule wa wasichana Machame sekondari likiwa katika hatua za mwisho za ujenzi(picha na Faraja Ulomi) Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wananfunzi kote na nchini,hii inaadhihirika wazi kutokana na miradi mbalimbali ya ujenzi inayoendelea huko mashuleni…