Radio Kwizera
97.7 MHz
Ngara, Kagera TZ
+255 743 872 983 | +255 692 573 615
online.radiokwizera@gmail.com
https://radiokwizera.co.tz/
97.7 MHz
Ngara, Kagera TZ
+255 743 872 983 | +255 692 573 615
online.radiokwizera@gmail.com
https://radiokwizera.co.tz/
Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…
August 23, 2025, 3:42 pm
Katika ziara ya kusikiliza na kutatua kero DC Nkinda alipokea malalamiko kutoka kwa mwananchi Emanuel Maduhu ambaye anadai aliuziwa kiwanja na serikali ya mtaa huo ambacho kilikuwa kimeuzwa awali. Na Samuel Samsoni- Kahama Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga…
August 23, 2025, 3:17 pm
DC Bulimba amewapongeza kwa kuhitimu kwa nidhamu, umakini na utayari, akiwataka wakawe mfano bora kwa jamii na kutumia mafunzo waliyopata kwa kuhudumia wananchi na kulinda usalama wa jamii. Na William Mpanju- Biharamulo, Kagera Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, SACP Advera…
August 23, 2025, 1:39 pm
Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…
August 22, 2025, 3:56 pm
Kwa kipindi cha miaka minne wasichana hao wamesomeshwa bure na Serikali kupitia mpango wa kuboresha elimu ya Sekondari kwa njia mbadala (SEQUIP-AEP). Na Shafiru Yusuph- Muleba, Kagera Wasichana 264 waliokatizwa na masomo ya Sekondari kwa sababu mbalimbali zikiwemo ujauzito wamerudishwa…
August 4, 2025, 8:08 pm
Raia hao waliokamatwa ni kutoka mataifa matano ambayo ni Burundi, DR Congo, Rwanda, Uganda na Tanzania. Na Naomi Milton- Kigoma Takribani wahamiaji haramu 793 wamekamatwa na Idara ya Uhamiaji mkoani Kigoma kwa kipindi cha siku 12 katika doria na misako…
August 4, 2025, 6:54 pm
Wasimamizi wanatakiwa kufuata sheria, taratibu na miongozo ya Tume Huru ya Uchaguzi kwa kushirikisha vyama vyote vya siasa vyenye usajili kamili katika hatua zote kuepuka migogoro Na Shafiru Athuman- Muleba, Kagera Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya Kata Wilayani Muleba Mkoani…
July 8, 2025, 8:19 pm
Kaimu Mkurugenzi idara ya ajira na ukuzaji ujuzi kutoka ofisi ya waziri mkuu kazi, vijana, ajira na watu wenye ulemavu Bi. Elana Nchimbi amesema hayo akiwa mkoani Geita katika hitimisho la mafunzo kwa wachimbaji wa madini mkoa wa Geita. Na…
July 8, 2025, 7:54 pm
Balozi Sirro amezitaka halmashauri za wilaya ya Kasulu kufanya kazi kwa ushirikiano kubuni vyanzo vya utalii ambavyo vitasaidia kuongeza fedha za kigeni. Na Michael Mpunije- Kasulu, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amewataka watumishi wa Umma wilayani…
July 7, 2025, 8:53 pm
Vikundi 6 ni vya wanawake ambavyo vimekopeshwa shilingi milioni 159, vikundi vya Vijana 5 vimekopeshwa shilingi milioni 132.5 huku kikundi kimoja cha wanawake ambacho kimekopeshwa jumla ya shilingi milioni 50 kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa zinazotokana na maziwa. Na…
June 28, 2025, 12:35 pm
Amewataka vijana, wanawake na makundi mengine kuendelea kuonyesha uwezo wao serikalini hasa baada ya kupata nafasi za juu za maamuzi. Na Samwel Masunzu- Geita Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Kata ya Nyachiluluma wilayani Geita mkoani Geita Bi. Esther James ametangaza…
Radio Kwizera is a regional community radio established in 1995 by the Jesuit Refugee Services (JRS) in collaboration with the United Nations High Commission for Refugees (UNHCR) and a catholic diocese of Rulenge-Ngara. It was created as a podium for the exchange of the information among the refugees, the organizations and Governments working with them. Radio Kwizera was established under the vision of Peace and Development (To lead a peaceful and prosperous life) and the mission to seek and restore hope and socio- conomic prosperity in northwestern Tanzania and its environs that host refugees from Great Lakes Region of Africa. Through peace, reconciliation, education, and development programs, Radio Kwizera will empower its audience with values, knowledge, and skills they need to lead a peaceful nd prosperous life.