Storm FM

maji

24 November 2025, 9:10 pm

Mitandao ya kijamii inavyogeuka jukwaa la kipato

Je, unatumia mitandao ya kijamii kwa burudani tu, au umetambua fursa ya soko iliyopo? Katika kipindi chetu cha KURUNZI MAALUM, tumechambua kwa kina namna ya kutumia ongezeko la watumiaji wa intaneti nchini kufanya biashara na kujiingizia kipato. Usikose: Kupata maana…

7 November 2025, 08:51

Serikali kujenga masoko madogo ya wachuuzi Kigoma

Baadhi ya vijiji yatakapojengwa masoko hayo ni Simbo wilayani Kigoma, Kazuramimba na Nguruka wilayani Uvinza na Rusesa, Kasangezi na Bugaga wilayani Kasulu. Na Emmanuel Matinde Serikali Mkoani Kigoma imeanza mpango wa ujenzi wa masoko madogo ya wachuuzi kwenye vituo vidogo…

4 November 2025, 9:19 pm

Jamila Borafya: Mwanamke jasiri anayeinua sauti za wenye Uulemavu

Si kila anayeshindwa anakata tamaa wengine hufanya kushindwa kuwa ngazi ya mafanikio.”Jifunze kutoka kwa safari ya Jamila, mwanamke shupavu aliyeamua kuandika ukurasa mpya wa uongozi unaojenga mshikamano na matumaini Na Ivan Mapunda. Katika medani ya siasa za Zanzibar, jina la…

20 October 2025, 11:50 am

Mradi wa maji miji 28 upo hatua za mwisho Geita

Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita ni sehemu ya mpango wa kitaifa unaotekelezwa katika mikoa kadhaa ikiwemo Geita Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa miji 28 wa Bilioni 124 kuhakikisha anakamilisha mradi…

14 October 2025, 08:04

Dkt.Mpango mgeni Rasmi kilele mbio za mwenge

kuelekea kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru na kumbukizi ya kifo cha baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere mwakamu wa rais mgeni rasmi mkoani Mbeya. Na Ezra Mwilwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango, ashiriki Ibada katika Kanisa Katoliki…