Pambazuko FM Radio

Afya

11 December 2025, 6:31 pm

Wito watolewa kuhifadhi mazingira

Na Mary Julius. Ikiwa leo dunia inaadhimisha Siku ya Milima Duniani, jamii ameihimiza kutambua wajibu wa kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi. Katika maadhimisho hayo, Zenji fm imezungumza na Afisa Utalii Hifadhi ya Taifa…

18 November 2025, 7:14 pm

Maagizo ya Prof. Nagu Mlimba

Picha ya jengo la afya linalojengwa Hospitali ya Halmashauri ya Mlimba. Picha na Kuruthum Mkata Nimeridhishwa na jitihada mnazofanya katika kuboresha huduma za afya; miradi inaendelea kwa kasi na kwa ubora unaotakiwa,” alisema Profesa Tumain Nagu.Naibu katibu mkuu Wizara ya…

10 November 2025, 7:42 pm

Miaka 15 ya SFUCHAS Wafanya upimaji bure

Huduma hizi kiafya zmbazo zimetolewa ni sehemu ya maandalizi kuelekea maadhimisho ya miaka 15 ya kuanzishwa kwa Chuo cha SFUCHAS, kinachoendelea kuwa nguzo muhimu katika kutoa elimu na huduma bora za afya nchini Na Katalina Liombechi Kuelekea kumbukizi ya kuanzishwa…

27 October 2025, 12:24 pm

Msaidie mtu mwenye ulemavu siku ya uchaguzi

Ni wanachama wa umja wa watu wenye ulemavu Wilaya ya kaskazini “A” Unguja wakipatiwa mafunzo ya elimu ya mpiga kura Mkwajuni Wilaya ya kaskazini A: “Jamii ijitokeze kuwasaidia watu wenye ulemavu kwa kuwafikisha kwenye vituo vya kupigia kura ili wa…

25 October 2025, 1:45 pm

Tukio la mauaji hifadhi ya iluma

Mfugaji mmoja, Mahela Kahamba Mwanzalima (40), amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na walinzi wa hifadhi ya wanyamapori ya Iluma, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro. Tukio hilo limetokea wakati marehemu na wenzake walipokuwa wakijaribu kuchukua mifugo yao iliyokuwa imekamatwa kwa kuchungia…

20 October 2025, 12:19 pm

Mahujaji watarajiwa watakiwa kuisoma ibada ya hijja

Hujajji mwenye kutekeleza nguzo zote za hija kwa ukamilifu wake, hupandishwa daraja na Mwenyezi Mungu, ya kuzibali ibada zake pamoja na kumulipa pepo siku ya hesabu Na Juma Haji Wasilamu wenye nia ya kwenda kuhijji Makka, Saudi Arabia mwaka 1448…

3 October 2025, 9:56 am

Wazee Ifakara wanufaika na bima ya afya

Wazee 300 na wajane 334 wa Ifakara wamepatiwa kadi za bima ya afya ya CHF ili kuboresha huduma za afya. Mkuu wa wilaya ameagiza maboresho ya huduma kwa wazee na kuwataka wawezeshwe mikopo ya asilimia 10. Na; Isidory Mtunda Wazee…