Pangani FM

HALI YA HEWA

27 April 2024, 1:09 pm

UZIKWASA kuboresha usikivu Pangani FM

UZIKWASA imeanza kufanya maboresho ya usikivu wa redio Pangani FM kufuatia athari za mvua zinazoendelea kunyesha. Na Hamisi Makungu Mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Tanga zimechangia kuathiri mitambo ya Kituo cha Radio Pangani FM iliyopo Mkanyageni…

10 May 2021, 7:14 pm

ANGALIZO la upepo mkali maeneo ya ukanda wa Pwani

Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwasaa na mawimbi makubwa yanayofikia mita 2.0limetolewa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwaniya bahari ya Hindi (mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga,Dar es Salaam…

23 April 2021, 8:34 pm

Je wewe ni Mkulima? hii ni muhimu sana kwako.

Dalili za wazi na athari za kiuchumi na kijamii zitokanazo na mabadiliko ya tabianchi zinazoongezeka kote duniani , huku sekta ya kilimo nayo ikionekana kuelemewa kwa kuwa   misimu ya mvua haitabiriki na nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania zimekuwa zikitegemea kilimo cha…

6 March 2021, 9:26 pm

Unafanya Kilimo?Unategemea Kilimo? Sikiliza hapa.

Upo umuhimu mkubwa wa kufuatilia taarifa za hali ya hewa  kwa ajili ya shughuli za Kilimo,Uvuvi,Ufugaji na kwa maisha ya kila siku. Taarifa hizi hutolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini TMA kupitia mbalimbali vya Habari ikiwemo Pangani FM…

5 March 2021, 9:38 pm

Angalizo la Upepo Mkali lawafikia wavuvi Pangani.

Kufuatia Mamlaka ya hali ya hewa nchini Tanzania TMA hapo jana kutoa angalizo la uwepo wa vipindi vya upepo mkali unaofikia kilimita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia ukubwa wa mita 200 kuanzia tarehe 4 hadi 8 mwezi wa…