Savvy FM

Recent posts

July 23, 2025, 11:46 pm

Wasimamizi wa uchaguzi watakiwa kufuata taratibu, sheria

Watendaji wa uchaguzi katika mikoa ya Arusha na Manyara wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia taratibu, kanuni na sheria walizofundishwa, kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Na Jenipha Lazaro Akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi…

July 22, 2025, 2:15 pm

Washiriki 86 wapatiwa mafunzo ya uchaguzi Arusha

Washiriki 86 kutoka mikoa ya Arusha na Manyara  wamepatiwa mafunzo ya uchaguzi yakilenga kuwaanda kusimamia mchakato wa uchaguzi kwa weledi. Na Jenipha Lazaro Mjumbe wa tume ya uchaguzi nchini Zakia Abubakar amesema masharti ya ibara ya 74 ya ibara  ndogo…

July 18, 2025, 2:47 pm

Wakulima Kivul walia na miundombinu

‎Wakulima wa Kijiji cha Kivul, kitongoji cha Olmatejo jijini Arusha, wameiomba serikali kuwasaidia kuboresha miundombinu ya kilimo hasa ya maji ya umwagiliaji ambayo imekuwa changamoto kubwa kutokana na mvua. Na Jenipha Lazaro ‎Wakizungumza wakati wa zoezi la kurekebisha mifereji na…

July 12, 2025, 10:57 am

Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za uongozi

Wanawake nchini wametakiwa kuacha hofu na kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Urais, ubunge na udiwani. Na Mariam Mallya Kiongozi wa Act Wazalendo ambaye pia ametia nia ya kugombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya chama hicho…

July 3, 2025, 8:08 pm

Watoto wenye ulemavu wa akili, usonji wafikiwa

Wazazi washauriwa kutokuwaficha watoto wenye ulemavu na badala yake wawape nafasi ya kupata elimu kwani wanahaki kama watoto wengine. Na Mariam Mallya Mwalimu wa Shule ya Msingi Uhuru iliyopo mkoani Arusha, Glory Urio akizungumza na Savvy Fm Mwalimu Urio amasema…

June 30, 2025, 11:57 pm

Nyuki kutumika kufukuza tembo waharibifu

Serikali kutumia mizinga ya nyuki kukabiliana na tembo wavamizi na waharibifu wa mazao. Na Gasper Sambweti Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania TAWIRI iliyopo mkoani Arusha imeingia makubaliano ya miaka mitano na taasisi isiyo ya kiserikali ya Tembo Pilipili kwa…

June 19, 2025, 2:38 pm

Jamii za kifugaji zatakiwa kuchangamkia fursa ya elimu bure

“Wafugaji tujiwekeze kwenye elimu wenzetu wanaenda juu sisi tunarudi chini lazima tusome ufugaji unahitaji elimu” Na Mariam Mallya Diwani wa kata ya Endamily wilayani Mbulu katika mkoa wa Manyara na Mwenyekiti wa Bajuta International (T) Ltd, Gesso Bajuta amewataka vijana…

June 18, 2025, 5:25 pm

Soko la kisasa Arusha tumaini jipya kwa wafanyabiashara

“Mipango ya ujenzi na miradi inayoendelea hii Makonda hakujanayo ni miradi ilikuwepo ili soko lilipaswa kujengwa na pesa ilitolewa toka 2021 shilingi millioni 500 pesa zimekaa kwenye akaunti”. Na Mariam Mallya Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameongoza mamia…

June 10, 2025, 6:46 pm

Walimu wapewa rai kufundisha kwa weledi

Walimu wote nchini watakiwa kufundisha kwa weledi nakujua kuwa watanzania wana matarajio makubwa kutoka kwako katika kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo katika sekta ya elimu Na Mariam Mallya Naibu Waziri wa Tamisemi anayeshughulikia elimu, Zainab Katimba amesema hayo wakati akizindua…

June 7, 2025, 7:00 pm

‘DC Monduli awatelekeza wananchi wake’

Wananchi wa kijiji cha Mti mmoja wamepoteza matumaini yao ya utatuzi wa mgogoro wa ardhi baina ya mtu binafsi na eneo la malisho maarufu Sepeko baada ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli kutoonekana katika eneo la mgogoro kama alivyoahidi. Na…

Savvy FM


Savvy FM Proposal Summary

  1. Executive Summary
    Savvy FM is a privately owned radio station broadcasting from Arusha, Tanzania, with reach across Manyara,Kilimanjaro, parts of Dodoma, and Tanga.
    It primarily focuses on empowering women and youth through informative and inspiring content.
  2. Background & Profile
    Founded by three professional women from legal, marketing, and journalism backgrounds. Established in 2022 with a commercial broadcasting license from TCRA. Offers 24/7 programming tailored to local community needs. Operates with innovation, diversity, and inclusion at its core.
  3. Mission & Vision
    Mission: To empower and inspire women and youth through transformative and educational content.
    Vision: To become a financially strong, growth-oriented media platform that uplifts communities and drives change.
  4. Reach & Coverage
    Estimated listener base: 4 million+
    Covers: Arusha, Manyara, Kilimanjaro, and parts of Dodoma and Tanga.
    Expanding digital reach to global audiences via online streaming.
  5. Target Audience
    Broad age group: 14 to 70 years
    Includes youth, women, farmers, SMEs, and the general public.
    Special attention to rural listeners and marginalized groups.
  6. Programming & Content
    Includes segments like:
  • Anga La Asubuhi (Morning Drive)
  • Savvy Spoti (Sports)
  • Sauti Yako (Interactive listener shows)
    Savvy FM Proposal Summary
  • Savvy Masala (Entertainment)
    Also features educational programs, community shows, and live interviews.

Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania