Savvy FM
Savvy FM
September 1, 2025, 3:48 pm
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Amos Makalla, ameanza rasmi ziara yake ya kikazi mkoani hapa kwa kutembelea taasisi mbalimbali za kidini, akianza na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) ambapo ametoa wito kwa viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na…
August 28, 2025, 5:39 pm
Jamii za kifugaji zimetakiwa kuwathamini wanyama kazi hususani mnyama punda, ikiwa ni pamoja na kuondokana na dhana potofu zinazowanyima haki zao kama vile uchinjaji holela, kuwabebesha mizigo kupita kiasi, pamoja na kutowapatia huduma za afya na ustawi wa jumla. Na…
August 22, 2025, 2:04 pm
Familia moja iliyopo barabara ya Losaru mtaa wa Bondeni, Kijenge Kusini jijini Arusha imelalamikia utupaji wa taka hovyo na utiririshaji wa maji taka unaofanywa na baadhi ya wapangaji waliopo eneo hilo, hali inayohatarisha afya za wakazi pamoja na usalama wa…
August 21, 2025, 11:15 pm
Zaidi ya madawati 90 yamekabidhiwa katika shule ya sekondari ya Embris, iliyopo Kijiji cha Landanai, Kata ya Naberera, Wilaya ya Simanjiro, mkoani Manyara. Madawati hayo yametolewa na shirika lisilo la kiserikali la World Vision kwa lengo la kuiunga mkono serikali…
August 20, 2025, 12:38 pm
Mamia ya wananchi kutoka kata za Sakina na Ungalimited jijini Arusha, leo wamejitokeza kwa wingi kuwasindikiza madiwani wao kuchukua fomu za kugombea nafasi ya udiwani kupitia chama cha Mapinduzi, kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na Jenipha…
August 18, 2025, 8:53 pm
Maafisa usafirishaji maarufu waendesha bodaboda kutoka kijiwe cha Mnazi Mmoja, mtaa wa Mjini Kati jijini Arusha, wameiomba serikali na mamlaka husika kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto ya shimo linalotuamisha maji machafu na taka, ambalo limekuwa kero kubwa kwao na…
August 13, 2025, 3:18 pm
Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, imeamua kutoa msamaha wa ushuru kwa malighafi zinazoagizwa kutoka nje ya nchi, ikiwa ni hatua ya kuimarisha uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi na kuweka usawa wa bei sokoni. Na Jenipha Lazaro Meneja…
August 9, 2025, 10:03 am
Jamii imetakiwa kuhakikisha inakata bima kwa shughuli mbalimbali za kila siku, ili kujilinda dhidi ya majanga yasiyotegemewa yanayoweza kuathiri maisha yao ya kijamii na kiuchumi. Na Jenipha Lazaro Wito huo umetolewa na Meneja wa Kanda ya Kaskazini kutoka Mamlaka ya…
July 31, 2025, 2:54 pm
Kutokana na ongezeko kubwa la vituo vya kulelea watoto wadogo mchana yaani (day care) katika maeneo mbalimbali ya jiji la Arusha huku baadhi ya vituo vingi vikiwa havijasajiliwa nakupelekea serikali chini ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wanawake na…
July 29, 2025, 7:16 pm
Kuelekea maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane), Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Kenani Kihongosi, amewaalika wananchi wote wa mkoa huu pamoja na mikoa jirani kushiriki katika maonesho ya teknolojia ya nishati safi. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na waandishi wa…
Savvy FM Proposal Summary
Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania