Pangani FM

KIFO

Mzinga wa Nyuki

25 October 2022, 12:18 pm

Wagawa Mizinga 40 ya Nyuki Pangani

Taasisi ya Foundation for Trees Tanzania iliyopo Jijini Tanga  imetoa Mizinga 40 ya Nyuki kwa Kikundi cha Ufugaji Nyuki cha MSETO kilichopo Wilayani Pangani ili kuwezesha wananchi hao kufanya shughuli za ufugaji na kuachana na uharibifu wa Mazingira. Akizungumza wakati…

19 October 2022, 2:50 pm

Mpango wa Ofisi ya Umwagiliaji Pangani.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekusudia kuanzisha Ofisi ya umwagiliaji wilayani Pangani ili kusaidia sekta ya kilimo wilayani humo ambayo imeonekana kuathiriwa na mabadiliko ya tabia nchi huku wahanga wakubwa wakitajwa kuwa ni wakulima wadogo   Katika mahojiano…