Savvy FM

Recent posts

September 1, 2025, 3:48 pm

Sitokamilika kama sitowahusisha viongozi wa dini-RC Makalla

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Amos Makalla, ameanza rasmi ziara yake ya kikazi mkoani hapa kwa kutembelea taasisi mbalimbali za kidini, akianza na Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) ambapo ametoa wito kwa viongozi wa dini kuendelea kushirikiana na…

August 28, 2025, 5:39 pm

Jamii zatakiwa kuthamini haki za Punda kama wanyama kazi

Jamii za kifugaji zimetakiwa kuwathamini wanyama kazi hususani mnyama punda, ikiwa ni pamoja na kuondokana na dhana potofu zinazowanyima haki zao kama vile uchinjaji holela, kuwabebesha mizigo kupita kiasi, pamoja na kutowapatia huduma za afya na ustawi wa jumla. Na…

August 20, 2025, 12:38 pm

Wananchi waonesha mshikamano, uadilifu kwa wateule wa udiwani jijini Arusha

Mamia ya wananchi kutoka kata za Sakina na Ungalimited jijini Arusha, leo wamejitokeza kwa wingi kuwasindikiza madiwani wao kuchukua fomu za kugombea nafasi ya udiwani kupitia chama cha Mapinduzi, kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Na Jenipha…

August 18, 2025, 8:53 pm

Shimo la maji taka linavyokwamisha biashara ya maafisa usafirishaji Arusha

Maafisa usafirishaji maarufu waendesha bodaboda kutoka kijiwe cha Mnazi Mmoja, mtaa wa Mjini Kati jijini Arusha, wameiomba serikali na mamlaka husika kuchukua hatua za haraka kutatua changamoto ya shimo linalotuamisha maji machafu na taka, ambalo limekuwa kero kubwa kwao na…

August 13, 2025, 3:18 pm

Serikali yatoa msamaha ushuru wa forodha kwa malighafi

‎Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania, TRA, imeamua kutoa msamaha wa ushuru kwa malighafi zinazoagizwa kutoka nje ya nchi, ikiwa ni hatua ya kuimarisha uzalishaji wa bidhaa ndani ya nchi na kuweka usawa wa bei sokoni. Na Jenipha Lazaro Meneja…

August 9, 2025, 10:03 am

Wananchi watakiwa kukata bima kujilinda na majanga

Jamii imetakiwa kuhakikisha inakata bima kwa shughuli mbalimbali za kila siku, ili kujilinda dhidi ya majanga yasiyotegemewa yanayoweza kuathiri maisha yao ya kijamii na kiuchumi. Na Jenipha Lazaro Wito huo umetolewa na Meneja wa Kanda ya Kaskazini kutoka Mamlaka ya…

July 31, 2025, 2:54 pm

Kliniki ya usajili wa vituo vya watoto yafanyika Arusha

‎Kutokana na ongezeko kubwa la vituo vya kulelea watoto wadogo mchana yaani (day care) katika maeneo mbalimbali ya jiji la Arusha huku baadhi ya vituo vingi vikiwa havijasajiliwa nakupelekea serikali chini ya wizara ya maendeleo ya jamii jinsia ,wanawake na…

July 29, 2025, 7:16 pm

Kanda ya Kaskazini waalikwa maonesho ya nishati safi nanenane

Kuelekea maadhimisho ya Sikukuu ya Wakulima (Nanenane), Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Kenani Kihongosi, amewaalika wananchi wote wa mkoa huu pamoja na mikoa jirani kushiriki katika maonesho ya teknolojia ya nishati safi. Na Jenipha Lazaro Akizungumza na waandishi wa…

Savvy FM


Savvy FM Proposal Summary

  1. Executive Summary
    Savvy FM is a privately owned radio station broadcasting from Arusha, Tanzania, with reach across Manyara,Kilimanjaro, parts of Dodoma, and Tanga.
    It primarily focuses on empowering women and youth through informative and inspiring content.
  2. Background & Profile
    Founded by three professional women from legal, marketing, and journalism backgrounds. Established in 2022 with a commercial broadcasting license from TCRA. Offers 24/7 programming tailored to local community needs. Operates with innovation, diversity, and inclusion at its core.
  3. Mission & Vision
    Mission: To empower and inspire women and youth through transformative and educational content.
    Vision: To become a financially strong, growth-oriented media platform that uplifts communities and drives change.
  4. Reach & Coverage
    Estimated listener base: 4 million+
    Covers: Arusha, Manyara, Kilimanjaro, and parts of Dodoma and Tanga.
    Expanding digital reach to global audiences via online streaming.
  5. Target Audience
    Broad age group: 14 to 70 years
    Includes youth, women, farmers, SMEs, and the general public.
    Special attention to rural listeners and marginalized groups.
  6. Programming & Content
    Includes segments like:
  • Anga La Asubuhi (Morning Drive)
  • Savvy Spoti (Sports)
  • Sauti Yako (Interactive listener shows)
    Savvy FM Proposal Summary
  • Savvy Masala (Entertainment)
    Also features educational programs, community shows, and live interviews.

Future Goals
Expand digital footprint internationally.
Maintain financial sustainability through ethical business practices.
Continue to innovate in programming and community service.
Contact Info
Phone: +255 787877778
Email: info@savvygroup.co.tz
Web: www.savvymediagroup.co.tz
Savvy FM Proposal Summary
Address: Plot 455, Block ‘C1’, Umoja Road, Njiro, Arusha, Tanzania