KERO
23 April 2024, 6:12 pm
Dc Maswa awashukia viongozi wazembe
Wananchi wakeleka na utendaji kazi wa wenyeviti wa vitongoji na vijiji kushindwa kuwasikiliza kero zinawakabili ambazo zipo kwenye uwezo wa viongozi hao hivyo kuondoa uaminifu kwao Na,Paul Yohana Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge awewataka wenyeviti wa…
4 April 2024, 3:02 pm
DC Maswa Atoa Siku 14 Watendaji Kukabidhiana Ofisi
Watendaji wote waliotajwa kula fedha za maendeleo zitokanazo na michango ya Wananchi ndani ya siku kumi na Nne warudishwe Ili kuja kujibu tuhuma na kufanya makabidhiano Mbele ya Serikali ya Kijiji. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ametoa siku…
3 April 2024, 10:20 am
DC KAMINYOGE ; Wananchi Jitokezeni kwenye Mikutano ya Hadhara
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe, Aswege Enock Kaminyoge amewataka Wananchi wilaya hapo kujitokeza kwa Wingi katika Mikutano ya Hadhara inayoitishwa na Viongozi wao wa Vijiji na kata ili kutoa kero zao na changamoto mbalimbali zinazowakabiri. Mh Kaminyoge …
13 March 2024, 11:35 am
DC Maswa aagiza viongozi, watendaji kusikiliza kero za wananchi
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mh Aswege Kaminyoge ametoa maagizo kwa watendaji na viongozi wengine kusikiliza kero za za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi na siyo kusubiri viongozi wa ngazi za juu kuja kusikiliza kero ambazo zingetatuliwa na viongozi …
4 July 2023, 3:00 pm
Mwezi wa Afya na Lishe
Wazazi wameaswa kuwapeleka watoto wote kupata dawa za minyoo na matone ili kuwakinga na magonjwa yanayotokana na upungufu wa lishe. Afisa lishe amesema hayo wakati akitoa elimu kwa Jamii katika mwezi wa Afya na lishe zoezi linalofanyika mara mbili kwa…
6 August 2022, 7:44 pm
DC MASWA AOKOA ZAIDI YA LITA 30,000 ZA MAFUTA YA DIESELI ZILIZOTAKA …
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata watu wote waliofanya hujuma za kutaka kuiba Mafuta aina ya Dieseli katika kituo cha Malampaka ambapo Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR Unaendelea. Mh …
19 May 2022, 5:24 pm
RC KAFULILA AAGIZA KUONDOLEWA KWA MENEJA WA WAKALA WA MAJI NA USAFI…
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mh David Zacharia Kafulila ameagiza kuondolewa Meneja wa Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini wilayani Maswa Lucas Madaha kwa Kushindwa kusimamia miradi ya Maji ambayo imekuwa ikitolewa na Serikali.. Mh kafulila ametoa maagizo …