Storm FM
Storm FM
24 November 2025, 9:10 pm
Je, unatumia mitandao ya kijamii kwa burudani tu, au umetambua fursa ya soko iliyopo? Katika kipindi chetu cha KURUNZI MAALUM, tumechambua kwa kina namna ya kutumia ongezeko la watumiaji wa intaneti nchini kufanya biashara na kujiingizia kipato. Usikose: Kupata maana…
7 November 2025, 09:10
Mkuu wa Mkoa Kigoma Balozi Simon Sirro ametoa mwezi mmoja kwa uongozi wa Manispaa ya Kigoma ujiji kupitia kwa Mkuu wa Wilaya hiyo kuhakikisha huduma ya choo inapatikana katika soko la Nazareti Na Mwandishi wetu Wafanyabiashara katika soko la wakulima…
7 November 2025, 08:51
Baadhi ya vijiji yatakapojengwa masoko hayo ni Simbo wilayani Kigoma, Kazuramimba na Nguruka wilayani Uvinza na Rusesa, Kasangezi na Bugaga wilayani Kasulu. Na Emmanuel Matinde Serikali Mkoani Kigoma imeanza mpango wa ujenzi wa masoko madogo ya wachuuzi kwenye vituo vidogo…
4 November 2025, 9:19 pm
Si kila anayeshindwa anakata tamaa wengine hufanya kushindwa kuwa ngazi ya mafanikio.”Jifunze kutoka kwa safari ya Jamila, mwanamke shupavu aliyeamua kuandika ukurasa mpya wa uongozi unaojenga mshikamano na matumaini Na Ivan Mapunda. Katika medani ya siasa za Zanzibar, jina la…
21 October 2025, 22:55
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi kila baada ya miaka mitano linafanya mkutano mkuu. Na Hobokela Lwinga Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi mch.Robert Pangani amewataka wajumbe wa mkutano mkuu wa kanisa hilo” Sinodi”kujiepusha…
20 October 2025, 11:50 am
Mradi wa Maji wa Miji 28 Geita ni sehemu ya mpango wa kitaifa unaotekelezwa katika mikoa kadhaa ikiwemo Geita Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa maji wa miji 28 wa Bilioni 124 kuhakikisha anakamilisha mradi…
19 October 2025, 9:35 pm
Na Ivan Mapunda Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wagombea Urais wanawake wamejitokeza kwa wingi na kwa nafasi ya juu ya kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka…
17 October 2025, 10:57 pm
waendesha Bajaji wilaya ya Hai wametakiwa Kuzingatia Sheria za Barabarani na taratibu za usafirishaji ili waweze kufanya shughuli zao kwa weledi ndani na nje ya wilaya ya Hai,pia wameaswa kuwa mabalozi wa amani na usalama katika wilaya ya Hai. Na…
17 October 2025, 7:00 pm
Na Ivan Mapunda Kila safari kubwa huanza kwa hatua moja, na hatua ya Zena Ahmed Said zimemfanya kuwa nyota halisi inayong’aa katika utumishi wa umma. Hadithi yake ni ushuhuda wa uwezo wa uthabiti, uadilifu na ufuatiliaji usio na kikomo wa…
14 October 2025, 08:04
kuelekea kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru na kumbukizi ya kifo cha baba wa Taifa Mwl Julius Nyerere mwakamu wa rais mgeni rasmi mkoani Mbeya. Na Ezra Mwilwa Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango, ashiriki Ibada katika Kanisa Katoliki…