Savvy FM

Recent posts

18/09/2025, 22:26

Hospitali ya Ngarenaro kutoa rasmi huduma za upasuaji kwa wajawazito

Baada ya changamoto ya muda mrefu ya kutokuwepo kwa huduma ya upasuaji kwa wajawazito, Kituo cha Afya cha Ngarenaro mkoani Arusha kimezindua rasmi huduma hiyo muhimu, hatua inayolenga kuokoa maisha ya mama na mtoto wakati wa kujifungua.‎ Na Jenipha Lazaro…

03/09/2025, 14:47

Ndege nyuki kuleta mapinduzi sekta ya kilimo nchini

Kampuni ya Mati Super Brands Ltd kupitia kampuni tanzu Mati Technologies imekuja na teknolojia ya kisasa ya Ndege nyuki (drone) kwa ajili ya sekta ya kilimo na huduma nyingine za kijamii ili kuongeza ufanisi. Na Mussa Kinkaya Mkurugenzi Mtendaji wa…

02/09/2025, 16:48

Mtendaji atuhumiwa kuhamisha fedha za miradi ya maendeleo

Mtendaji wa Kata ya Sakina, mkoani Arusha, anatuhumiwa kuhamisha baadhi ya fedha za miradi ya maendeleo na kuziweka kwenye akaunti yake binafsi, hali iliyosababisha kusimama kwa ujenzi wa kivuko muhimu kwa wakazi wa eneo hilo. Na Jenipha Lazaro Tuhuma hizo…

01/09/2025, 15:54

Wananchi Osunyai walia na taka kutupwa kwenye mto Burka

Wananchi waishio katika mtaa wa Kiriki A, kata ya Olsunyai, mtaa wa JR, jijini Arusha, wameiomba serikali na mamlaka husika kuchukua hatua za haraka kudhibiti utupaji wa taka hovyo kwenye mto Burka, wakieleza kuwa hali hiyo ni hatarishi kwa afya…

01/09/2025, 15:48

Sitokamilika kama sitowahusisha viongozi wa dini-RC Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Amos Makalla, ameanza rasmi ziara yake ya kikazi mkoani hapa kwa kutembelea taasisi mbalimbali za kidini, akianza na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) ambapo ametoa wito kwa viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na…

28/08/2025, 17:39

Jamii zatakiwa kuthamini haki za Punda kama wanyama kazi

Jamii za kifugaji zimetakiwa kuwathamini wanyama kazi hususani mnyama punda, ikiwa ni pamoja na kuondokana na dhana potofu zinazowanyima haki zao kama vile uchinjaji holela, kuwabebesha mizigo kupita kiasi, pamoja na kutowapatia huduma za afya na ustawi wa jumla. Na…

Savvy FM


Savvy FM Proposal Summary

  1. Executive Summary
    Savvy FM is a privately owned radio station broadcasting from Arusha, Tanzania, with reach across Manyara,Kilimanjaro, parts of Dodoma, and Tanga.
    It primarily focuses on empowering women and youth through informative and inspiring content.
  2. Background & Profile
    Founded by three professional women from legal, marketing, and journalism backgrounds. Established in 2022 with a commercial broadcasting license from TCRA. Offers 24/7 programming tailored to local community needs. Operates with innovation, diversity, and inclusion at its core.
  3. Mission & Vision
    Mission: To empower and inspire women and youth through transformative and educational content.
    Vision: To become a financially strong, growth-oriented media platform that uplifts communities and drives change.
  4. Reach & Coverage
    Estimated listener base: 4 million+
    Covers: Arusha, Manyara, Kilimanjaro, and parts of Dodoma and Tanga.
    Expanding digital reach to global audiences via online streaming.
  5. Target Audience
    Broad age group: 14 to 70 years
    Includes youth, women, farmers, SMEs, and the general public.
    Special attention to rural listeners and marginalized groups.
  6. Programming & Content
    Includes segments like:
  • Anga La Asubuhi (Morning Drive)
  • Savvy Spoti (Sports)
  • Sauti Yako (Interactive listener shows)
    Savvy FM Proposal Summary
  • Savvy Masala (Entertainment)
    Also features educational programs, community shows, and live interviews.

Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania