Sibuka FM

KERO

23 April 2024, 6:12 pm

Dc Maswa awashukia viongozi wazembe

Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…

4 April 2024, 3:02 pm

DC Maswa Atoa Siku 14 Watendaji Kukabidhiana Ofisi

Watendaji wote waliotajwa kula fedha za maendeleo zitokanazo na michango ya Wananchi ndani ya siku kumi na Nne warudishwe Ili kuja kujibu tuhuma na kufanya makabidhiano Mbele ya Serikali ya Kijiji. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani  Simiyu  Aswege Kaminyoge  ametoa siku…

3 April 2024, 10:20 am

DC KAMINYOGE ;  Wananchi  Jitokezeni   kwenye  Mikutano  ya  Hadhara

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhe,  Aswege  Enock  Kaminyoge  amewataka  Wananchi  wilaya  hapo  kujitokeza  kwa  Wingi  katika  Mikutano  ya   Hadhara  inayoitishwa  na  Viongozi  wao  wa  Vijiji  na  kata  ili  kutoa  kero  zao  na  changamoto  mbalimbali  zinazowakabiri. Mh  Kaminyoge …

13 March 2024, 11:35 am

DC  Maswa  aagiza viongozi, watendaji  kusikiliza kero za wananchi

Mkuu  wa  Wilaya ya  Maswa  mkoa  wa  Simiyu  Mh  Aswege  Kaminyoge   ametoa  maagizo   kwa  watendaji na  viongozi  wengine  kusikiliza  kero za  za  wananchi  na kuzitafutia  ufumbuzi na  siyo  kusubiri viongozi  wa  ngazi  za  juu kuja  kusikiliza  kero  ambazo  zingetatuliwa na  viongozi …

4 July 2023, 3:00 pm

Mwezi wa Afya na Lishe

Wazazi wameaswa kuwapeleka watoto wote kupata dawa za minyoo na matone ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe. Afisa lishe amesema hayo wakati akitoa elimu kwa Jamii katika mwezi wa Afya na lishe zoezi linalofanyika mara mbili kwa…

6 August 2022, 7:44 pm

DC MASWA AOKOA ZAIDI YA LITA 30,000 ZA MAFUTA YA DIESELI ZILIZOTAKA …

Mkuu wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Aswege  Kaminyoge  ameliagiza  Jeshi  la Polisi  kuwasaka  na  kuwakamata  watu  wote  waliofanya  hujuma  za  kutaka  kuiba  Mafuta  aina  ya  Dieseli  katika  kituo  cha  Malampaka  ambapo  Ujenzi  wa  Reli  ya  Kisasa   SGR  Unaendelea. Mh  …

19 May 2022, 5:24 pm

RC KAFULILA AAGIZA KUONDOLEWA KWA MENEJA WA WAKALA WA MAJI NA USAFI…

Mkuu  wa  Mkoa  wa  Simiyu  Mh  David  Zacharia  Kafulila  ameagiza  kuondolewa  Meneja  wa  Wakala wa  Maji   na  Usafi  wa  Mazingira  vijijini   wilayani   Maswa   Lucas  Madaha  kwa  Kushindwa   kusimamia  miradi  ya   Maji  ambayo  imekuwa  ikitolewa  na  Serikali.. Mh  kafulila  ametoa   maagizo …