Storm FM
Storm FM
4 December 2025, 5:19 am
Kila Jumatano ya kwanza ya mwezi, mamlaka ya huduma za nishati na maji nchini (EWURA) hutangaza bei kikomo za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa. Na: Ester Mabula Taarifa iliyotolewa Jumatano ya Disemba 03, 2025 nz Mamlaka ya…
26 November 2025, 14:00
Ufundi stadi una umuhimu mkubwa katika kusaidia kunguza changamoto ya ajira kwa watu wengi. Na Hobokela Lwinga Wahitimu wa vyuo vya ufundi nchini wametakiwa kutumia fani zao walizosomea kwa kujiajiri ili kujiinua kiuchumi na kuachana na malalamiko ya ukosefu wa…
19 October 2025, 11:53 pm
Mafunzo hayo ambayo yametolewa na taasisi ya TESIFA Tanzania kwa kushirikiana na Swisscontact chini ya shirika la maendeleo nchini Uswiss (SDC) Kupitia ubalozi wa Uswiss Tanzania yamelenga kuwawezesha vijana hao kujipatia ujuzi utakaowasaidia kujitegemea, kujisimamia kimaisha, na pia kuwa mfano…
6 October 2025, 16:47
Umakini wa Mwanafunzi wakati wa kufanya mtihani ndio sababu kubwa ya kufanya vizuri. Na Lukia Chasanika Wahitimu ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Izuo wameshauriwa kuwa makini katika vyumba vya mitihani ili kufanya vizuri katika mitihani yao. Ushauri…
October 4, 2025, 9:01 pm
Maadhimisho ya Wiki ya Elimu ya watu wazima na Elimu Nje ya Mfumo Rasmi yamefanyika leo, Jumamosi tarehe 04 Oktoba 2025, katika viwanja vya Shule ya Msingi Levolosi, Wilaya ya Arusha. Maadhimisho haya yamekusanya washiriki mbalimbali wakiwemo walimu, wanafunzi wa…
September 29, 2025, 5:40 pm
Wananchi wa Mitaa miwili ya Roman Katoliki (RC) na Mbeshere pamoja na viongozi wa Kata ya Oloirieni jijini Arusha, wamefanya kikao cha dharura kujadili tukio la hivi karibuni la maandamano yaliyofanywa na wananchi kuhusu tuhuma mbalimbali dhidi ya mwanamke mmoja…
27 September 2025, 7:50 pm
Na Wilson Makalla Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha amekabidhi magari matatu kwa Halmashauri za Manispaa ya Tabora, lgunga na Sikonge, hatua inayolenga kuongeza ufanisi wa viongozi katika kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Akizungumza katika hafla ya makabidhiano,…
September 5, 2025, 3:25 pm
Kufuatia kukwama kwa baadhi ya miradi yamaendeleo kwa muda mrefu katika kata ya Igurwa wilayani Karagwe mgombea udiwani kupitia chama cha ACT Wazalendo ameahaidi kukamilika kwa miradi hiyo kwa muda mfupi endapo atachaguliwa. Na Anold Deogratias Mgombea udiwani kata ya…
26 August 2025, 20:06
Kutokana na maendeleo ya sayansi na tekinolojia baadhi ya makundi ya vijana wamekuwa wakitumia maendeleo hayo kwa mlengo chanya na hasi. Na Hobokela Lwinga Askofu wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi, Robert Pangani, amewataka wanafunzi wahitimu Darasa…
August 13, 2025, 7:11 pm
Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imewasihi Wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kuzitunza vizuri fedha aina ya noti ili kutekeleza sheria za nchi. Meneja Msaidizi idara ya uchumi na takwimu…