Storm FM
Storm FM
14 December 2025, 6:28 pm
Baada ya Serkali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoa fursa kwa wavuvi kuanza ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya ziwa victoria, baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Buchosa wamefurahishwa, na kuiomba serikali kuwaongezea ujuzi na mitaji…
22 November 2025, 7:26 pm
Baadhi ya wazazi na walezi nchini wamekuwa tabia za kutowapeleka shule watoto wenye ulemavu jambo linalokemewa vikali na Serikali pamoja na asasi za kiraia Na;Joyce Rollingstone Wazazi na Walezi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, wametakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu na badala…
15 November 2025, 11:44 am
Mkuu wa wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amewataka wananchi wilayani Babati mkoani Manyara kutunza vyanzo vya maji ikiwemo kutofanya shughuli zao karibu na vyanzo hivyo. Na Mzidalfa Zaid Kaganda amesema hayo baada ya kukagua miradi ya maji ukiwemo mradi wa…
10 September 2025, 14:18
Wananchi wa Wilaya ya Kasulu wameeleza furaha yao kwa ujio wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye pia ni mgombea Urais kuwa utatoa nafasi kwa wananchi kueleza mahitaji yao Na Hagai Ruyagila Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye…
28 August 2025, 3:30 am
Mgombea ubunge jimbo la Nsimbo Anna Lupembe na msimamizi wa uchaguzi jimbo la Nsimbo Julius Moshi. Picha na Restuta Nyondo. “Kwa kuwa umekizi vigezo hivyo nakuteua kuwa mgombea ubunge jimbo la Nsimbo” Na Restuta Nyondo Mgombea Ubunge wa Jimbo la…
6 August 2025, 18:45 pm
“Kuruthumu amepatiwa msaada wa shilingi 300,000 kwa ajili ya gharama za ununuzi wa kiatu hicho maalumu. Huu ni mwanzo mpya kwa maisha yake, kwani sasa ataweza kushiriki ipasavyo katika shughuli za kila siku bila kikwazo kikubwa cha utembeaji” Na Msafiri…
30 July 2025, 7:25 pm
Katibu wa siasa na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Theonas Kinyoto. Picha na Samwel Mbugi “Kata ya Mpanda hotel namba moja ni Oscar John Mbule” Na Samwel Mbugi Katibu wa siasa na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Theonas…
28 July 2025, 22:31 pm
Mzee Salumu Somba mkazi wa Mnyengedi, Mtwara, mlemavu wa macho, anaomba msaada wa makazi, mavazi, na mahitaji ya msingi kwa ajili ya familia yake kutokana na hali ngumu ya maisha. Na Musa Mtepa Mzee Salumu Somba, mkazi wa Kijiji cha…
21 March 2025, 4:24 pm
Viongozi hao wameonesha umoja na ushirikishanaji wa taarifa za miradi pindi inapopelekwa kwenye maeneo yao. Na Adelinus Banenwa Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Bunda imewapongeza baadhi viongozi wilayani Bunda kwa utekelezaji na usimamizi wa miradi ya serikali kwenye maeneo…
20 March 2025, 3:55 pm
Ruwasa Manyara yaadhimisha wiki ya maji kwa kutoa elimu. Wakala wa usambazaji maji na usafi mazingira vijijini mkoa wa Manyara yawataka wananchi kutunza vyanzo vya maji. Na Mzidalfa Zaid Wakati wiki ya maji ikiendelea kuadhimishwa , wananchi Mkoani Manyara wametakiwa…