Storm FM
Storm FM
December 15, 2025, 6:43 pm
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatatu Disemba 15, 2025 amefungua na kuongoza Kikao cha kusikiliza kero na changamoto za bodaboda na Bajaji Mkoa wa Arusha, Kikao kilichofanyika kwenye Viwanja vya Makumbusho ya Azimio la…
7 November 2025, 10:16 am
“Kutokana na uwezo wake wa kuboresha huduma katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, usafiri, na biashara, AI inatoa faida nyingi“ Na Dorcus Charles Katika ulimwengu wa leo, teknolojia ya Akili Bandia (AI) imekuwa sehemu muhimu ya maisha yetu ya…
28 October 2025, 11:55 am
Jiepusheni na magroup songozi ya mitandaoni ili msije mkakosea na kutuma huko taarifa pia Jiepusheni na ushabiki wa vyama vya Siasa msije mkaleta tahaluki kwani nyie mnafanya kazi kwa niaba ya Tume huru ya Taifaya Uchaguzi ”Julius Ikongora John “…
26 October 2025, 3:30 pm
Siku ya uchaguzi tarehe 29 mwezi Oktoba 2025, nawasihi wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo mkatoe vipaumbele kwa makundi maalumu ya watu wenye ulemavu, wazee, wajawazito na akina mama wanaonyonyesha “Julius Ikongora John Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Maswa” Na…
25 October 2025, 3:16 pm
Makarani waongozaji wapiga Kura katika Jimbo la Maswa Mashariki na Jimbo la Maswa Magharibi wameaswa kuzingatia Kanuni, Miongozo na Sheria za Uchaguzi zilizotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi ili kuepuka migogoro isiyokuwa ya lazima Nasaha hizo zimetolewa na …
22 October 2025, 2:46 pm
“Kuchagua kiongozi unayemtaka ni takwa la kikatiba katika kuleta maendeleo kwenye eneo husika ndiyo maana sasa unapofika uchaguzi tunawataka wananchi waweze kuitumia hiyo haki ya kuchagua kiongozi wamtakao wenyewe”. Na,Daniel Manyanga Wilayani Maswa mkoani Simiyu imeelezwa kuwa wale wote waliopoteza…
18 October 2025, 8:23 pm
Mkutano huo katika kata ya Mwaya ulihudhuriwa pia na viongozi mbalimbali wa CCM wa kitaifa na mkoa, ambao walisisitiza mshikamano na amani katika kipindi chote cha kampeni na hata baada ya uchaguzi Na Katalina Liombechi Mgombea mwenza wa urais kupitia…
17 October 2025, 7:55 pm
“Naomba mnichague nitahakikisha watu wote wanapata mikopo bila kuonewa “ Na Katalina Liombechi Mgombea Udiwani Kata ya Viwanjasitini kupitia Chama cha Mapinduzi Flora Kwangu leo akizindua Kampeni zake amesema miongoni mwa mambo atakayoshughulikia ni pamoja na changamoto ya Miundombinu ya…
2 October 2025, 3:55 pm
Hili ni zoezi la utoaji wa fomu za mfano za kuweka tiki kwa mgombea atakaye chaguliwa, ili iwe rahisi kutumika katika mikutano ya ugombea udiwani wakati wa kunadi sera zao. Na Dunia Stephano Msimamizi wa uchaguzi ambaye pia ni mtendaji…
September 11, 2025, 4:47 pm
Ni ya utoro, wizi na uharibifu Na Asteria Kibiki Watoto wanaojihusisha na vitendo vya kuokota vyuma chakavu katika kata ya Ichenjezya, wilayani Mbozi mkoani Songwe wanatuhumiwa kuongoza kwa utoro shuleni na kujifunza tabia za wizi na uharibifu. Pamoja na kutoroka…