Orkonerei FM

Maji

2 May 2024, 8:08 am

Wazee ni muhimu katika miradi ya Maji.

Na Evander Barnaba. Wazee wamekuwa ni watu muuhimu mno katika maamuzi mbalimbali kwenye jamii,na hii ni zaidi kwa jamii za kifugaji haswa Wamasai iwe ni kwenye maamuzi ngazi ya Familia,Kijiji na hata jamii kwa ujumla. Katika makala fupi hii ya…

20 March 2024, 6:04 pm

Wanajamii watakiwa kutunza miundombinu ya maji.

Na Joyce Elius. Wakaazi wa Kijiji cha Terrat wilayani simanjiro wametakiwa kutunza vyanzo vya maji pamoja na miundombinu ya maji ili iwe endelevu na kuendelea kutumiaka kwa vizazi vijavyo. Wito huo umetolewa siku ya leo kijijini hapo katika mkutano wa…

19 March 2024, 8:59 pm

Dkt.Serera Mgeni rasmi kilele wiki ya maji Simanjiro.

“Kwanini tumechagua Terrat kufanyika kilele cha wiki ya maji kwanza tumetekeleza mradi wa maji hivi karibuni ,lakini kingine ni utayari wa kwanzia ofisi za wilaya hadi huku chini lakini pia na ratiba yetu”Mhandisi Joanes Martin Meneja RUWASA Simanjiro. Na Mwandishi…