Uchumi
22 February 2024, 7:41 pm
Serikali kuingiza Tani 300,000 za sukari
Na Mwandishi Wetu. WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe amesema kwa mwaka huu Serikali itaingiza nchini zaidi ya tani 300,000 za sukari ili kukabilana na upungufu uliopo. Amesema hadi kufikia Machi 15, 2024, tani 60,000 za sukari zitakuwa zimeingizwa nchini na…
20 April 2022, 9:30 am
Benki Ya Dunia Yaahidi Kuisaidia Zaidi Tanzania ili Kufufua Uchumi uliothiriwa n…
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuahidi kuisaidia Tanzania kukabiliana na athari za kiuchumi zinazotokana na madhara ya UVIKO-19 na vita vinavyoendelea baina ya Urusi na Ukraine. Dkt. Nchemba amesema hayo…
9 April 2022, 7:41 am
Wavuvi Watakiwa Kuacha Kufanya Kazi Kwa Mazoea Kuepuka Vifo, Kupoteza Mali
SHIRIKA la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limesisitiza umuhimu wa wavuvi kuzingatia usalama ikiwemo kuwataka kuacha kufanya kazi kwa mazoea wanapokuwa katika shughuli za Uvuvi wawapo majini ili kuwaepusha na vifo,majeruhi na kupoteza mali. Huku wakisisitiziwa umuhimu wa kuwa na…
9 April 2022, 7:32 am
TBS Yatoa Jumla Ya Leseni Na Vyeti 211 Kwa Wajasiriamali Wadogo
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) imeweza kutoa jumla ya vyeti na leseni mia mbili kumi na moja (211) na Kati ya hizo, leseni na vyeti mia moja kumi na tano (115) sawa na (55%) vilitolewa kwa wajasiriamali wadogo. Aidha Shirika…
5 April 2022, 9:08 am
Utafiti wa Gesi ya Heliam kuanza Tanzania
Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa ameshuhudia utiaji Saini Mkataba wa Utafiti wa Gesi ya Heliam kati ya Kampuni ya Noble Helium Limited kupitia Kampuni yake Tanzu ya Rocket Tanzania Limited na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa…
1 April 2022, 3:29 pm
Viongozi wa Vyama vya Ushirika Mkoa wa iringa Wapigwa Msasa kusimamia Masuala ya…
Jumla ya viongozi wa wapya wa vyama vya Ushirika wa akiba na Mikopo Mkoani Iringa 22 wamepewa mafunzo ya namna ya kuendesha vyama vyao katika ukumbi wa chuo kikuu cha ushirika Moshi Tawi la Iringa. Akizungumza mara baada ya kumalizika…
29 March 2022, 4:12 pm
TBS Yatoa Mafunzo Ya Viwango Kwa Wadau Sekta Ya Utalii Kanda Ya Kaskazini
Miongoni mwa sababu zinazozifanya bidhaa na huduma za nchi zinazoendelea ikiwemo Tanzania kushindwa kupenya na kuingia katika masoko ya kimataifa ni kushindwa kwa bidhaa na huduma hizo kukidhi matakwa ya viwango. Ameyasema hayo leo Mkuu wa Wilaya ya Arusha Mhe.Said…
29 March 2022, 4:01 pm
Serikali Yaleta Mfumo Mpya Kwa Mashirika, Viwanda Vilivyobinafsishwa
SERIKALI kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina inakamilisha mfumo rahisi wa kupokea na kutunza kumbukumbu za Mashirika ya Umma na Viwanda vilivyobinafsishwa unaoitwa Ubinafsishaji Information System ili kuweza kufuatilia mafanikio na changamoto za mashirika na viwanda hivyo. Hayo yamesemwa na…
29 March 2022, 1:22 pm
Serikali Yatoa Bilioni 2.5 Kukamilisha Ujenzi Wa Soko La Machinga Complex Dodoma
SERIKALI imetoa Sh.Bilioni 2.5 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa mradi wa soko la wazi la Machinga jijini Dodoma lenye uwezo wa kuchukua wafanyabiashara 4,000. Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba ameyasema wakati akizungumza na Machinga wa Mkoa…
28 March 2022, 1:07 pm
Dkt. Nchemba: Serikali Kuziongezea Bajeti Wizara Za Kilimo, Mifugo Na Uvuvi
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameahidi kuwa Serikali, katika bajeti Kuu ya Serikali ya Mwaka 2022/2023, itaongeza bajeti katika Sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi ili sekta hizo ziweze kuchangia kipato cha wananchi na Taifa…