Afya
5 April 2024, 4:40 pm
Kiongozi wako anatoa nafasi kwa wanawake kufuatilia utekelezaji wa miradi ya afy…
Kwa mujibu wa Sera ya Maendeleo ya Jinsia ya mwaka 1992 inalenga kukuza usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake katika nyanja zote za maendeleo, Sera hii inasisitiza kuwashirikisha wananwake katika kupanga, kutekeleza na kusimamia miradi ya maendeleo katika ngazi…
21 February 2024, 7:28 pm
Wataalam wa afya kutoka halmashauri ya wilaya ya Simanjiro na Kanada watoa hudum…
Wataalam wa afya kutoka halmashauri ya wilaya ya Simanjiro kwa kushirikiana na wataalam wa afya kutoka Kanada kupitia shirika la Africa Afya Initiative – AAI wanatoa huduma mbalimbali za afya katika zahanati ya Terrat, wilayani Simanjiro. Na Baraka David Ole…
8 February 2024, 2:51 pm
Zaidi ya wasichana milioni 4 hatarini kufanyiwa ukeketaji 2024
Kwa mujibu wa UN Women, zaidi ya wasichana na wanawake milioni 200 duniani kote wamepitia Ukeketaji. Mwaka huu wa 2024, takriban wasichana milioni 4.4 watakuwa katika hatari ya kufanyiwa ukatili huo, hii ikiwa ni wastani wa zaidi ya kesi 12,000 kila…
2 April 2022, 8:53 pm
watendaji wa halmashauri ya Arusha wametakiwa kuzingatia lishe bora kwa wananchi…
Na. Nyangusi ole sang’da Arusha. Maafisa Watendaji wa Kata na Vijiji, halmashauri ya Arusha, wametakiwa kuzingatia mkakati wa Serikali juu ya masuala ya Lishe bora ya wananchi katika maeneo yao, kupitia mkataba wa Lishe waliosaini, lengo likiwa kuondoa hali ya…
15 March 2022, 6:09 pm
Serikali yaboresha lishe kwa wananchi
Serikali ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji wa masuala ya kilimo kuwekeza nchini ili kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo na kuimarisha lishe kwa wananchi na kuinua pato la Taifa. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu…
13 March 2022, 9:43 pm
Serikali kuimarisha mikakati ya kukabiliana na maafa
HABARI. Serikali imesema inaendelea kuweka mikakati madhubuti namna ya kujikinga na kukabiliana na maafa ili kuepuka madhara makubwa yanayoweza kujitokeza na kuhatarisha usalama wa raia pamoja na kuharibu miundo mbinu.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera,…
12 March 2022, 6:58 pm
Milioni 200 ujenzi wa jengo la OPD Maroroni Arusha
HABARI. NA NYANGUSI OLE SANG’IDA Katika kipindi cha robo ya kwanza na ya pili Halmashauri ya Wilaya ya Meru imetoa Shilingi Milioni 200 fedha za mapato yake ya ndani kwa ajili ya ujenzi wa Kituo hiki cha Afya. Ujenzi unaoendelea…
9 March 2022, 5:30 pm
Ukeketaji Stop Simanjiro
na pascal sulle simanjiro manyara Mangariba katika wilaya ya simanjiro mkoa wa manyara wamekubali kuacha kazi ya ukeketaji kwa watoto wa kike ndani ya jamii na kuwashukuru mashirika yote na serikali katika kutoa elimu kuhusu madhara ya ukeketaji. Wakizungumza mbele…
9 November 2021, 10:30 am
Viongozi wa Mila na Chanjo ya UVIKO 19.
Terrat, Simanjiro 09.11.2021. Na Baraka David Ole Maika. Viongozi wa Mila kutoka Jamii ya Kimasai Mkoa wa Manyara wamewataka Wananchi wa Jamii ya Kifugaji wa Kimaasai kujitokeza kupata Chanjo ya UVIKO 19 inayotolewa bila malipo kwani chanjo hiyo ni Salama…
8 November 2021, 2:15 pm
Wafugaji na Chanjo ya UVICO 19.
08.11.2021 Na Baraka David Ole Maika. Jamii ya wafugaji wa Kimasai na Watanzania wote wametakiwa kujitokeza kupatiwa Chanjo ya UVICO 19 kwani chanjo hiyo ni salama na haina Madhara. Wito huo umetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,…