Savvy FM
Savvy FM
July 23, 2025, 11:46 pm
Watendaji wa uchaguzi katika mikoa ya Arusha na Manyara wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia taratibu, kanuni na sheria walizofundishwa, kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Na Jenipha Lazaro Akizungumza katika hafla ya kufunga mafunzo ya wasimamizi wa uchaguzi…
July 22, 2025, 2:15 pm
Washiriki 86 kutoka mikoa ya Arusha na Manyara wamepatiwa mafunzo ya uchaguzi yakilenga kuwaanda kusimamia mchakato wa uchaguzi kwa weledi. Na Jenipha Lazaro Mjumbe wa tume ya uchaguzi nchini Zakia Abubakar amesema masharti ya ibara ya 74 ya ibara ndogo…
July 18, 2025, 2:47 pm
Wakulima wa Kijiji cha Kivul, kitongoji cha Olmatejo jijini Arusha, wameiomba serikali kuwasaidia kuboresha miundombinu ya kilimo hasa ya maji ya umwagiliaji ambayo imekuwa changamoto kubwa kutokana na mvua. Na Jenipha Lazaro Wakizungumza wakati wa zoezi la kurekebisha mifereji na…
July 12, 2025, 10:57 am
Wanawake nchini wametakiwa kuacha hofu na kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Urais, ubunge na udiwani. Na Mariam Mallya Kiongozi wa Act Wazalendo ambaye pia ametia nia ya kugombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya chama hicho…
July 3, 2025, 8:08 pm
Wazazi washauriwa kutokuwaficha watoto wenye ulemavu na badala yake wawape nafasi ya kupata elimu kwani wanahaki kama watoto wengine. Na Mariam Mallya Mwalimu wa Shule ya Msingi Uhuru iliyopo mkoani Arusha, Glory Urio akizungumza na Savvy Fm Mwalimu Urio amasema…
June 30, 2025, 11:57 pm
Serikali kutumia mizinga ya nyuki kukabiliana na tembo wavamizi na waharibifu wa mazao. Na Gasper Sambweti Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania TAWIRI iliyopo mkoani Arusha imeingia makubaliano ya miaka mitano na taasisi isiyo ya kiserikali ya Tembo Pilipili kwa…
June 19, 2025, 2:38 pm
“Wafugaji tujiwekeze kwenye elimu wenzetu wanaenda juu sisi tunarudi chini lazima tusome ufugaji unahitaji elimu” Na Mariam Mallya Diwani wa kata ya Endamily wilayani Mbulu katika mkoa wa Manyara na Mwenyekiti wa Bajuta International (T) Ltd, Gesso Bajuta amewataka vijana…
June 18, 2025, 5:25 pm
“Mipango ya ujenzi na miradi inayoendelea hii Makonda hakujanayo ni miradi ilikuwepo ili soko lilipaswa kujengwa na pesa ilitolewa toka 2021 shilingi millioni 500 pesa zimekaa kwenye akaunti”. Na Mariam Mallya Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameongoza mamia…
June 10, 2025, 6:46 pm
Walimu wote nchini watakiwa kufundisha kwa weledi nakujua kuwa watanzania wana matarajio makubwa kutoka kwako katika kuleta mapinduzi makubwa ya kimaendeleo katika sekta ya elimu Na Mariam Mallya Naibu Waziri wa Tamisemi anayeshughulikia elimu, Zainab Katimba amesema hayo wakati akizindua…
June 7, 2025, 7:00 pm
Wananchi wa kijiji cha Mti mmoja wamepoteza matumaini yao ya utatuzi wa mgogoro wa ardhi baina ya mtu binafsi na eneo la malisho maarufu Sepeko baada ya Mkuu wa Wilaya ya Monduli kutoonekana katika eneo la mgogoro kama alivyoahidi. Na…
Savvy FM Proposal Summary
Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania