wezi
6 May 2024, 5:32 pm
Wezi wadaiwa kuficha mali juu ya mlima
Licha ya dhana ya ulinzi shirikishi na uwepo wa polisi jamii katika mitaa na vijiji vya mkoa wa Geita, bado changamoto ya vibaka na wezi imeendelea kuwatesa wakazi wa Njia panda ya Inyala katika mji mdogo wa Katoro. Na: Evance…
20 November 2023, 12:24 pm
Geita kuzalisha hekta zaidi ya laki tano za mazao ya chakula
Geita kuondoa vikwazo kwa wakulima ikiwemo kutatua changamoto ya upatikanaji wa mbolea ili kufikia malengo ya uzalishaji wa mazao ya chakula kwa wingi. Na Mrisho Sadick – Geita Mkoa wa Geita umekusudia kuzalisha Hekta zaidi ya laki tano za chakula…
17 October 2023, 10:25 am
Serikali ya wilaya Geita yaagizwa kuongeza kasi usambazaji wa mbolea
Serikali imetakiwa kuharakisha mchakato wa usambazaji wa Mbole kwa wakulima kwakuwa wakulima wengi hususani katika wilaya ya Geita hawajafikiwa na mbolea hizo. Na Mrisho Sadick Chama Cha Mpinduzi CCM wilaya ya Geita kimeiagiza serikali ya wilaya ya Geita kusambaza kwa…
8 September 2023, 12:06 pm
Vijana wahimizwa kujikita katika kilimo cha kitalu nyumba
Juhudi za kuendelea kuwahimiza vijana kujiingiza kwenye kilimo zinaendelea, kwani kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa, huku Kijani Consult wakija na njia mbadala kwa vijana wa Geita kutumia kilimo chenye mwanga mdogo wajua ili mazao kustawi vizuri. Na Zubeda…
6 September 2023, 10:49 pm
Mkuu wa wilaya Chato atoa onyo kwa waharibifu shamba la miti Silayo
Uwepo wa Shamba la Miti Silayo wilayani Chato ni manufaa makubwa kwa wakazi wa eneo hilo kulingana na namna linaendelea kurudisha kwa jamii licha ya changamoto kadha wa kadha katika kulilinda shamba hilo. Na Zubeda Handrish- Geita Mkuu wa wilaya…
2 September 2023, 2:13 pm
Geita DC na mkakati wa kuongeza uzalishaji mpunga
Kutokana na mabadiliko ya tabianchi wakulima wilayani Geita wameishauri serikali kuboresha kilimo cha umwagiliaji ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa chakula. Na Mrisho Sadick: Kuboreshwa kwa miundombinu ya kilimo katika halmashauri ya wilaya ya Geita itasaidia kuongeza uzalishaji wa…
1 August 2023, 10:45 pm
TAKUKURU Geita yaokoa zaidi ya shilingi milioni 11
Wakulima wa pamba wamelalamikia kutapeliwa pesa zao za mauzo, hali iliyopelekea TAKUKURU kuingilia kati. Na Kale Chongela- Geita Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imefanikiwa kuokoa zaidi ya Shilingi Milioni 11 zilizokuwa zimetapeliwa na viongozi…
13 July 2023, 9:59 am
Wakulima Chato kunufaika na kilimo cha umwagiliaji
Kutokana na mabadiliko ya tabianchi kusababisha kupungua kwa mvua wilayani Chato mkoani Geita, serikali imekuja na njia mbadala ya kilimo cha umwagiliaji ili kuwakomboa wakulima. Na Mrisho Sadick: Serikali imepanga kuboresha mifumo ya umwagiliaji kwa wakulima wanaoishi pembezoni mwa Ziwa…